kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
Soma post namba 21499...
Jaribu kujibu ...
Soma post namba 21499...
Jaribu kujibu ...
Nimekwambia kabla SAF haijaenda United, youth system ilikuwa imekufa. Toka aondoke Busby na kizazi cha Busby Babes, system ilikufa.
Sasa alivyokuja SAF, aliliona hilo na kuanza kusetup youth system upya, alifanya mabadiliko kwenye coaching na scouting systems. Alileta BACKROOM STAFFS ili waweze kumsaidia katika ajenda hiyo. Yeye kama meneja cum The Boss, ndiye aliyekuwa ana-manage systems zote hizo. Ufanisi wa hizo system ulitokana na management yake. Ndiyo maana anachukua credits ya kuwaibua akina Becks na Class of 1992.
Maureen hana focus katika hilo; yeye anajua akimtaka mchezaji, tajiri atatoa pesa tu na kuleta ready-made talents.
Cheki links hizi:
http://m.bleacherreport.com/articles/1507815-the-top-10-youth-academies-in-world-football
http://app.caughtoffside.com/?referrer=#article/caughtoffside-186942
Rentboys hata hawapo kwenye youth systems bora pale England!! Yaani mnazidiwa hadi na Crewe Alexander!!
I wish hiyo list ingekuwa hivyo hivyo pia kwenye mafanikio ya club haswa kwenye kupata vikombe
Ukiondoa United, City, Arsenal na Barća, zingine zilizobaki zinakuwa hazina mafanikio sana kutokana na kupika wachezaji na kuwauzia akina Maureen, wanaopenda ready- made materials 
Hujatoa maelezo yoyote zaidi ya kuongea pumba. Jipange upya!!!
Ukiondoa United, City, Arsenal na Barća, zingine zilizobaki zinakuwa hazina mafanikio sana kutokana na kupika wachezaji na kuwauzia akina Maureen, wanaopenda ready- made materials 🙈
Japokuwa "La Masia" ni academy nzuri ila Barcelona wananunua sana "ready made" (Man City siwataji hapa) , last ten years wametumia pesa nyingi kuliko Chelsea, that says a lot kuhusu mafanikio yao..
Hivi kati ya Gurdiola na Mou nani amefaidika zaidi na "ready made" katika mafanikio yake?
Don't hate the player hate the Game..na Pesa ndio iliyotawala mpira wa sasa, hata ukitaja the most successful clubs in europe for the last ten years lazima utakuta zimetumia sana for the last ten years,
hujalazimishwa kusoma wala kujibu.
Umamuona sasa Torres alivyo na confo?Anawachukua akina Pepe hadi kwenye 18!
Hii inaonyesha Diego Simeone ni kocha wa vipaji lkn Mourihno ni kocha wa kuivishiwa vipaji yy awatumie tu
timu ya Malafyale.
Malafyale angalia appearances za Torres na idadi ya magoli aliyo tupia alafu uniambie km bado utamlaumu Mourinho ktk hili na kumpa tips Simeoni?Bafetimbi Gomez siyo mtu mwema na kuweni makini sana
Kheri ya mwaka mpya agosti 8