Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Wakati mkiendelea kulumbana kuhusu ipi ni dini sahihi mkumbuke pia hili janga la Ushoga halichagui dini, Kabila, Rangi, Tajiri au Maskini! !! Hili ni letu sote! Kizazi chetu na vizazi vijavyo vitapukutika kama mavumbi kwenye upepo mkali, tukizubaa hakuna atakae bakia! !

Tumeshawekewa sumu kwenye chakula badala ya kutatua tatizo tuko busy kunyoosheana mavidole tu!

***Imagine your son/daughter growing up in such a filthy place jamani?!?! Muumba atuepushe! !
Umeona Dada??? Mjadala unapoteza uelekeo....tuangalie factors ambazo zinachangia hili tatizo, tuzichanganue na kutafuta masuluhisho gani? kama mtihani,katika maksi kumi hawa nawapa mbili tu, kwani wametoa mbili tu, eti wazungu, eti.... waarabu
 
nimesema sehemu alizotawala mwarabu enzi za ukoloni MBNA huelewi?
kuhusu Kuwait,Qatar n mafuta yamewabeba wasingekuwa na mafuta wangekuwa mafala vibaya
miarabu haina elimu KBS hata kule kwao wataalamu mbalimbali kama ma enginer,nk wanakodi kutoka sehemu zngine maana miarabu haijaenda shule
naona umenijibu Mara 12..una kifafa!?..hapa Tanzania ni wapi mzungu kaacha maendeleo?..huko arabuni shule/vyuo hakuna?..nyie mbona mna rasilimali nyingi na bado masikini?
 
Mtoa mada, SI warabu peke yao walifanya biashara ya utumwa, hata wazungu pia, babu zetu waliwafanya Sana, kwani mtumwa alikuwa kama mnyama,ulikuwa una mmiliki Kama mbuzi, Basi waliwafanya Sana, hiyo mnaita kata kundu unajua historia yake????? Mwenye kukumiliki alikuwa akishamaliza kukufanya una amrishwa kuvaa nusu kiuno, au yenye matobo, Kama ishara kwa wazungu wengine kwamba ushamegwa!!!!!??? Je uliyajua hayo???? Pia ukihalifu sheria ukanyongwa Wana kuvua suruali..hii whii walifanyiwa hadi watoto..


Hii ..
6dbd1d21959b8d9b689e7d682f2fce54.jpg
 
Sitetei mtu, lakini kwa mabaya wenzetu Hawa walotufanyia, naamini Wana laana! Kwani mbingu huwa zinalipa kisasi na ardhi Ni shahidi mwaminifu
 
nimesema sehemu alizotawala mwarabu enzi za ukoloni MBNA huelewi?
kuhusu Kuwait,Qatar n mafuta yamewabeba wasingekuwa na mafuta wangekuwa mafala vibaya
miarabu haina elimu KBS hata kule kwao wataalamu mbalimbali kama ma enginer,nk wanakodi kutoka sehemu zngine maana miarabu haijaenda shule
Umechemka, Akili haina uhusiano wowote na usenge, mgunduzi na mmiliki wa Apple Ni msenge pia
 
hata dar Mwarabu alikaa..ndiye aliyetoa jina LA dar es salaam..pia Dubai na saudia ni nyumbani kwa Mwarabu..sasa sijui panalingana na njombe au ndanda-mtwara alikokaa mzungu
Kikubwa angalia mzungu au mwarabu aklikaa kwa muda gani, mwarabu zaidi ya misikiti kulikuwa hakuna kingine, hata dar ya mwarabu ilikuwa choka mbaya siyo hii tunayoiona leo
 
Kikubwa angalia mzungu au mwarabu aklikaa kwa muda gani, mwarabu zaidi ya misikiti kulikuwa hakuna kingine, hata dar ya mwarabu ilikuwa choka mbaya siyo hii tunayoiona leo
mnabadili tu maneno kama Malaya vile..mwanzo mlisema alipokaa Mwarabu hakuna maendeleo,baada ya kuona maendeleo arabuni mnakuja na blabla zngne..haya wapi alipokaa mzungu hapa Tanganyika kuna maendeleo!?
 
Dhamira au haja ya binadamu kua na kuvutiwa katika mapenzi ya jinsia yake ama ya tofauti hutegemea sana mabadiliko ya akili katika kujitambua na kujitambulisha 'Kijisia'. Mabadiliko hayo ya akili 'Kiasili' hutokea na kuathiriwa na Umri 'baadae mazingira yanafuatia'. Kila binadamu katika mabadiliko hayo ya utambuzi kijinsia katika vipindi tofauti vya ukuaji wake. Kiuchunguzi katika akili ya Ubongo wa mtoto, huanza kuhisi na kujitambua kijisia (kama yeye ni Me au Ke) akiwa na umri wa miaka 2.5-3,hapa mtoto huanza kubagua kazi na jinsia tofauti na yake,kama ni wa kiume basi atachezea 'toys' kama magari,tairi ,mipira na kuigiza kazi za akina baba, kuzibagua kazi za akina mama na watu wa jinsia tofauti na yake,Vivo hivo na mtoto wa kike nae atapenda kuchezea toys za kike,kuvaa mavazi ya kike,nk.

Mtoto akifikisha umri wa miaka 4-10,akili katika ubongo wake huanza kua na haja za kuvutiwa na watu wa jinsia ya tofauti na kuwabagua wale wa jinsia yake- hii ni asili kabla ya kipindi cha kupevuka. Endapo itatokea hitilafu yeyote katika kipindi hiki( Hitirafu za mabadiliko kiakili katika kujitambua na kujitambulisha kijinsia) basi athali zake huweza kujidhihirisha katika kipindi cha mtu kupevuka (miaka 11 na kuendelea),ambapo hua ni wakati wa kutambulisha haja au Dhamira za Mapenzi kimwili kwa jinsia ya tofauti au ile ya muhusika.

Wapo watu, mfano wanaume, asili ya akili zao kimapenzi imejengwa kuvutiwa na wanawake (Heterosexual),Wapo wanaovutiwa na wanawake pamoja wanaume ( Bisexual),Wapo ambao hawavutiwi na wa jinsia yeyote (Asexual). Tofauti hizi haja huwepo kiasili, mazingira huja kuhalisha saikolojia ya muhusika.

Bahati mbaya tathmini zote za mapenzi ya jinsia moja,hayako katika kuangalia asili ya haja kwa muhusika,bali yapo katika hoja ya uhalali na uhalisia katika utumizi wa sehemu za siri. 'Unaweza ukawa huna sehemu za Siri lakini ukawa na haja za kua na mpenzi-mpenzi wa jinsia yako au ya tofauti'. Jamii inatambua utaratibu wa mahusiano,kwa hitilafu hizi chache tunazoziita har/lau** ziangaliwe katika utaratibu maalumu,kitaalam zaidi (watu hao huitaji tiba za mmoja mmoja kisaikojia),ndio maana suala la maadili litabaki kuchukua nafasi ndogo.
 
Dhamira au haja ya binadamu kua na kuvutiwa katika mapenzi ya jinsia yake ama ya tofauti hutegemea sana mabadiliko ya akili katika kujitambua na kujitambulisha 'Kijisia'. Mabadiliko hayo ya akili 'Kiasili' hutokea na kuathiriwa na Umri 'baadae mazingira yanafuatia'. Kila binadamu katika mabadiliko hayo ya utambuzi kijinsia katika vipindi tofauti vya ukuaji wake. Kiuchunguzi katika akili ya Ubongo wa mtoto, huanza kuhisi na kujitambua kijisia (kama yeye ni Me au Ke) akiwa na umri wa miaka 2.5-3,hapa mtoto huanza kubagua kazi na jinsia tofauti na yake,kama ni wa kiume basi atachezea 'toys' kama magari,tairi ,mipira na kuigiza kazi za akina baba, kuzibagua kazi za akina mama na watu wa jinsia tofauti na yake,Vivo hivo na mtoto wa kike nae atapenda kuchezea toys za kike,kuvaa mavazi ya kike,nk.

Mtoto akifikisha umri wa miaka 4-10,akili katika ubongo wake huanza kua na haja za kuvutiwa na watu wa jinsia ya tofauti na kuwabagua wale wa jinsia yake- hii ni asili kabla ya kipindi cha kupevuka. Endapo itatokea hitilafu yeyote katika kipindi hiki( Hitirafu za mabadiliko kiakili katika kujitambua na kujitambulisha kijinsia) basi athali zake huweza kujidhihirisha katika kipindi cha mtu kupevuka (miaka 11 na kuendelea),ambapo hua ni wakati wa kutambulisha haja au Dhamira za Mapenzi kimwili kwa jinsia ya tofauti au ile ya muhusika.

Wapo watu, mfano wanaume, asili ya akili zao kimapenzi imejengwa kuvutiwa na wanawake (Heterosexual),Wapo wanaovutiwa na wanawake pamoja wanaume ( Bisexual),Wapo ambao hawavutiwi na wa jinsia yeyote (Asexual). Tofauti hizi haja huwepo kiasili, mazingira huja kuhalisha saikolojia ya muhusika.

Bahati mbaya tathmini zote za mapenzi ya jinsia moja,hayako katika kuangalia asili ya haja kwa muhusika,bali yapo katika hoja ya uhalali na uhalisia katika utumizi wa sehemu za siri. 'Unaweza ukawa huna sehemu za Siri lakini ukawa na haja za kua na mpenzi-mpenzi wa jinsia yako au ya tofauti'. Jamii inatambua utaratibu wa mahusiano,kwa hitilafu hizi chache tunazoziita har/lau** ziangaliwe katika utaratibu maalumu,kitaalam zaidi (watu hao huitaji tiba za mmoja mmoja kisaikojia),ndio maana suala la maadili litabaki kuchukua nafasi ndogo.
Wiiiiise...
We jamaa salute...
 
Nafikiri Israel ndio nchi yenye mashoga wengi zaidi duniani according to tafiti za hivi karibuni
 
View attachment 680444
Ma mdogo arabuni sio kama kwenu nyie ulaya

Kule ukigundulika wewe ni shoga amma unajiusisha na vitendo hivyo adhabu yake ni kifo tu.

Hawachekei ufirauni kama wazungu mpaka sheria za kuwalinda wamewaekea na mpaka makanisani hizo ndoa zinafungishwa tena na biblia wa.nashikishwa.
Umeshafika Dubai ukaona biashara ya Ngono. Usingesema hayo, tembea alafu ndio useme. Waaarabu wamepinda sana, tofauti na watu wanavyowafikiria
 
Umeshafika Dubai ukaona biashara ya Ngono. Usingesema hayo, tembea alafu ndio useme. Waaarabu wamepinda sana, tofauti na watu wanavyowafikiria
mashoga uarabuni tele
mfano kuna mtz alisimulia jinsi alivyotaka kujeuzwa shoga hko Oman
miarabu n mishenz sana haina elimu yyote zaid ya kujilipua wana Bahati wana mafuta
 
yani katika vitu vinavyonishangaza ni hawa ndugu zetu kina (NANII) yani ukiwasema waarabu tu wenyewe watakuatack kama umewasema wao na kuanza kuleta udini na kuita wenzao kafiri

waarabu ni weupe ila nashangaa wanaposemwa kuna jitu jeusi kama mnubi linaanza kuwashwa kama limesemwa lenyewe na silaha yao kubwa ni dini

hapo haijatajwa dini ametajwa mwarabu na mambo yake ya kupita chooni.... sasa nyie ndugu zangu kina (NANII) hizi kelele za udini sijui zimetoka wapi
 
yani katika vitu vinavyonishangaza ni hawa ndugu zetu kina (NANII) yani ukiwasema waarabu tu wenyewe watakuatack kama umewasema wao na kuanza kuleta udini na kuita wenzao kafiri

waarabu ni weupe ila nashangaa wanaposemwa kuna jitu jeusi kama mnubi linaanza kuwashwa kama limesemwa lenyewe na silaha yao kubwa ni dini

hapo haijatajwa dini ametajwa mwarabu na mambo yake ya kupita chooni.... sasa nyie ndugu zangu kina (NANII) hizi kelele za udini sijui zimetoka wapi
mkuu hawa wavaa ndala si wamekaririshwa upuuz na hii miarabu?
binafsi mwarabu n MTU wa hovyo tu hakuacha urithi wowote zaidi ya kueneza mila ya kuoa wake 4 na kufuga ndevu
heri wazungu walitupatia elimu na huduma za kijamii hata hii cm tunayotumia n teknology ya mzungu,mwarabu hana elimu yyite zaid ya kujilipua
 
Back
Top Bottom