#COVID19 Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

Pslmp

JF-Expert Member
Mar 18, 2021
1,622
2,459
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauli moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu, mtu akitaka na asipotaka kuchanja, sawa!

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni wale wasiochanjwa, ni kuingilia mhimili wa Uraisi ambapo yeye ndiye mwenye wananchi wote akiwemo yeye sipika pia ni kutengua kauli ya mh Raisi ambayo ni sheria,

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
 
Chanjo ni hiyari ila kama haujachanjwa kaa ndani ,usiende kwenye mikusanyiko ukaendeleza kusambaza kwa wengine ,lengo la WHO ni kila nchi kufikia uchanjwaji wa atleast 90% ili kusaidia kufikia herd immunity kwa haraka.....Kama mbunge hataki kuchanjwa afanye mikutano kwa zooom au microsoft teams.
 
Chanjo ni hiyari ila kama haujachanjwa kaa ndani ,usiende kwenye mikusanyiko ukaendeleza kusambaza kwa wengine ,lengo la WHO ni kila nchi kufikia uchanjwaji wa atleast 90% ili kusaidia kufikia herd immunity kwa haraka.....Kama mbunge hataki kuchanjwa afanye mikutano kwa zooom au microsoft teams.
Ndilo tangazo la Rais?
 
Ile thread ya Wanaompinga Rais kama plan B
Iko wapi?Waliirudisha?
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Kauri=kauli
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa Bunge ni muhimili mwingine wa dola tofauti na serikali. Ndani ya Bunge Spika ana mamlaka inayojitegemea na maamuzi yake sio lazima yaendane na maamuzi ya serikali
wewe ndo huelewi kaa kimya
 
Chanjo ni hiyari ila kama haujachanjwa kaa ndani ,usiende kwenye mikusanyiko ukaendeleza kusambaza kwa wengine ,lengo la WHO ni kila nchi kufikia uchanjwaji wa atleast 90% ili kusaidia kufikia herd immunity kwa haraka.....Kama mbunge hataki kuchanjwa afanye mikutano kwa zooom au microsoft teams.
... kibao kimegeuka; waliochanjwa ruksa kwenye mihangaiko ya maisha; wasiotaka chanjo wakae ndani wasiambukize wengine! Wanafunzi kuanzia chekechea inakuwaje? Hili kundi ni wasambazaji wazuri sana wa Covid.
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Magufuli gang wanamdharau sana Samia!
 
Back
Top Bottom