Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Van Persi akipiga leo hat trick itakuwa safi sana...
Tusubiri tuone Mkuu!
Van Persi akipiga leo hat trick itakuwa safi sana...
Okay sawa...Tusubiri tuone Mkuu!
Acha ushabiki ambao Sio mzuri! Wewe WHU wanacheza rafu hivyo Alafu unasema Chelsea wanadive?
Acha hizo Malafyale bhana! Leo haujaenda Ikwiriri shamba?
Game ya leo ilikuwa tamu
Unakusudia ile dive ya Ivanovic? Ilikuwa tamu, tamu sana.
Chelsea criticised for diving again as West Ham boss Sam Allardyce slams Branislav Ivanovic - Telegraph
vipi ulimuangalia Downing?? as i said hana kiwango cha ku-win game for hammers vs big boys....
Oh yes nilimwona aisee...nahisi uingereza ndo ulimpa headlines unless kwenye games zingine huwa ana shine!!!
ame-improve kidogo kwenye games vs midtablers anawasumbua ila kwenye level ya top four hawezi hata kuonekana
Hivo mlishacheza nao? What were the results....
Nobody can buy Big Sam's allegation!Kocha "anapouacha mpira nje" Darajani unategemea ushinde kweli?
Eti alimuacha Song nje kumpa muda mzuri na Arsenal Jimapilivery weird decision!
Chelsea won fairly aache up u u zi wake!Yy Big Sam ndiyo kawapa Chelsea game hii!Dakika 45 za kwanza hata nusu uwanja hawakufika
Wana bahati hata kufungwa 2-0
Catch us if you can