Leo mzee Ulimwengu umetuletea boya katika kipindi chako.
Huyo jamaa anadhalilisha hata taasisi ikiyomwajiri. Wote wanaonekana hamna kitu ni usanii tu.
Hilo ndio tatizo la kulishwa mawazo.
Dah jamaa kamtoa nishai mshkaji
na kweli boya...uwezo wake mdogo naona atafuta nafasi lumumba..
Ulimwengu hata kama kaleta boya anamulika hawa makajanja wa mjini wanaojinadi kama waandishi wa habari.
Well said mkuu,sio kila mwenye shahada ni mahiri kwenye fani yake wengine wamehonga kuwa nayo.Hiko chuo DSJ kiko wapi maana kuna watu wengi wamepita hapo tena hawapo vizuri.
Na ktk hiyo Taasisi Yeye ndiyo Afisa Uhusiano Wao Sasa pata Picha Afisa Uhusiano wa Redio Mawingu hana Analytical ability Je Unategemea Nini? Hakika Ameaibisha Tasnia Nzima Ya Mawasiliano Ya Umma na Uandishi wa Habari. Kazi Ipo!!!!
Katumwa na akina Bashiru Ali.Watu kama hawa ni wengi sana nchi hii.Wanaongea bila hoja na wanatetea sana ujinga wao.Mtu anafikia kusema hata katiba mpya si ya lazima eti watanzania wanataka maisha mazuri!!ajabu hii!Haya maisha bora watayapataje bila katiba imara isiyotetea maisha yao?Katiba ambayo haiwawajibishi viongozi wababaishaji bado kuna watu wanaitetea?Hawa watanzania wa jinsi hii wasipoelimika nchi hii ni majanga sidhani tutafika tuendako!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Katumwa na akina Bashiru Ali.