Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Washambuliaji ni wana-Chato ambao Tundu lissu anawasema wamepelekewa maendeleo kwa upendeleo