Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsick walianza kupaki basi baada ya kagoli kao ka ngama Loserfools wakawabangua cha haraka haraka chacha wanategemea return leg . ..... ..... .kwenye kakombe ka-mbuzi.
 
Wakuu mmeponea tundu la sindano wachubirini chacha kwenye cowshed.
 
fair result ukichukulia tuna Man City next weekend..
liverpool katika ubora leo kwa msimu huu na wameshindwa kutufunga kwao..
 
Hongereni sana watani bao la ugenini litawalinda,wakija kwenu inabidi mkaze sana leo wangewatoa nishai LVP leo wamecheza vizuri ila wamekosa technique.
 
fair result ukichukulia tuna Man City next weekend..
liverpool katika ubora leo kwa msimu huu na wameshindwa kutufunga kwao..

Bado hatujafikia ubora wa Chelsea's most expensive assembled squad lkn taratibu team inakuja na likely kuanzia mwakani nikawa na uwezo wa kumfunga yyt na popote pale
 
Bado hatujafikia ubora wa Chelsea's most expensive assembled squad lkn taratibu team inakuja na likely kuanzia mwakani nikawa na uwezo wa kumfunga yyt na popote pale

Kwa usajili wa akina Baloteli, ?
Utangojea sana mkuu
 
Bado hatujafikia ubora wa Chelsea's most expensive assembled squad lkn taratibu team inakuja na likely kuanzia mwakani nikawa na uwezo wa kumfunga yyt na popote pale

Msimu huu umetumia zaidi ya chelsea kwenye usajili..
Labda tatizo umemsajili nani..
 
Hongereni sana watani bao la ugenini litawalinda,wakija kwenu inabidi mkaze sana leo wangewatoa nishai LVP leo wamecheza vizuri ila wamekosa technique.


Darajani hawa LFC hawatoweza kuja kucheza km walivyocheza leo.............Maana BR anaifahamu vzr chelsea ikiwa Darajani kua ni moto wa kuotea mbali.

asante sn everlenk
 
Last edited by a moderator:
Watani ila haka kapenati kama kana walakini vile... Hongereni...
Ile itakuwa wameinunua kwa bei mbaya. Hawa jamaa wanabebwa mpaka inaudhi.

Na Costa alijiangusha ili apewe penalty ya pili. Na zile diving zao za kawaida. Mieleka waliyokuwa wanawapiga wachezaji wa Liver ilikuwa si mieleka ya kitoto lakini mwamuzi alikuwa anapeta tu.
 
Kwa usajili wa akina Baloteli, ?
Utangojea sana mkuu

Nikipata striker avarage tu kama hata huyo Remy wenu nachukua ubingwa!

Leo pale mbele ningekuwa na mtu kama Remy tu ningekuchapa easily kabisa

Tupo sokoni sasa atakuja Higuain
 
Msimu huu umetumia zaidi ya chelsea kwenye usajili..
Labda tatizo umemsajili nani..

Mkuu go get your fact pls:

Costa
Luis Filipe
Kourt Zouma
Fabrigas
Atsu

Nenda kangalie mlizo tumia mwaka huu
 
Mkuu go get your fact pls:

Costa
Luis Filipe
Kourt Zouma
Fabrigas
Atsu

Nenda kangalie mlizo tumia mwaka huu

Liverpool spent 116 £ millions
Players IN:
Rickie Lambert– Southampton – £4m
Emre Can Bayer Leverkusen –
£10m
Adam Lallana –Southampton £25m
Lazar Markovic – Benfica – £20m
Dejan Lovren – £20m
Divock Origi – Lille – £10m
Alberto Moreno Sevilla – £12m
Mario Balotelli – AC Milan – £16m
Spent: £117m
Chelsea spent
87.7 £ millions
hivi vitu mbona viko wazi kabisa..
 
Mkuu go get your fact pls:

Costa
Luis Filipe
Kourt Zouma
Fabrigas
Atsu

Nenda kangalie mlizo tumia mwaka huu

Atsu na Zouma walisajiliwa kabla ya msimu wa 2014 -15,,
Hebu kaangalie wachezaji waliosajiliwa na liverpool for the last 3 seasons utaona jinsi gani mna tatizo kwenye aina ya wachezaji mnaosajili..
 
Nikipata striker avarage tu kama hata huyo Remy wenu nachukua ubingwa!

Leo pale mbele ningekuwa na mtu kama Remy tu ningekuchapa easily kabisa

Tupo sokoni sasa atakuja Higuain

Remmy si alikataliwa na Genius BR..!! akaamua kumchukua Baloteli..
"This, after all, is the same player who
failed a medical at Liverpool last
month. If he was not fit enough for
their manager Brendan Rodgers, how
come Jose Mourinho appears ready to
invest £10.5m in him."
 
Ile itakuwa wameinunua kwa bei mbaya. Hawa jamaa wanabebwa mpaka inaudhi.

Na Costa alijiangusha ili apewe penalty ya pili. Na zile diving zao za kawaida. Mieleka waliyokuwa wanawapiga wachezaji wa Liver ilikuwa si mieleka ya kitoto lakini mwamuzi alikuwa anapeta tu.

Naona unalila lia tu hapa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom