Channel 10 Live: Jenerali on Monday

Brooklyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
1,459
284
Naangalia kipindi cha Jenerali Ulimwengu sasa hivi na mgeni leo ni Simon Simalenga ambaye ni mwanahabari (Producer wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM).

Kipindi cha leo kinahusu rasimu ya pili ya katiba. Simalenga nashangaa kwanini alienda kwenye kipindi wakati anapwaya sana kwenye suala hili la katiba.

Jamaa kila swali analoulizwa anaweweseka kujibu kiasi ambacho mzee Jenerali inabidi aanze kumuelimisha.

Huyu jamaa amezoea kule clouds fm utani mwingi akajua ataweza kuchambua masuala ya katiba.

Leo mzee Ulimwengu umetuletea boya katika kipindi chako.
 
Baada ya kuendelea kusikiliza kipindi hili cha leo trh 27/01/2014.
Kuna mtu anaitwa simalenga ametambulishwa kama mwandishi wa habari.
Mwana habari huyu anasema tume imelazimisha serikali 3 na si mawazo ya watz,
Anasema watu laki tatu hawakustahili kuamua juu ya katiba,
Anadai baadhi wajumbe wa tume ya katiba walikuwa wana G55 ameambiwa awataje ameshindwa

Mtazamo wangu, UAMDISHI WA HABARI INATAKIWA KUWA NA WATU WENYE DIVERSITY OF PROFESSION, nafikiri hoja ya kipindi ingepata mwandishi wa habari ambaye ana taaluma ya sheria/historia/au hata uchumi ua hata fani nyingine angeweza kuleta changamoto za maana.

NI VYEMA PIA WAANDAAJI WA VIPINDI KUALIKA WATU WENYE UJASIRI BILA KUONGEA KWA HOFU NA HISIA TU.

NAWAKILISHA KIZALENDO
 
Huyo mwandishi ni kituko cha mwezi anadai "sisi hatukutoa maoni ya serikali 3 ni mawazo ya tume" . Ulimwengu akamuuliza ninyi akina nani, unamaanisha tume imewadanganya watanzania.
Majibu ya kibabaishaji yakatiririka. Jamani kazi ndani ya nchi hii. Ulimwengu ameonekana kutoridhika na mwandishi mwenziye
 
Kumbe ndo huyo ---- mnamzungumzia mm sijakiona nashaa eti anafanya kazi clouds naye jenerali alete watu wenye@ akili si wasanii anazani katiba ni bongo movie zao za kishenzi,chizi kweli huyo jamaa
 
Watu kama hawa ni wengi sana nchi hii.Wanaongea bila hoja na wanatetea sana ujinga wao.Mtu anafikia kusema hata katiba mpya si ya lazima eti watanzania wanataka maisha mazuri!!ajabu hii!Haya maisha bora watayapataje bila katiba imara isiyotetea maisha yao?Katiba ambayo haiwawajibishi viongozi wababaishaji bado kuna watu wanaitetea?Hawa watanzania wa jinsi hii wasipoelimika nchi hii ni majanga sidhani tutafika tuendako!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
huyu jamaa mbumbu...

Huyu jamaa alikuwa kwenye mchezo wa kuigiza wa kaole .jina lake la kisanii ni dumelo .ni mtoto sana kuhusu maswala haya .ni mtoto wa kupakatwa that's what I can say .nina maana ametumwa
 
huyu jamaa alikuwa kwenye mchezo wa kuigiza wa kaole .jina lake la kisanii ni dumelo .ni mtoto sana kuhusu maswala haya .ni mtoto wa kupakatwa that's what i can say .nina maana ametumwa

Dimelo
 
Last edited by a moderator:
Stat tv kuna mjadala unaendelea kuhusu katiba mpya yuko Dotto Bulendu fuatilieni...

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
huyo jamaa kaniharibia kabisa furaha niliyokuwa nayo yaani ni hovyo kabisa amevaa ni kamiwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom