Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Kwa kweli kwa sasa Mourinho amefanya kitu kizuri sana kwenye kikosi chetu kila sehemu ina watu wawili au zaidi.....
Na kila mtu anauwezo wake, na wanatakiwa kucheza kitimu wakisaidiana kila idara.....kuanzia kukaba hadi kushambulia....
Mkuu Unajua wakati mwingine mi nashindwa kuelewa watu ktk hoja zao km Hiyo hapo juu!
Unajua Chelsea inawachezaji ambao Wanaweza kucheza nafasi mbili vizuri!
Mfano Azp, Huyu jamaa anacheza beki za pembeni vzr sn! Njoo Ivanovic, Huyu Naye anacheza pembeni kulia na Kati vzr sn!
Zouma anacheza pembeni kulia na Kati vzr sn!
Ake anacheza kiungo mkabaji na beki Wa Kati vzr sn!
Christiansen anacheza beki ya Kati vzr sn!
Km inatokea Terry na Cahill hawapo uwanjani!
Kikosi kitakua Azp beki ya pembeni kulia Ivanovic na Zouma beki za Kati na Felipe Luis beki kushoto pembeni!
Sasa sijui shida iko wapi hapo?