Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Tunahitaji mchango wakoHuyu Mwenye hii namba iliyosajiliwa kwa jina la AGNES BELA ni nani huko Chadema? Kwanini hii michango isiwasilishwe kwa Katibu mkuu moja kwa moja?
Tunahitaji mchango wakoHuyu Mwenye hii namba iliyosajiliwa kwa jina la AGNES BELA ni nani huko Chadema? Kwanini hii michango isiwasilishwe kwa Katibu mkuu moja kwa moja?
Huyu Mwenye hii namba iliyosajiliwa kwa jina la AGNES BELA ni nani huko Chadema? Kwanini hii michango isiwasilishwe kwa Katibu mkuu moja kwa moja?
Mnaomba michango huku mnasindikiza thread na porojo za hapa na pale.
Kuthibitisha mambo mawili muhimu ktk maisha ya wanadamu ambayo Jk pamoja na kuwa mbunge miaka 15, kina Bwanamdogo marehemu kina kawambwa angalia matatizo ya maji na elimu ilivyo jimbo hilo. Ni baadhi tu ambayo picha zake mziangalie, ni ajabu mtoto wa JK eti atatatua matatizo haya,
Tunahitaji mchango wako
chalize hawadanganyiki.unajisumbua kawape elimu hiyo cdm wajue umuhimu wa demokrasia ndani ya chama chaowapenda mageuzi na mabadiliko ya kweli ningependa kuwashirikisha katika uchaguzi mdogo wa ubunge chalinze utakaofanyika chalinze tarehe 6th-april 2014. Lengo kubwa ni kufikishia ujumbe wanachalinze kuwa nchi yetu haina mfumo wa kurithishana madaraka (chiefdom).
Iwapo rais jakayakikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 michango yenu itawasilishwa kwa katibu mkuu wa chama cha demokrasia na - maendeleo tarehe 31 march 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...
Huyu Mwenye hii namba iliyosajiliwa kwa jina la AGNES BELA ni nani huko Chadema? Kwanini hii michango isiwasilishwe kwa Katibu mkuu moja kwa moja?
chalize hawadanganyiki.unajisumbua kawape elimu hiyo cdm wajue umuhimu wa demokrasia ndani ya chama chao
MSALANI , wewe huwa unapost ukiwa bar... Sikuhizi umeacha? Hii thread ni ya wapenda mabadiliko wewe sio miongoni mwao manake tunakujua umeshikiwa akili na wanaume wenzio.... Hapa unafanya nini? Inakuhusu?
Asante sana kamanda nimepokea mchango wako...
Ficha upumbavu wako lakini usifiche hekima yako
Unajiita mwanamke mtamu halafu kinywa chako kinatema kashfa kama hizi kwa wadau. Nipe namba yako nikuchangie kodi ya nyumba kwanza, Halafu hawa matapeli wenzio nitawachangia baadaye!