Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpira ni ushindi, hata ucheze vizuri kiasi gani, usiposhinda inakua haina maana yoyote, itakuwa ni kujifariji tu.
 
Spot on kalou. Kufungwa twafungwa lkn chenga twawala attitude ya mid to lower table teams. Ndio maana champions husemwa wanapata ushindi regardless siku hiyo wamecheza vibaya kiasi gani. Sasa wajiangalie j4 ijayo. Hako ka confidence ka kucheza vizuri juzi katafutwa in the first 5 minutes. Ndipo wataujua muziki wetu mwaka huu sio wa level yao kabisa
 
Last edited by a moderator:
Jamani leteni matokeo ya mtanange wa leo khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wakuu wa Quadruple vipi? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jamani mnakimbia hata mnapocheza na Bradford khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2923795-2501B41300000578-380_964x386.jpg


1422118003274_lc_galleryImage_Andy_Halliday_celebrates_.JPG



Andy Halliday celebrates after scoring Bradford's third goal at Chelsick
Bradford league 1 side .... ....

1422114748167_lc_galleryImage_Bradford_s_Jon_Stead_seco.JPG


Bradford's Jon Stead celebrates pulling a goal back for Bradford at Chelsick


1422113573730_lc_galleryImage_FA_Cup_4th_Round_Chelsea_.JPG


1422111897135_lc_galleryImage_Didier_Drogba_of_Chelsea_.JPG


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Miezi miwili iliyopita mlikuwa mnaota mtakuwa INVINCIBLE, masaa matatu yaliyopita mlikuwa mnasema mtabeba makombe 4 kwa msimu mmoja. Sasa imebaki hadithi.. Hizi (Manchester City na Chelsea) ni timu za uyoga pori. Mourinho out
 
Atsu na Zouma walisajiliwa kabla ya msimu wa 2014 -15,,
Hebu kaangalie wachezaji waliosajiliwa na liverpool for the last 3 seasons utaona jinsi gani mna tatizo kwenye aina ya wachezaji mnaosajili..

Dalili kama mmetepeta zilionekana siku nyingi sana kaka!
Piga moyo konde futa machozi yako songa mbele ndiyo soka
Kufungwa bao 4 na team ya championship ni kashfa kubwa sana kaka
 
this is a very good wake up call. we are not invincible even at the bridge. na kama tunataka greatness this year, lazima tukaze manake timu tunazocheza nazo zinakaza vile vile. complacency eti kwa sababu hatufungwagi darajani should not be there. hili ni somo la maana hasa. vinginevyo na J4 tunaweza jikuta hata kwenye carling hatupo.
 
Miezi miwili iliyopita mlikuwa mnaota mtakuwa INVINCIBLE, masaa matatu yaliyopita mlikuwa mnasema mtabeba makombe 4 kwa msimu mmoja. Sasa imebaki hadithi.. Hizi (Manchester City na Chelsea) ni timu za uyoga pori. Mourinho out

Hawa wapigane kwenye EPL tu na si zaidi!!
Liverpool anawatoa hawa Jumanne kiurahisi tu
Hawana team bado ya kuchukua quadruple
 
Moureen jana alichema ni aibu kwa lower club kuishinda timu iliyo juu yao chacha anawewesekaweweseka tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Nilibaeleza May kibarua kinaota mbawa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom