Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

he will get a four-game ban instead of three...he shouldnt contest,its waste of time!

For you its wasting time but for Chelseafc is not, lets wait and see what "bunch of twatts" 'll do...!
 
It will be a surprise if he escapes punishment, but Costa, Mourinho and others at the club have been incensed by the charge and are determined to fight it. #Mail on line#

Km vyombo vya habari vinaandika hivi hii wanakua wanashinikiza hukumu moja kwa moja na ndio hapa Mourinho anapiga kelele kua kua kampeni mbaya dhidi yake....yani kwa uandishi huu ni hatari sn na hiki kitu kinachochewa na vyombo vya habari na wachambuzi wa soka. Ngoja tuone hio kesho ijumaa uamuzi wa mwisho.

kusema ukweli sijaiona hii mechi wala hio stamping aliofanya Costa. Lakini katika watu wote wanaozungumzia ni watu wa Chelsea tu ndio wanaona Costa anaonewa hajafanya kosa. Hivi inawezekana kila mtu anaiuchukia Chelsea kiasi cha kusema Costa amefanya kosa wakati hajafanya??
 
mkuu kwa maana hiyo costa jumapili hatacheza ?? , lakini ukiangalia matukio yote mawili ni ya bahati mbaya kwa sababu alikuwa kwenye move hivyo haikuwa raisi kwake kuyaepuka .Hawa FA kama vile wana ajenda ya siri na chelsea

Hachezi kesho na Man City,pia ataikosa Everton na Aston Villa na sababu kakata rufaa na atashindwa hata Wembley hatakuwepo na Tots

Sio agenda ya siri bali ni kuweka nidham sawa tu!Huwezi fanya bahati mbaya za ina hiyo hiyo na za hatari twice
 
mkuu kwa maana hiyo costa jumapili hatacheza ?? , lakini ukiangalia matukio yote mawili ni ya bahati mbaya kwa sababu alikuwa kwenye move hivyo haikuwa raisi kwake kuyaepuka .Hawa FA kama vile wana ajenda ya siri na chelsea

Mkuu bahati mbaya mara 2...Zile faulo za Costa ni kushukuru jamaa wazima..La sivyo unavunja mtu..Chelsea wanapoteza muda kukata rufaa
 
Hachezi kesho na Man City,pia ataikosa Everton na Aston Villa na sababu kakata rufaa na atashindwa hata Wembley hatakuwepo na Tots

Sio agenda ya siri bali ni kuweka nidham sawa tu!Huwezi fanya bahati mbaya za ina hiyo hiyo na za hatari twice

Refa angeona ni straight red card na adhabu juu.
 
Bila Costa sahau kumfunga Man City!Drogba and Remy have no legs

Costa akicheza easily mnamfunga City!Ntuzu usilete utani wewe Costa ni mpambanaji haswa na anajua mno kutupia!

Drogba na Remy wamesahau kutupia

Kwanini tuandikie mate wakati wino upo? We subiri uone hiyo kesho mziki wake Ata km Costa asiwepo.
 
Hachezi kesho na Man City,pia ataikosa Everton na Aston Villa na sababu kakata rufaa na atashindwa hata Wembley hatakuwepo na Tots

Sio agenda ya siri bali ni kuweka nidham sawa tu!Huwezi fanya bahati mbaya za ina hiyo hiyo na za hatari twice

kwani washatoa hukumu?? akiwa guilty of violent conduct after his appeal,its a four-game ban....if not guilty he will play as the appeal will be judged before weekend.
 
kusema ukweli sijaiona hii mechi wala hio stamping aliofanya Costa. Lakini katika watu wote wanaozungumzia ni watu wa Chelsea tu ndio wanaona Costa anaonewa hajafanya kosa. Hivi inawezekana kila mtu anaiuchukia Chelsea kiasi cha kusema Costa amefanya kosa wakati hajafanya??


Ok sio km watu WA Chelsea Tu ndo wanamtetea Costa. Hoja Ni kwamba Chelsea wanasimamia kua Ile ilikua ajali tu
Na kwamba vyombo vya habari ndio vimechochea sn hili swala mpk FA imesukumwa kuchukua kumfungia Costa. Sky Sport wanahusika ktk kurusha picha zikimuhusu Costa ktk kadhia hiyo Ili kuuaminisha umma kua Ni kweli Costa alidhamiria kucheza rafu
 
kwani washatoa hukumu?? akiwa guilty of violent conduct after his appeal,its a four-game ban....if not guilty he will play as the appeal will be judged before weekend.
RRONDO haitakiwi hata uwe na uzoefu wa EPL kama Ryan Giggs kujua kama hii hawezi kupona
 
Last edited by a moderator:
Ok sio km watu WA Chelsea Tu ndo wanamtetea Costa. Hoja Ni kwamba Chelsea wanasimamia kua Ile ilikua ajali tu
Na kwamba vyombo vya habari ndio vimechochea sn hili swala mpk FA imesukumwa kuchukua kumfungia Costa. Sky Sport wanahusika ktk kurusha picha zikimuhusu Costa ktk kadhia hiyo Ili kuuaminisha umma kua Ni kweli Costa alidhamiria kucheza rafu

ni chelsea tu ndio wanaamini ile ilikuwa ajali.....wengine wote wanaona ni delibearate stamp to hurt an opponent....i guess everybody hates chelsea eeeh
 
Ok sio km watu WA Chelsea Tu ndo wanamtetea Costa. Hoja Ni kwamba Chelsea wanasimamia kua Ile ilikua ajali tu
Na kwamba vyombo vya habari ndio vimechochea sn hili swala mpk FA imesukumwa kuchukua kumfungia Costa. Sky Sport wanahusika ktk kurusha picha zikimuhusu Costa ktk kadhia hiyo Ili kuuaminisha umma kua Ni kweli Costa alidhamiria kucheza rafu

Attitude ya Costa kila game ni mbaya sana!

Aliisha accumalate yellow cards hadi akakosa mechi moja!!Costa has to change!
 
Scholes feels Costa has only reacted to provocation from opposing players and has shown great restraint in not lashing out more often given the abuse he receives on the pitch.

"As for Diego Costa, I see it differently to the rest," he wrote in his-London Evening Standard-column.

"I thought his actions were at the lower end of the scale of dangerous and that he was under extreme provocation from Martin Skrtel, who has wound him up before this season.-

"My view of it was that Costa gets kicked a lot and actually his patience is to be admired in many, if not all, situations."
 
ni chelsea tu ndio wanaamini ile ilikuwa ajali.....wengine wote wanaona ni delibearate stamp to hurt an opponent....i guess everybody hates chelsea eeeh


Are you guessing.... I know you are joking.
 
Scholes feels Costa has only reacted to provocation from opposing players and has shown great restraint in not lashing out more often given the abuse he receives on the pitch.

"As for Diego Costa, I see it differently to the rest," he wrote in his-London Evening Standard-column.

"I thought his actions were at the lower end of the scale of dangerous and that he was under extreme provocation from Martin Skrtel, who has wound him up before this season.-

"My view of it was that Costa gets kicked a lot and actually his patience is to be admired in many, if not all, situations."

Very well put. tukitazama matukio tuwe tunaangalia kila kitu kwa mapana yake. nandio maana Scholes kawa tofauti na the rest. yeye anaona jinsi COsta anavyopigwa mateke na wapinzani na yeye kuvumilia. lkn umma haulioni hili. au niseme media halilioni hili. na kama inaliona inaona Costa anayastahili haya mateke...kama CUF/opposition Tanzania wanavyostahili vipigo vya polisi!!! kama tukiwa kwenye equal playing field, basi wengi sana wanastahili adhabu sio Costa peke yake.

as on washambuliaji, mwaka jana tungekuwa na Remy au Drogba tu, tungechukua ubingwa. so sina wasiwasi nao kabisa kwa kushiriki mechi ambazo Costa atafungiwa. as to adhabu ya Costa, media imeshamwadhibu siku nyingi kabla hata ya watoa maamuzi hawajakaa. lazima watamfungia tu, japo hii haimaanishi kuwa ni kweli katenda. uzuri wa adhabu hizi ni kuwa zitampa hasira na kumfanya awe more refreshed. by the time anarudi, watajuta kumfungia!!! its just a matter of time
 
Costa kashindwa appeal lakini hawajamuongezea extra game ban....atafungiwa mechi tatu kuanzia ya kesho.

Diego Costa has lost his appeal against an FA violent conduct charge and has been given a three-match ban that will keep him out of Chelsea's clash with Manchester City.




The Chelsea striker will miss his side's top-of-the-table Premier League clash against City at Stamford Bridge on Saturday after losing his appeal at a Football Association hearing on Friday.
The Brazilian-born Spain striker has been given the ban after treading down on the ankle of Liverpool's Emre Can in the first half of the Capital One Cup semi-final, second leg, at the Bridge on Tuesday.
 
Costa kashindwa appeal lakini hawajamuongezea extra game ban....atafungiwa mechi tatu kuanzia ya kesho.

Diego Costa has lost his appeal against an FA violent conduct charge and has been given a three-match ban that will keep him out of Chelsea's clash with Manchester City.




The Chelsea striker will miss his side's top-of-the-table Premier League clash against City at Stamford Bridge on Saturday after losing his appeal at a Football Association hearing on Friday.
The Brazilian-born Spain striker has been given the ban after treading down on the ankle of Liverpool's Emre Can in the first half of the Capital One Cup semi-final, second leg, at the Bridge on Tuesday.

hapo magazeti na sky sport watakuwa wameridhika . Lakini chelsea ubingwa ni wa lazima msimu huu
 
Some things are blessings in disguise. good blue people mark my words. na zitadhihirika kuanzia kesho!!! Aluuta Continua. Namuona Remy akiwa na hasira na usongo wa kuprove a point and critics very wrong
 
inaonekana n mzoefu!
ByEfXyNIgAEUYzV.jpg:large


uzur chelsea hategemei 1 player all da best!
GGMU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom