Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Mkuu itafikia mahala utakumbuka,
Angalia ata ao wate matajiri kama mengi akuna hasicho pata lkn ikambidi kuoa
Believe me Ninja Kama una hela usinganganie kuoa maana Pesa zetu ndo zinatufariji na nguvu nyingi ndio tunaelekeza huko
 
Eti rahaaa sure hayo mawazo yako ni ya usiku although now ni asubuhi inaelekea mchana,eti kugegedwa ndo wanachojua wanaume wa cku hizi tu,nia haitangazwi hadharani Kijana...punguza mawazo finyu
Tatizo lako u-mbishi ww kiumbe. Ulitaka nikutongoze wapi? Tumekutania hapa ndo nimelianzisha tayari. Ngoja nije pm maybe utanielewa jinsi nnavyokufeel kumtima.

Nakuja kutema madini usiponielewa ntajua ww ni Tomboy! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani unanisingizia sijawahi kusema natafuta mume bali nilisema natamani kupenda tena. Siku nikitafuta mume nitaanza na wewe mkuu sema usiwe mchoyo na hela tu
Sitaki mie. Ujana wako uchezewe mie nije kukuoa kibibi!! Hell No!

Nakutaka bado uko mbichi badae sitaki[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Believe me Ninja Kama una hela usinganganie kuoa maana Pesa zetu ndo na nguvu nyingi ndio tunaelekeza huko
Hapana, sio kweli.. ukiwa na pesa usipo oa utakua malaya tu.
Kuliko kujihatarishia maisha, au labda useme utakua na hawala unaishi nae bila ndoa
 
Hapana, sio kweli.. ukiwa na pesa usipo oa utakua malaya tu.
Kuliko kujihatarishia maisha, au labda useme utakua na hawala unaishi nae bila ndoa
hata ukioa hatari iko pale pale, Mwanamke atakufilisi buree, yanini uoe wakti vile unavopata ndani ya ndoa unavipata bila ndoa shida nini
 
Back
Top Bottom