Chelsea Fc haikuwa na Diego Costa na Maestro Febregas..
tulia Jose; hawa PSG ni wetu..
sisi ndo CHELSEA FC..
tulia Jose; hawa PSG ni wetu..
sisi ndo CHELSEA FC..
Luiz anaweza kuwa sababu yenu kuaga mashindano;
1.ana point to prove kwa Mourinho
2.akiamua kumkaba mtu kihuni anaweza kumuuzi striker yeyote, muulize Rooney au Cavani, hapo nadhani unajua nani akiguswa kidogo anawehuka kama mbogo
Last time mlibahatika kuendelea kwa away goal, na mlicheza match zote mbili bila kukabiliana na PSG's talisman 'Ibracadabra'
Team zote zikiwa full mziki itakua match nzuri sana lakini usiichukulie poa PSG hata siku moja plus 'Demba Ba won't be around this time'