Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Kwahiyo hata UEFA Cup Winners' Cup lilikuwa siyo kombe la maana? FA Cup siyo kombe la maana?
Nimekuuliza ni wapi mlipoandika mnajadili EPL TU! Hujanijibu.
Sawa. Ngoja, niendelee na ubishi wako.
Ndiyo, bado nitasisitiza hivyo. Ni hesabu ndogo tu:
Msimu uanza Agosti ya kila mwaka. Ina maana SAF alianza kazi, msimu ulikuwa umeshaanza, kutokana na kufukuzwa kwa mtangulizi wake. Na msimu uisha Mei ya kila mwaka.
Sasa kutokea Novemba ya 1986 hadi Mei ya 1993, kuna miaka mingapi? Tuanze: Nov. 1986 - Nov. 1987 ni mwaka 1; Nov. 1987 - Nov. 1989 ni mwaka wa pili; Nov. 1989 - Nov. 1990 ni mwaka wa tatu; Nov. 1990 - Nov. 1991 ni mwaka wa nne; Nov. 1991 - Nov. 1992 mwaka wa 5; na Nov. 1992 - Mei 1993 ni miezi 7. Hivyo jumla unapata miaka 5.7, kimahesabu ni sawa kusema hiyo ni takribani miaka 6, kuliko kusema hiyo ni miaka 5!!
Ndiyo. Siyo tu kwamba najua, bali nafahamu. Msimu pia ulianza Agosti kama kawaida. Point yako?
Point yangu ni kuwa babu alitumia miaka 5 kupata ubingwa!
Na je kabla ya 1992 EPL ilikua inaanza mwezi gani?