mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
KOSA ni ccm kuongozwa na Makamba asiye na busara, elimu, na fisadi mkubwa. Sijui anangoza nani huko ccm. ameiua ccm.
Hili jukwaa ni la Jokes mama! waweza andika chochote just for funny.
Huyu mwanamama sijui tumfanyaje?
wewe Mary kuna nini Arusha mpaka uwasababishie mgogoro wenzako? Kwanini usiende kwenu Tanga ulipochaguliwa, ahaaaa! Unaboa sana wewe mwana mama
umetoka usingizini naona huji hata kinachozunguzwa! Issue hapa ni kama chatanda ana haki ya kuhudhuria vikao arusha, ww unaibuka na makamba umeitoa wapiKOSA ni ccm kuongozwa na Makamba asiye na busara, elimu, na fisadi mkubwa. Sijui anangoza nani huko ccm. ameiua ccm.
maelezo mazuri sana. Hivi ndo inabidi tujibizane kwa ufahamu wa kanuni, mazoea n.k. Katika maelezo umesema sheria inaruhusu mbunge wa VM kuchagua halmashauri ya kutumikia, ni sheria gani hiyo mkuu?
Kosa ni la KATIBA,mwanasheria mkuu alishatoa maelezo.
Ziko tetesi kuwa,CCM wamempeleka Zuhura Akbari Haji aka Merry Chitanda Arusha kwa sababu maalum za kuchunguza na kutafuta jinsi ya kuua upinzani pale.
Mama huyu ambaye anatumia jina la kikristo maalumu ili kuifluence na kupata huruma ya wananchi wa mikoa ya kaskazini ambao wengi wao ni wakristo ana historia mbaya sana
Kwanza jina lake halisi ni Zuhura Akbari Haji,na inasemekana ni raia wa Sudani Kusini katika kitongoji cha Kian katika jimbo la Warrap.Na alishiriki katika mauaji ya John Garang aliekuwa kiongozi wa SPLA Julai 30 2005
Merry Chatanda alisoma katika chuo cha Ujasusi Misri miaka ya 90 na kujiunga na mafunzo maalumu huko Urusi na Yugoslavia
Huyu mama ni hatari na CHADEMA mumuangalie vizuri hapa Arusha
kama kuna mtu ana details zaidi za huyu mama tafadhali azimwage hapa nitaendelea kuwapa jinsi nitakavyopata.