mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,592
- 45,214
Bado sijapata , msaada wako tafadhaliPole jamani. Umepata coflin?
Bado sijapata , msaada wako tafadhaliPole jamani. Umepata coflin?
Karibu mtaan kwetu... ..pembeni ya mti mkubwaa karibu na duka la mangi wee endelea kujaa utaona nyumba ya tembe ingia ndani tuyajengeHahahahaaa. Unaweza nihamishia tu mtaani kwenu sina shida.
Nakaribia hapa.Karibu mtaan kwetu... ..pembeni ya mti mkubwaa karibu na duka la mangi wee endelea kujaa utaona nyumba ya tembe ingia ndani tuyajenge
Hivi mapenzi ya kweli yapo siku hizi.... Labda kijijini kwetu Mwakaleli sio bongo hiiHahahahaaa. Tatizo mnataka kuimpress wanawake wazuri. Mwanamke akikupenda hata umpeleke kwa mama lishe atakula. Akiwa hakupendi ndo anakikomesha na mainvoice makubwa makubwa
Yapo hajamyapata tu. Mi mwenyewe najua yapo japo sina nianempenda ila najua yapoHivi mapenzi ya kweli yapo siku hizi.... Labda kijijini kwetu Mwakaleli sio bongo hii
Labda una jisura la ajabu na mshepu ka kiroba cha viazi lakin kama umrembo huezi kuwa na mario.Wanaume wengi wanamatatizo cku hizi yaani utakuta mtu kwanza,Mario mjini unafkiri mwanamke gani anataka hio Stress...
Halafu mzigua90 ujue unazingua sana ww mbidada. Ulitoaga post humu unatafta mume nikakufuata PM ukanipotezea.Hahahaaa. Wanaoweka masharti hawako serious. Unaweza ukasema unataka handsome halafu akaja usimpende. Mimi najali moyo wangu zaidi kuliko alivyo mwanaume. Nakumbuka nilikuaga napenda wanaume weusi wenye afro. Ila nikafall in love na mwanaume mweupe. Nikaona hakunaga vigezo kwenye mapenzi. Unaweza ona unapenda embe ukaangukia kwenye ndizi
Lol,nashkuru Mungu sura nmebarikiwa,am beautiful na co kama mm ndo nakuwa na mamario nilikuwa nasemea mamario Kwa mtazamo,kwanza inaezekana na ww ni mmoja wakuogopa wanawake wazuriLabda una jisura la ajabu na mshepu ka kiroba cha viazi lakin kama umrembo huezi kuwa na mario.
[emoji23][emoji23]
Nimekufatilia sana humu na nimegundua muda wako wa kuoa umefika, fanya uoe Basi, ingekuwa haujafika usingetambua hivo, haiwezekani Kila mara useme hivi, au bado huna vigezo mkuu, tutapunguza vigezo na kubakisha vya uwe na degree[emoji3][emoji3][emoji3]uwe na pesa[emoji16][emoji16], upendo wa dhati, u handsome na ucha Mungu unatengenezwa tu, mengine tutavumiliana, ni hayo tu [emoji2]Ukiona unajizungusha kuoa ujue hujaamua tuu.
Ila muda ukifika wakuoa utaoa
Kwakweli punguzen ,wanawamke mnachagua sanaaaaa loooo , embu punguzen vigezo kwakweli !!Nimekufatilia sana humu na nimegundua muda wako wa kuoa umefika, fanya uoe Basi, ingekuwa haujafika usingetambua hivo, haiwezekani Kila mara useme hivi, au bado huna vigezo mkuu, tutapunguza vigezo na kubakisha vya uwe na degree[emoji3][emoji3][emoji3]uwe na pesa[emoji16][emoji16], upendo wa dhati, u handsome na ucha Mungu unatengenezwa tu, mengine tutavumiliana, ni hayo tu [emoji2]
Poa kumbe mzuri eeh. Njoo pm nikutongoze. Mie sio mario, ntakuhudumia usijaliLol,nashkuru Mungu sura nmebarikiwa,am beautiful na co kama mm ndo nakuwa na mamario nilikuwa nasemea mamario Kwa mtazamo,kwanza inaezekana na ww ni mmoja wakuogopa wanawake wazuri
Nadhani ubongo wako hauko vizuri, kama ulichoandika umekimaanisha, na kama umeandika kimzaha, Mungu anakuona, ipo siku utajua thamani ya mama na kuikiri waziwaziKwanza mnakosea sana kuwaita wanawake ni wanadamu. Hawa ni viumbe waliotengenezwa kwa materials zilizotoka kwa mwanadamu. Si kila kinachotengenezwa kwa pamba ni nguo mengine ni makanyagio ya mlangoni. Hawa viumbe tulipaswa kuishi nao na kuwafuga kama Bobi na papi. Kuoa mwanamke na ukam-consider kama binadamu huna tofaut na aliyeoa mbuzi halaf anataka huyo mbuzi a-reason kama mwanadamu
Men are created but women derived from men.
Mwenye kusikia na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa.
Hio bikra bado ipo!?[emoji23][emoji23]