Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,911
- 11,321
Dah hatari aisee.
Umamuona sasa Torres alivyo na confo?Anawachukua akina Pepe hadi kwenye 18!
Hii inaonyesha Diego Simeone ni kocha wa vipaji lkn Mourihno ni kocha wa kuivishiwa vipaji yy awatumie tu