bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,172
- 3,265
Natia timu Chalinze kuamsha amsha pamoja tutashinda
Naskia mchng nawewe unataka kugombea udiwani ... maana naona harakati zimezidi.
Natia timu Chalinze kuamsha amsha pamoja tutashinda
Unajiita mwanamke mtamu halafu kinywa chako kinatema kashfa kama hizi kwa wadau. Nipe namba yako nikuchangie kodi ya nyumba kwanza, Halafu hawa matapeli wenzio nitawachangia baadaye!
Naskia mchng nawewe unataka kugombea udiwani ... maana naona harakati zimezidi.
hawa ndiyo wanaotafutwa na M7...?
Wapenda mageuzi na mabadiliko ya kweli ningependa kuwashirikisha katika uchaguzi mdogo wa ubunge chalinze utakaofanyika Chalinze tarehe 6th-April 2014. Lengo kubwa ni kufikishia ujumbe wanachalinze kuwa nchi yetu haina mfumo wa kurithishana madaraka (chiefdom).
Iwapo Rais JakayaKikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu Ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja Chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 Michango yenu itawasilishwa kwa katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na - Maendeleo Tarehe 31 March 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya Uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
Ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...
UPDATE:
Mungu anazidi kutubariki...
Masanilo - 20,000/= Teamo - 20,000/=
yaani malipo yako ya (200,000/7,000) = siku 28.5
Mkuu namba ya kutuma mchango si ameshaiweka hapo! wewe tuma tuu, PM ya nini tena?Pamoja sana tupo pamoja... kama uko A TOWN ni PM niwakilishe mchango wangu
Wao wana pesa Chadema tuna Mungu aliye hai
Usikute ni mpango wa kumchangia kiburudishoNahisi harufu za Wizi sasa Agnes Bela ndio nani? Crashwise? Duu chagadema mnaleta hata uchaga kwenye mambo ya msingi!
Kweli wajinga ndio waliwao!
ruzuku ya chama imeenda wapi.mpaka mtuchangishe?