Changia Mabadiliko Chalinze

Changia Mabadiliko Chalinze

hatutaki pesa ya meno ya tembo, sembe, ufisadi hiyo pelekeni ccm...mahesabu wewe ni mkaguzi tuwekee za epa zilirudishwa ngapi na zilipeekwa wapo na kwanini..

Ahsante! Unachangisha ili ufanane na wezi wa epa? Hapo nimekukubali kaza buti! Teh.....
 
Yaani wamechangia watatu tu??

Mahaba huwa yanafikia mwisho!

Hii sio chadema ya miaka mi3 nyuma!
 
Duh! kweli ngoma ikilia sana inakaribia kupasuka nahisi muda wa Chadema kupasuka umefika nasikia wabunge wamegoma kuchangia milioni 2/2 kwa ajili ya kulipia jamaa wa kutoka Arusha na Moshi wanaokuja ktk picknic kwa kisingio wanakuja kulinda kura. Kura hutafutwa kwanza kisha ndio zinalindwa sasa usipozitafuta Utalinda nini? Hiki kikundi mmelaaniwa na ndio maana mnaanza na shetani na mnamaliza na shetani bado siku 8 kabla ya Uchaguzi hatusikii makeke yoyote yaani mmekua hamna ladha kabisa hivi sawa mademu wabovu wanaojipanga Uwanja wa Fisi kule Tandale wanaosubiri kuliwa Kabang!
 
Nimepokea Tsh 26,000/= kutoka kwa mtafutano, Asante sana kamanda...
 
Last edited by a moderator:
ngoja na mimi nifanye mchakato nitume chochote kitu kwasababu naamini CDM itajengwa na wenye moyo, tena mioyo misafi.

Mkuu kibol mbona kimya...
 
Last edited by a moderator:
karibu uchangia mama mdogo...

unadhani ukitukana ndo michango itaongezeka au?

Wenzio waliokua wananiomba nichangie cdm walikua hawatukani and i did it.

Nilimchangia mawazo na wenzake wa rock city kiroho safi tu.
 
unadhani ukitukana ndo michango itaongezeka au?

Wenzio waliokua wananiomba nichangie cdm walikua hawatukani and i did it.

Nilimchangia mawazo na wenzake wa rock city kiroho safi tu.
Changia basi hapa kwa roho mbaya...
 
Hii Harambee imeshindikana, toka tarehe 24, mpaka leo tarehe 30 Machi tumepata 96,000/= tu?
 
Arushaone, Nanyaro Ephata, Barabara ya Vumbi, Blaki Womani, erick52, Lily Flower, Preta, Smile, babav, Mamzalendo kibol [MENTION=25776]Mtumpole[/MENTION masanilo, Molemo marejesho, sweetlady, LiverpoolFC, Filipo, Martin Jr, Oleveroya@lutayega godwinnko eliceco hans79, ukweli mtupu, TUMBIRI, kuku dume, Mungi KALYOVATIPI only83 1800 Havizya Kabembe@Bongolala STK ONE Atabase Agaya ibange mahoza kajunju Sheshejr, kingungwe Uncle Rukus Sabung'ori Mang'ang'a@maoniyangu Aaron, Han'some, Mrdash1, palalisote@maoniyangu vaspanya, GITWA kagame, Tangopori mbumbumbu bibliography, Gracious, Libaba@nyengo Ishina MAMMAMIA Mwana fandey Saint Ivuga frafajo Mbundenali dosama, william bramwel Ritchie mfereji maringo Welu Eraldius ngoni85 Mponjori Ziroseventytwo OMUSILANGA Mawaiba Nairobifly Rasib ntamaholo, hoyce Comi frema 120, Apolonary shardcore Benaire Dark City mpenda pombe mnyazo mwenyenguvu, CHIETH Mbilimbili Mamndenyi KAMBAJECK Codon peoples power andrewk mareche Swagatwende, Prisoner 46664 Kirode Mpangamji Dingswayo alfred Daud Pigangoma Navy SEAL Gagurito Mkono lubaza Dingswayo, chante Bobuk, @kodem Mamadou Ciril Kimat Ndakilawe, Mercyless pstar01884 jackson kanene Bitende Dingswayo, Josh Michael, Adrian Kim, Mawaiba, Hodarism, sawabho, Mzee Wa Rubisi Gaza and Israel, sir.JAPHET, mwitaz, emmanuel katamba, JahGun, Tetty, tanira1, Manyi, Observer, SANING'O LOSHILU, Mwanamutapa, Petram, Puppy, Masterproud munisijo kanewi, akilipana, Mulungwani, MotoYaMbongo, Lobapula, S2dak_Jr, SUMLEY, Yegoo, KIMAROO, Munambefu, Cheche Mtungi, Mfamaji, Femsor The Activist, Logy, FUSO, George J Minja, makamuz, zumbemkuu, Walas Ba, Mutakyamirwa, RGforever, mmaroroi, Bugota, Makala Jr, Tuko, mohamed mtoi, PISTO LERO, bibi kuku, kumbo, Fidel80, Christian Ibrahim, Ulimbo david2010
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa kunikumbusha Kamanda, nitatoa mchango wangu kama nilivyokufahamisha!
 
Back
Top Bottom