Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hana akili huyu Big Sam!Kati hapo mpe dimba Song toa Nolan

Toa Kouyote weka Diafro Sakho tungekuwa tunazungumza mengine sasa

Unapopanga timu Siku zote lazima ukumbuke kuacha sub zenye uhai kidogo! Sio unamaliza timu yote!

Huyu Big Sam Ana akili sn!
 
Unapopanga timu Siku zote lazima ukumbuke kuacha sub zenye uhai kidogo! Sio unamaliza timu yote!

Huyu Big Sam Ana akili sn!

Big Sam ameshaniharibia mood ya kutazama hili game ngoja nihamie katika ligi ya bongo simba na kagera wakati nikiwasubiri vijana wa emirates baadae.
 
WHU HAWATAKI kushinda Darajani
Hatuna cha kufanya kwa kweli,kama wenyewe hawataki mm ni nani kuwalazimisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom