Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Kwa tetesi nilizo nazo,CCM wamempeleka Merry Chitanda Arusha kwa sababu maalum za kuchunguza na kutafuta jinsi ya kuua upinzani pale.
Mama huyu ambaye anatumia jina la kikristo maalumu ili kuifluence na kupata huruma ya wananchi wa mikoa ya kaskazini ambao wengi wao ni wakristo ana historia mbaya sana
Kwanza jina lake halisi ni Zuhura Akbari Haji,na inasemekana ni raia wa Sudani Kusini katika kitongoji cha Kian katika jimbo la Warrap.
Merry Chatanda alisoma katika chuo cha Ujasusi Misri miaka ya 90 na kujiunga na mafunzo maalumu huko Urusi na Yugoslavia
Huyu mama ni hatari na CHADEMA mumuangalie vizuri hapa Arusha
kama kuna mtu ana details zaidi za huyu mama tafadhali azimwage hapa nitaendelea kuwapa jinsi nitakavyopata.
Ahsante mkuu. Kumbe ni mkimbizi Jasusi? Ndio anawapeleka Watz kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe? Kweli Makamba na Jk hamna aibu. Afadhali tunajua adui yetu ni nani? Hivi yule Mkimbizi mwingine KINANA naye yuko wapi?