Chatgpt kiboko ase

Chatgpt kiboko ase

AI inakuja kuharibu akili za kila mmoja, majuzi alikuja dogo wa Darasa la 5 na homework kaniomba simu amuulize maswali ChatGPT 🤣
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
 
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
Weka mbsli ba watoto mtoto wako ame mjuaje? Guys msiwape watoto simu
 
Weka mbsli ba watoto mtoto wako ame mjuaje? Guys msiwape watoto simu
Aliniomba simu ampigie classmate wake, alikua amesahau kitabu shuleni kwa hiyo alikua anawasiliana na wenzake wampigie picha page za homework, sasa nikamsema sana nikataka kumzibua kwamba kwa nini amesahau kitabu shuleni, then nikapa simu, ndio nikakuta anamuuliza chatgtp kwa nini mama ana hasira sana

Siku nyingine nikakuta anamuuliza eti niende shule gani form one?
 

Attachments

  • IMG_5564.jpeg
    IMG_5564.jpeg
    250.6 KB · Views: 9
Aliniomba simu ampigie classmate wake, alikua amesahau kitabu shuleni kwa hiyo alikua anawasiliana na wenzake wampigie picha page za homework, sasa nikamsema sana nikataka kumzibua kwamba kwa nini amesahau kitabu shuleni, then nikapa simu, ndio nikakuta anamuuliza chatgtp kwa nini mama ana hasira sana

Siku nyingine nikakuta anamuuliza eti niende shule gani form one?
Mtoto simu yako hatakiwi kugusa mimi sitaki mazoea na mtoto kwenye simu simu ina mambo mengi mtu ana weza kosea tuma ujumbe ukaja kwangu bahati mbaya mtoto akauona aka beba kama ulivyo simu sio mzuri
 
Mtoto simu yako hatakiwi kugusa mimi sitaki mazoea na mtoto kwenye simu simu ina mambo mengi mtu ana weza kosea tuma ujumbe ukaja kwangu bahati mbaya mtoto akauona aka beba kama ulivyo simu sio mzuri
Ni kweli,ila mimi sipendi sana kuficha simu yangu, cha msingi ni kuwafundisha kuwa na adabu na mipaka, na huwa siweki simu yangu passowrd, kuna wakati nawaagiza kununua Umeme,kulipa bills, kunrewuest bolt, na vitu vingine vya msingi, lengo ni kuhakikisha hata nikiwa nimebanwa au nikiwa sipo wanaweza kufanya mambo ya msingi kwenye simu maana kuna leo na kesho
 
Ni kweli,ila mimi sipendi sana kuficha simu yangu, cha msingi ni kuwafundisha kuwa na adabu na mipaka, na huwa siweki simu yangu passowrd, kuna wakati nawaagiza kununua Umeme,kulipa bills, kunrewuest bolt, na vitu vingine vya msingi, lengo ni kuhakikisha hata nikiwa nimebanwa au nikiwa sipo wanaweza kufanya mambo ya msingi kwenye simu maana kuna leo na kesho
Ohh sawa
 
Limemalizia kuniita mimi mmbea wa ki mataifa bila umbea wangu kunapoa 😹😹😹
Kesi yangu na chat ishakua nzito..!!
 

Attachments

  • IMG_5567.jpeg
    IMG_5567.jpeg
    284.9 KB · Views: 10
Haha! hilo dude unavyolizowesha kuchati nalo ndivyo linavyokupeleka liwekee mipaka kama hautaki likuchatishe katika namna hiyo!, lichukulie tu kama dude la kukuletea taarifa na sio kama kuchati na rafiki yako!, ukiweza kulitumia vyema hata hautaweza kujibiwa hivyo tena ukizubaa linakushinda hata utashi muda mwengine huboronga nakutoa taarifa zisizo!..

Mimi nililikanya na nachati nalo nakuliuza maswali na linajibu kwa adabu!, hilo umelizoesha wewe utakavyolipeleka linakuja hivyohivyo isipokuwa halitukani japo muda mwengine linamatani na linatunza kumbukumbu ya chat zako linakusoma!!.
ukilikataza lisiandike hivyo linaacha..

Wabongo wenzangu tumieni hilo dude kwamanufaa kama unaona hauwezi achana nalo!..😅
Kweli kabisa mkuu,wosia mzuri umetoa.
 
Back
Top Bottom