Chatgpt kiboko ase

Chatgpt kiboko ase

Ije AI ya sauti sasa. Mabibi na mababu zetu wavivu wa kusoma wafaidi nao.

Unaiuliza kwa kuongea, inakujibu kwa kuongea.
 
Mimi juzi nilimkuta binti yangu anachat na chatgtp anamuuliza why is my kom so angry sometimes,

Nilisoma baadhi ya majibu, jibu moja chatgtpt akamwambia may be your mom is on her period
Hahhaa dah kudadek
 
Aliniomba simu ampigie classmate wake, alikua amesahau kitabu shuleni kwa hiyo alikua anawasiliana na wenzake wampigie picha page za homework, sasa nikamsema sana nikataka kumzibua kwamba kwa nini amesahau kitabu shuleni, then nikapa simu, ndio nikakuta anamuuliza chatgtp kwa nini mama ana hasira sana

Siku nyingine nikakuta anamuuliza eti niende shule gani form one?
Unavyokosea kuandika chatgpt unageuza kuwa chatgtp inanifurahisha, unafanana na mtu fulani alikuwa na yeye anakosea spelling kwenye issues fulani, anyway namuombea amani huko alipo.
 
Hivi kumbe nakosea, akijua nakose atanichamba maana sikuhizi wamesema amekua mswahili wa mbagala
Yaani ni inatokea tu, kuna watu huwa wako hivyo mama.

Hao wanamchatisha kwa kiswahili cha mtaani na yeye analearn hivyohivyo anaenda nao, ukienda kwa adabu na yeye anatumia lugha kama yako.
 
Back
Top Bottom