Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mind the Gap!!!!

Usiwe mkali, kalou...tunajua inauma sana lakini tulimiambieni mkawa mnatunini vile?
Sasa wacha tucheke bila kutoa sauti kwa sababu mnaweza kututilia mashaka kama mnavyomshuku yule Mr. wa kama hutaki una-Wacha1.

Mosi,Tulia, tulia tuli sindano ikuingie vizuri.
Pili, sema "cheese"

Mr. Mind the Gap, Kalou ndoto/njozi moja imezimwa leo, tena na kajikatimu cha shamba.

Link Chelsea manager Jose Mourinho wants Quadruple glory insists Blues star Cesc Fabregas - Mirror Online

Link BBC Sport - Chelsea midfielder Nemanja Matic backs team for quadruple

Hata hivyo huku napata kwi kwi kwi, haha haaa , heee bubu, natoa mkono wa pole kwa ndugu yangu, lafiki yangu, mtani wa michezo Kalou na Ntunzu.

Kuna msemo huu, kujikwaaa si kuanguka!

Nimkumbusheni tu, msimu huu hampati kitu, si ndoo, kikombe wala ngao.

Ahsante mkuu...sema mwenye ujumbe wake ameupata
 
Mwenye matokeo atuwekee jamani mbona wachoyo hivyo? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mechi imeahirishwa itachezwa kesho. Kwa hio subiri ushindi wa Chelsea kesho mkuu.

Ile timu ya shamba Bradford wamekosa usafiri, Mourinho kwa hisani amepeleka basi huko kuwabeba ili aje awaadhibu kwa kuwafunga mabao mengi. Mou amesema atawafunga mabao yasiyopungua manne, 4.
 
Ahsante mkuu...sema mwenye ujumbe wake ameupata
Amejifichia wapi leo?

Umemfikishia salamu kuwa kuna karamu leo hapa?

Timu bora duniani imefungwa uwanja wa nyumbani na timu ya shamba kwa mabao 4.
 
Wapenzi wa soka popote mlipo,Mourinho anatangaza msiba uliotoe nyumbani kwake baada ya basi aliloliegesha kando ya nyumba yake kugongwa na basi la timu ya shamba lililokuwa katika msafara wa harusi kuelekea Bradford.

Mpaka sasa mlinzi wa basi la Mourinho aitwae Ntunzu haijulikani kama amejeruhiwa au amezimia tu. Ajali ilipotokea inasemekana Ntunzu alikuwa ndani ya Basi hilo akijipumzisha.

Basi lenyewe limeharibiwa vibaya sana.
 
Zile ndoto za quadruple zimeahirishwa hadi mwakani ...
 
article-2924602-2504CA9100000578-944_964x386.jpg


Khe khe khe khe lkheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Napita tu kusalimia na kutoa salamu za rambirambi me naelekea OT...
Ukikutana na Ntunzu huko umwambie anahitajika huku kwenye msiba. Mwambie kalou anahitaji kupewa "tough" hawezi kuomboleza peke yake.. Pia mwambia anakosa uhondo huku, karamu inaliwa na watani tu waandaaji wa karamu wamesepa.
 
Huu wote ni ujinga wa Morinho

Tunaomba mwongozo mkuu.

Fafanua kauli yako.

Je ujinga wa kocha, the special one, Mourinho au hasira zako tu?
Huu ujinga ni kwa sababu Chelsea imepiga magoti leo?

Je unataka Mourinho in or out?
 
Mh! kwani lile bus leo halikuwepo?
Basi halikuwepo leo, liko gereji kupakwa rangi mpya.

Waloshinda tenda ya kulipaka rangi na kuli-polish basi la Chelsea ni kampuni ya vichochoroni kutoka Bradford.
 
Ha haaaa haaaaaaa! Raha sana! Ndoto moja moja inapukutika!
1. Tutachukua EPL bila kufungwa
2. Tutachukua quadrupple
3. Tutachukua ..........
4. .................
5. ..................
****zinapanguliwa tu.
 
£200M CHELSEA STUNNED IN FA CUP BY £7,500 BRADFORD!


''Chelsea's £200million men were sunk by a supermarket shelf stacker who was plucked from non-league obscurity for the princely sum of £7,500.
James Hanson was the only member of the Bradford City squad at Stamford Bridge to have cost the club a fee when he joined the League One side from Guiseley in 2009.


The rest of Phil Parkinson's parade of heroes were stitched together by a mixture of free transfers and low-key loan deals.
In contrast the total cost of Jose Mourinho's shocked stars clanged the £200m mark.
Even £99m of talent on the bench alone could not rescue Mourinho from the most embarrassing moment of his managerial career as the Bantams proved worth their weight in gold.
CHELSEA
PETR CECH: £7m
ANDREAS CHRISTENSEN: trainee
KURT ZOUMA: £12m
GARY CAHILL: £7m
CESAR AZPILICUETA: £6.5m
RAMIRES: £20m
OSCAR: £25m
JOHN OBI MIKEL: £4m*
MOHAMED SALAH: £11m
DIDIER DROGBA: free
LOIC REMY: £8.5m
Subs: Cesc Fabregas - £30m, Nathan Ake - trainee, Eden Hazard - £32m, Thibaut Courtois - £5m, Willian - £32m, John Terry - trainee, Ruben Loftus-Cheek - trainee
TOTAL COST: £200m
* plus compensation


BRADFORD
BEN WILLIAMS: free
STEPHEN DARBY: free
RORY McARDLE: free
ANDREW DAVIES: free
JAMES MEREDITH: free
BILLY KNOTT: free
GARY LIDDLE: free
FILIPE MORAIS: free
ANDY HALLIDAY: free
JAMES HANSON: £7,500
JON STEAD: loan
Subs: Alan Sheehan - free, Billy Clarke - free, Francois Zoko - loan, Mark Yeates - free, Jason Kennedy - free, Christopher Routis - free, Matthew Urwin - free
TOTAL COST: £7,500''







 
£200M CHELSEA STUNNED IN FA CUP BY £7,500 BRADFORD!


''Chelsea's £200million men were sunk by a supermarket shelf stacker who was plucked from non-league obscurity for the princely sum of £7,500.
James Hanson was the only member of the Bradford City squad at Stamford Bridge to have cost the club a fee when he joined the League One side from Guiseley in 2009.


The rest of Phil Parkinson's parade of heroes were stitched together by a mixture of free transfers and low-key loan deals.
In contrast the total cost of Jose Mourinho's shocked stars clanged the £200m mark.
Even £99m of talent on the bench alone could not rescue Mourinho from the most embarrassing moment of his managerial career as the Bantams proved worth their weight in gold.
CHELSEA
PETR CECH: £7m
ANDREAS CHRISTENSEN: trainee
KURT ZOUMA: £12m
GARY CAHILL: £7m
CESAR AZPILICUETA: £6.5m
RAMIRES: £20m
OSCAR: £25m
JOHN OBI MIKEL: £4m*
MOHAMED SALAH: £11m
DIDIER DROGBA: free
LOIC REMY: £8.5m
Subs: Cesc Fabregas - £30m, Nathan Ake - trainee, Eden Hazard - £32m, Thibaut Courtois - £5m, Willian - £32m, John Terry - trainee, Ruben Loftus-Cheek - trainee
TOTAL COST: £200m
* plus compensation


BRADFORD
BEN WILLIAMS: free
STEPHEN DARBY: free
RORY McARDLE: free
ANDREW DAVIES: free
JAMES MEREDITH: free
BILLY KNOTT: free
GARY LIDDLE: free
FILIPE MORAIS: free
ANDY HALLIDAY: free
JAMES HANSON: £7,500
JON STEAD: loan
Subs: Alan Sheehan - free, Billy Clarke - free, Francois Zoko - loan, Mark Yeates - free, Jason Kennedy - free, Christopher Routis - free, Matthew Urwin - free
TOTAL COST: £7,500''








Mourinho ana haki ya kusema they were ashamed!! Hii ni total debacle, tena darajani.
Inasemekana pia kama timu zote za ligi za Uingereza (England) zikipangwa kuanzia league kuu mpaka huko Conference, Chelsea ni ya kwanza na Bradford ni ya 49.

English leagues table
1. Chelsea
2. Man City
3. Southampton
4. ....................
5. Arsenal FC
6. ................
7. ...............
8. .................
9. ................
10. ................
.................
................
.....................
....................
49. Bradford
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom