Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Diving...
Mbona hakuna Maji pale ya kudive? Khe Khe Khe Khe Khe!
Diving...
vijana wa emirates leo wapo kwenye mteremkoBig Sam ameshaniharibia mood ya kutazama hili game ngoja nihamie katika ligi ya bongo simba na kagera wakati nikiwasubiri vijana wa emirates baadae.
Tumenyimwa penati
WHU HAWATAKI kushinda Darajani
Hatuna cha kufanya kwa kweli,kama wenyewe hawataki mm ni nani kuwalazimisha?
Big Sam ameshaniharibia mood ya kutazama hili game ngoja nihamie katika ligi ya bongo simba na kagera wakati nikiwasubiri vijana wa emirates baadae.
vijana wa emirates leo wapo kwenye mteremko
ilikuwa ya wazi kabisa
Barcelona ya Uingereza ni Chelsea!Wana dive sana bana
Shame
Si mteremko maana na timu yetu wenyewe haitabiriki ha ha haah
Mbona hakuna Maji pale ya kudive? Khe Khe Khe Khe Khe!
Hang on Mkuu! Utaona tu Hilo goli!
Si ndio maana Westham wamemmind Ivanovic ata Dive vipi sehemu ambayo haina maji...
Hang on Mkuu! Utaona tu Hilo goli! kwamba halipo...
mkuu kwa timu ya mwisho kwenye msimamo kama hamtabiriki tena nyumbani itakuwa ajabu
Adrian Huyu kipa Wa WHU mzuri sn!