Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Kama we ni mwanaume kuna kitu nimewaza juu yako
Sababu za kuandika hivi.
Niliwaza juu ya jinsia ikanibidi nichimbue kidogo
 

Attachments

  • A4112D82-6695-4270-B77D-4569A4380890.jpeg
    A4112D82-6695-4270-B77D-4569A4380890.jpeg
    30.7 KB · Views: 37
No deal in Marriage boss ili life la kutumbua na warembo ndo tamu
Mkuu itafikia mahala utakumbuka,
Angalia ata ao wate matajiri kama mengi akuna hasicho pata lkn ikambidi kuoa
 
Wanawake punguzeni dharau , kujiona na vigezo vingi
 
Habari za jioni Great Thinkers.

Huu unaweza kuwa si wakati sahihi kwangu kuandika kuhusu jambo hili, ila kwa sababu ya tafsiri hasi miongoni mwetu sina budi kulizumgumzia.

Uhaba wa wanaume waoaji (Husband Scarcity) ni jambo ambalo limekuwa moja ya changamoto kwa dada zetu siku hizi.

Ukiende kwenye nyumba za ibada nyingi utawakuta wanawake wengi ambao lengo lao si kumcha muumba bali ni kutaka kuombewa ili wapate wenzi wao wa maisha.

Turejee enzi za mababu zetu, je kulikuwa na uhaba wa wanaume waoaji? Kama jibu ni hapana, unadhani kwamba enzi hizo wanaume walikuwa wengi kuliko wanawake au kulikuwa na uwiano sawa kati ya jinsia hizo mbili? Hapana

Nadhani enzi hizo wanawake walikuwa na thamani kubwa sana na walikuwa wameandaliwa kujenga familia zilizo bora nna maisha Mazuri na sio kutafuta familia zilizo na maisha bora ili waende huko.

Enzi za mababu zetu kijana akiwa na uwezo wa kujihudumia na kumhudumia mke, basi alianza kutafuta mwezi wa maisha na mwanamke ambae alimpata, mwanamke huyo ali mu appreciate kijana na kumsaidia kujenga maisha yao ya baadae.

Ninachojaribu kuzungumzia hapa ni kwamba dada zetu ndio wamesababisha hili tatizo la ukosefu wa wanaume waoaji.

Kwanini niseme dada zetu ndio wamejitengenezea hili tatizo?

Leo ukimuuliza mwanamke / Binti kwamba anamtaka mume wa ainagani? Atakuambia anataka mwanaume mbae:

- Awe handsome
- Awe na degree
- Awe mwajiliwa au mjasiliamali
- Awe presentable nam mengine kama hayo (tunayasikia humu kila siku)
- na Ili asionekane worldly anaongezea Awe mcha Mungu.


Utamsikia mwanadada anasema, “siwezi kuteseka kwetu pia nikateseke kwa mwanaume” what a wonderful dream?

Sikatai unaweza kuwa umetoka kwenye life bomba na ukaolewa na mtu amabe yuko vizuri na baadae kwenye ndoa the table turns around na shida zikaanza? Je Utakimbia?

Kwa mfano.- Ukiangalia idadi ya hawa dada zetu na sisi wanaume tunao wazunguka katika maeneo yetu ujumlishe ma vigezo vyao utagundua kuna tatizo na tatizo hili nikwamba vigezo ambavyo wadada wanavitaja utakuta wanaume wengi hawana.

Tuchukulie mfano kati wanawake 50 wanatoa vigezo ambavyo anayvyo mwanaume moja tu, sasa kama huyo mwanaume 1 mwenye vigezo akioa mwanamke moja kati ya 50 unadhani nini kitatoke kwa 49 walio baki?


Nisiseme mengi ila dada zetu naomba niwashaurini. Its beter to start small and end up big than starting big and end up small.

Kiuhalisia ni vigumu kumpata mwanaume ambae amefikisha muda wa kuo na anavigezo vyote unavyovitaka. Wapo wachache sana.

Jamani punguzene vigezo kwa sababu hivyo vigezo vinawafanya muruke mikojo na kikanyaga kinyesi, alafu mwisho wa siku mkiwa disaponted mnakuja na kamsemo kenu kuwa wanaume wote ndivyo walivyo

Njia Rahisi ya kupata mwenza wa maisha ama mume bora ni kubadilisha mtazamo wenu on who a husband is

A husband is not a poverty alleviation program jamani


Angalizo:

Sijawashauri mchukue mwanaume yeyote la hasha, si kila mwanaume ni husband material, jarubuni kuangalia what make him to be who he is na si vitu anavyomiliki ama muonekano wake.


Nawakilisha…

Mapovu Ruksa
Sio rahs sana kuwaelewa wanawake wa siku hz wanataka nn....tuwaachie tu wenyewe ndo wanajielewa....maana utamfanyia kila kitu, utamjali yeye na familia yake bdae anakudharau, anakwambia napenda six pack, mara cpend kibamia kinaishia juu....hahahahaaa.....mwisho wa siku mmmmh adi unamuonea huruma.. Mungu awe nas kwakweli.... Hakuna mapenzi ya dhat cku hz,machache sana.
 
Mwanamke mmoja anatombwa na mtaa mzima,unadhani wanaume wataoa kirahisi rahisi?mtu chuo darasa moja mwanamke kagongwa na watatu..
Na hapo ni darasa moja bado faculty tofauti, bado first year,second year na third year
 
ASALAM ALEYKUM. WANA WAKE WA SIKU HIZI NI WA AJABU SANA MFANO MMOJA HUYO ANAE JIITA DIVA THE BOSS YULE ANATAKA 500 MIL MAHARI SASA SWALI BIKIRA ANAYO KAMA HANA HAO WALIOMTOA WALIMPA HATA THELUTHI YA KILE ALICHOHITAJI ANSWER IS NO. SASA WENGINE UTASIKIA MIMI UKE WENZA SI HITAJI LAKIN WAKUZINI NAO ANAWAHITAJI SASA JE HAO NI BINA DAM KAMILI AU WANAHUSUDA NA CHUKI ZIDI YA WANA WAKE WENZAO.
 
Back
Top Bottom