Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Leta vigezo vyako na kumbuka kuna mtu alishawai kuleta Uzi juu ya kukupenda......sasa cjui yule co mwanaume au.....T&C havikuendana au.....
Bwana yule hakua serious. Halafu eti ninaempenda mimi anasema ananiogopa eti hatuendani ni haki kweli?? Nyie wanaume wenyewe mnaogopa wanawake wazuri kama vile k zao za dhahabu mfyuuuuuu
 
Bwana yule hakua serious. Halafu eti ninaempenda mimi anasema ananiogopa eti hatuendani ni haki kweli?? Nyie wanaume wenyewe mnaogopa wanawake wazuri kama vile k zao za dhahabu mfyuuuuuu
Basi......msamehee....kupitia Uzi huu toa vigezo vya mtu unae muhitaji....ila ctegemei yawe mashart mengi kaa wengi utadhani wanatafuta meneja wa biashara zao
 
Basi......msamehee....kupitia Uzi huu toa vigezo vya mtu unae muhitaji....ila ctegemei yawe mashart mengi kaa wengi utadhani wanatafuta meneja wa biashara zao
Mie sina masharti ujue. Nikimpenda tu inatosha. Hela tutatafuta sema tu asiwe mchoyo wa hela zake kama anazo [emoji2][emoji2]
 
Bwana yule hakua serious. Halafu eti ninaempenda mimi anasema ananiogopa eti hatuendani ni haki kweli?? Nyie wanaume wenyewe mnaogopa wanawake wazuri kama vile k zao za dhahabu mfyuuuuuu
Juzi nilikuwa na nakula piza hapa pizzahut mlimani city sasa pembeni kulikuwa na jamaa na dem mzuri ila jasho linamtoka kucheki vizuri ile risiti ya EFD anaishika huku anasikitika demu hana habari nilicheka kimoyo nikasema usione watu wanawakimbia watoto wazuri wakipiga hesabu mpaka wanaonja tayari katoboka sana alafu bado hata kukatika hawezi alafu kamoja tu kachoka bora nikomae na huyu mama lishe hapa hana mbwembwe
 
Mie sina masharti ujue. Nikimpenda tu inatosha. Hela tutatafuta sema tu asiwe mchoyo wa hela zake kama anazo [emoji2][emoji2]
Safii sana....wengine waje wajifunze hapa bila kuwataja.....wanao weka mashart kibao kaaa.....vile wapo og
 
Juzi nilikuwa na nakula piza hapa pizzahut mlimani city sasa pembeni kulikuwa na jamaa na dem mzuri ila jasho linamtoka kucheki vizuri ile risiti ya EFD anaishika huku anasikitika demu hana habari nilicheka kimoyo nikasema usione watu wanawakimbia watoto wazuri wakipiga hesabu mpaka wanaonja tayari katoboka sana alafu bado hata kukatika hawezi alafu kamoja tu kachoka bora nikomae na huyu mama lishe hapa hana mbwembwe
Hahahahaaa. Tatizo mnataka kuimpress wanawake wazuri. Mwanamke akikupenda hata umpeleke kwa mama lishe atakula. Akiwa hakupendi ndo anakikomesha na mainvoice makubwa makubwa
 
Safii sana....wengine waje wajifunze hapa bila kuwataja.....wanao weka mashart kibao kaaa.....vile wapo og
Hahahaaa. Wanaoweka masharti hawako serious. Unaweza ukasema unataka handsome halafu akaja usimpende. Mimi najali moyo wangu zaidi kuliko alivyo mwanaume. Nakumbuka nilikuaga napenda wanaume weusi wenye afro. Ila nikafall in love na mwanaume mweupe. Nikaona hakunaga vigezo kwenye mapenzi. Unaweza ona unapenda embe ukaangukia kwenye ndizi
 
Hahahaaa. Wanaoweka masharti hawako serious. Unaweza ukasema unataka handsome halafu akaja usimpende. Mimi najali moyo wangu zaidi kuliko alivyo mwanaume. Nakumbuka nilikuaga napenda wanaume weusi wenye afro. Ila nikafall in love na mwanaume mweupe. Nikaona hakunaga vigezo kwenye mapenzi. Unaweza ona unapenda embe ukaangukia kwenye ndizi
Safi sana...kwa uelewa wako huu, tungekuwa mtaa mmoja ungekuwa mama chanjaa now
 
Bwana yule hakua serious. Halafu eti ninaempenda mimi anasema ananiogopa eti hatuendani ni haki kweli?? Nyie wanaume wenyewe mnaogopa wanawake wazuri kama vile k zao za dhahabu mfyuuuuuu
Kooooh koooooh
 
Back
Top Bottom