Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimesoma magazeti ya Uingereza yanamsifu sana mchezaji mmoja anaitwa Downing (midfield ya Westham) whats his level? How good is he?

Au anasifiwa tu kwa sababu ya uingereza? Is he really better than Matic (as they said)?
Cc: Malafyale BAK Wacha1 kunguru mjanja

Mkuu leo darajani ni taabu sana!Huku kuna Downing,pale kuna Song na mbele kuna bunduki 3 Carol,Sakho na Valencia!!Ni shida leo hata akina Ntuzu na agosti 8 wapo kimywa wakisubiri KUDURA za Mungu tu washinde
 
Last edited by a moderator:
Huoni kama hiyo ni mbaya kwetu Chelsea maana wapinzani wetu majeruhi wao ndo wanapona so come January vikosi vyao vitakuwa fresh na sisi ndo fatigue inatukumba...plus being in all four competitions.

Natamani Ozil angekuwa kwetu ili hiyo Jan awe anamsaidia Fabregas...halafu tuwe na Sterling kumsaidia Hazard na Falcao kwa Costa.... #ifOnly wishes were horses!!! :-(

Mkuu ozil mchezaji gani huyo floopy, unakuwa km hufatilii soccer bhana, come to sterling dogo anazingua cio player wa kumtegemea nadhani utakua sahihi km uliaangalia game vs united, hadi fans wa liverpool wanamdic kichizi sema kocha wake ndo anam defend. Oscar+willian+schurle wanatosha sana kuliko hao floopy akina ozil.
 
RRONDO Alafu Unajua kwa Miezi Hii tunayokwenda kwa England baridi hua Kali sn kiasi kwamba Hali Hii ya hewa huwapa tabu baadhi ya Wachezaji!

Kwa Hiyo mkuu km ligi sasa ndio inakwenda penyewe hasa! Kote huku nyuma ilikua mbwembwe tu!

sasa baridi hili uongeze na manyunyu halafu game iwe inapigwa North huko....hapa watoto waliotoka spain,amerika kusini huwa game inawashinda hadi wanakumbuka nyumbani...hapo darajani,emirates,upton park hamna baridi kitu cha winter huko juu manchester,newcastle,sunderland,hull balaa ndio maana ikipita january mbivu na mbovu zinajitofautisha....
 
Mkuu ozil mchezaji gani huyo floopy, unakuwa km hufatilii soccer bhana, come to sterling dogo anazingua cio player wa kumtegemea nadhani utakua sahihi km uliaangalia game vs united, hadi fans wa liverpool wanamdic kichizi sema kocha wake ndo anam defend. Oscar+willian+schurle wanatosha sana kuliko hao floopy akina ozil.

What of Di Maria kumsaidia Fabregas akichoka?
 
What of Di Maria kumsaidia Fabregas akichoka?

Dimaria sawa but cio hao magalasa akina ozil ww hukumckia "michael barrack" mwnyw alimdic sana ozil na akadai wajerumani hawapo laini design hii. Ref:barrack alipokuja cobham kuwachek vijana.
 
RRONDO msimu mgumu unakuja mkuu!

Ndio maana Jose ameanza kuchanganya timu ili kuvuka ktk hicho kipindi!

sasa baridi hili uongeze na manyunyu halafu game iwe inapigwa North huko....hapa watoto waliotoka spain,amerika kusini huwa game inawashinda hadi wanakumbuka nyumbani...hapo darajani,emirates,upton park hamna baridi kitu cha winter huko juu manchester,newcastle,sunderland,hull balaa ndio maana ikipita january mbivu na mbovu zinajitofautisha....
 
Mkuu leo darajani ni taabu sana!Huku kuna Downing,pale kuna Song na mbele kuna bunduki 3 Carol,Sakho na Valencia!!Ni shida leo hata akina Ntuzu na agosti 8 wapo kimywa wakisubiri KUDURA za Mungu tu washinde

Sina mashaka na Huo mchezo! Big Sam hatusumbui!
 
Last edited by a moderator:
Mchezo Wa Leo ni saa 9:45 alasiri!

Tarehe 28 Yani jumapili tutakua ugenini kwao Southampton na Alhamisi tarehe moja tutakua ugenini tena kwao Spurs!

Ratiba ngumu sn!
 
Mchezo Wa Leo ni saa 9:45 alasiri!

Tarehe 28 Yani jumapili tutakua ugenini kwao Southampton na Alhamisi tarehe moja tutakua ugenini tena kwao Spurs!

Ratiba ngumu sn!
Mkuu mechi ya leo itakwaje maana wale majamaa huwa ni kama watani zetu halafu mwaka huu wapo fiti
 
Mkuu mechi ya leo itakwaje maana wale majamaa huwa ni kama watani zetu halafu mwaka huu wapo fiti


Mkuu Mchezo ni mgumu Lkn kushinda ni lazima!

Bado saa moja na Danika 15 goma lianze
 
Chelsea line-up v W Ham: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Fabregas, Matic; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa. #CFC
 
Thats how we play today....uelekeo big screen now!!!
 

Attachments

  • 1419595219999.jpg
    1419595219999.jpg
    84.2 KB · Views: 81
Hayupo Song kikosi cha kwanza!No Diafro Sakho either

Coach Sam Allardyce gives Chelsea the maximum points!Kocha kichaa huyu anampa Mourinho game ya bure kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom