Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Mimi nadhani Big Sam atakuja tofauti na mwaka jana. Mwaka jana hakuwa na timu nzuri kabisa. Mwaka huu Kawa na timu nzuri sana. Nadhani atataka kuwa adventurous. Na hilo litamgharimu dearly.
Sakho,Valencia na Carol ni watu wabaya mno kwa sasa!Jiandaeni tu kisaikolojia kama kuna lolote baya litatokea