Changia Mabadiliko Chalinze

Changia Mabadiliko Chalinze

Wazee wa Buku saba nasikia imefika kumi, kumbukeni kushindana nampango wa Mungu ni mbaya, mtakuja ulizwa haya
 
Wapenda mageuzi na mabadiliko ya kweli ningependa kuwashirikisha katika uchaguzi mdogo wa ubunge chalinze utakaofanyika Chalinze tarehe 6th-April 2014. Lengo kubwa ni kufikishia ujumbe wanachalinze kuwa nchi yetu haina mfumo wa kurithishana madaraka (chiefdom).
Iwapo Rais JakayaKikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu Ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja Chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 Michango yenu itawasilishwa kwa katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na - Maendeleo Tarehe 31 March 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya Uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
Ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...


UPDATE:
Mungu anazidi kutubariki...
Masanilo - 20,000/= Teamo - 20,000/=


Hii haikubariki.
Huu ni utaperi.
Wandugu mchaga katumwa hela.
Chadema imeshapoteza mvuto kwa wananchi mmeshajulikana janja yenu ni kutumia udhaifu wa raia na kuwapora wananchi wanyonge kwa style hii.
Unaibia wananchi
 
Last edited by a moderator:
Wapenda mageuzi na mabadiliko ya kweli ningependa kuwashirikisha katika uchaguzi mdogo wa ubunge chalinze utakaofanyika Chalinze tarehe 6th-April 2014. Lengo kubwa ni kufikishia ujumbe wanachalinze kuwa nchi yetu haina mfumo wa kurithishana madaraka (chiefdom).
Iwapo Rais JakayaKikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu Ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja Chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 Michango yenu itawasilishwa kwa katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na - Maendeleo Tarehe 31 March 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya Uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
Ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...


UPDATE:
Mungu anazidi kutubariki...
Masanilo - 20,000/= Teamo - 20,000/=


Umesahau Mbowe kamrithi nani? Mkwewe. Tena bila uchaguzi. Isitoshe, unajuwa Joisi kwanini yupo pale bungeni kwa upendeleo? Isitoshe, kama huelewi unachokisoma basi hata picha huoni? Hawa chini, kina dada, mtoto, mkwe, mpwa, walichaguliwa na wananchi gani? usimsahau yule aliyebadilishwa safari ya kazi akiwa njiani New York akapelekwa Dubai kula bata.


















Kumbuka Chalinze kuna mchakato wa kura unaendelea:
 
Hii haikubariki.
Huu ni utaperi.
Wandugu mchaga katumwa hela.
Chadema imeshapoteza mvuto kwa wananchi mmeshajulikana janja yenu ni kutumia udhaifu wa raia na kuwapora wananchi wanyonge kwa style hii.
Unaibia wananchi

Ebu tulia basi kijana,nini unahangaika? Tutachangia kwa hali na mali mpaka kieleweke.
 
Huyu Mwenye hii namba iliyosajiliwa kwa jina la AGNES BELA ni nani huko Chadema? Kwanini hii michango isiwasilishwe kwa Katibu mkuu moja kwa moja?

Wewe inakuhusu nini kama si kiherehere cha kikwapa! Mzigo ubebwe na kichwa, wewe utoe jasho! Hujawahi kuchanga na huwezi kuchanga. Hapo unaganga njaa Lumumba ukisubiria malipo ya buku saba. Acha wenye moyo wanajitolea bila wasiwasi!
 
wewe mini-kabang (lema) na mleta mada mnafanana upeo wenu, ila kwa hili la kuchangisha lazima Lema aje charinze hapo mmemkuna penyewe mpiga deal.

Post ya kipuuzi kabisa! Kweli unapojiweka upande wa lumumba lazima uwe chizi!!! Akili za kikameruni zinaonesha kabisa kwamba ukitoka lumumba unaenda kutega lango la jiji!
 
Mtaa wa congo umehamia jf wizi wa m hana huu unatoka wapi? Eti changia siku zote ulikuwa wapi? Ukiona nchi ina vita juwa ni kipindi ambacho pesa uhamishwa sana katika nchi husika kwenda ughaibuni, sasa technic hiyo matapeli wanataka kuitumia kuwatapeli wenzao, anachangisha kwa kibali cha nani? Kwani ziende kwa mtu binafsi? Hamkeni.
 
Mtaa wa congo umehamia jf wizi wa m hana huu unatoka wapi? Eti changia siku zote ulikuwa wapi? Ukiona nchi ina vita juwa ni kipindi ambacho pesa uhamishwa sana katika nchi husika kwenda ughaibuni, sasa technic hiyo matapeli wanataka kuitumia kuwatapeli wenzao, anachangisha kwa kibali cha nani? Kwani ziende kwa mtu binafsi? Hamkeni.


Huna hela ya kuchanga wewe hivyo kaa kimya, mchango ni wa hiyari huu.... Watachangia wapenda mabadiliko wewe tupishe.. Endelea kulamba wenzio miguu huko! Mxiiiiiiiiiu
 
Vipi zile alizojikopesha amesharudisha?

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk

Ukiona mwanaume mzima anaongea umbea jua ana tatizo mahali, jikague wewe... Ushaharibiwa kitambo sana
 
Post ya kipuuzi kabisa! Kweli unapojiweka upande wa lumumba lazima uwe chizi!!! Akili za kikameruni zinaonesha kabisa kwamba ukitoka lumumba unaenda kutega lango la jiji!

Filipo huyo anaitwa MSALANI kwe kwe kwe kwe kwe
 
Last edited by a moderator:
Nasikia kuna kata mtoto mwenye nchi alienda kuhutubia alivyofika akagoma eti kisa jua linawaka na hakuna hema, daaah... Nmejiuliza sana nikakosa majibu.... Wapiga kura wasimame juani afu yeye ahutubie akiwa kivulini khaaa.... Hii ni dharau ya hali ya juu kwa watu wa chalinze

Mungu anawaumbua.
 
Huna hela ya kuchanga wewe hivyo kaa kimya, mchango ni wa hiyari huu.... Watachangia wapenda mabadiliko wewe tupishe.. Endelea kulamba wenzio miguu huko! Mxiiiiiiiiiu

Yaani unajiita sweet halafu uko kwenye mtandao wa matapeli! Badilika wanatafuta pesa kiugumu wenzenu.
 
Nasikia kuna kata mtoto mwenye nchi alienda kuhutubia alivyofika akagoma eti kisa jua linawaka na hakuna hema, daaah... Nmejiuliza sana nikakosa majibu.... Wapiga kura wasimame juani afu yeye ahutubie akiwa kivulini khaaa.... Hii ni dharau ya hali ya juu kwa watu wa chalinze

Nna uhakika wewe ni mfanyakazi wa kile kiwanda...

Kwi kwi kwi teh teh teh

...Cha uongo.
 
Back
Top Bottom