Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,003
- 103,391
Ukiambiwa siasa ni somo pana, akili yako inakutuma kwenye maswala ya vyuo tu eeh😃?
Wewe unaongea uhalisia wa siasa usiowahi kuujua Wala kuuishi,siasa ni zaidi ya ushabiki wako huku mitandaoni.Yanayoendelea kwenye taifa hili wewe huyajui zaidi ya jinsi unavyoyapokea kwenye vyombo vya habari, kwahiyo usijitape Sana kuijua siasa ya Tanzania hakuna unachokijua, Amini hivyo.
Mimi si mzee kama unavyodhani.
Unaoongea utoto gani dogo, siasa gani unajua ww, yenye maajabu gani kwanza, ambayo imejificha mpaka ww tu ndio uijue? Nasema hivi ww lazima ni mzee, au kama ni kijana basi una mawazo ya kizee, ndio maana unakuja na mikwara kibao eti siasa ni somo pana. Sidhani kama unazungumzia siasa, labda hizi siasa za kutekana hizo ndio za kujificha.