Changia Mabadiliko Chalinze

Changia Mabadiliko Chalinze

Mgombea wa Chadema Chalinze yeye kasema wazi hata akishindwa uchaguzi lakini lazima apande Chopa.
 
Kuthibitisha mambo mawili muhimu ktk maisha ya wanadamu ambayo Jk pamoja na kuwa mbunge miaka 15, kina Bwanamdogo marehemu kina kawambwa angalia matatizo ya maji na elimu ilivyo jimbo hilo. Ni baadhi tu ambayo picha zake mziangalie, ni ajabu mtoto wa JK eti atatatua matatizo haya,

Majimbo wanayoongoza CDM mmefanya nini cha maana kama sio kuandamana kila siku.
 
Mgombea wa Chadema Chalinze yeye kasema wazi hata akishindwa uchaguzi lakini lazima apande Chopa.

Ukomo wa Ubunge usiwepo lobbying Ridhiwani awe mbunge wa Maisha. lobbying wabunge wateuliwa uwaziri uchakachuzi rasimu ya Katiba. wapi Makongoro wapi watoto wa Mkapa.

Angalia ulichochangia
 
Kuthibitisha mambo mawili muhimu ktk maisha ya wanadamu ambayo Jk pamoja na kuwa mbunge miaka 15, kina Bwanamdogo marehemu kina kawambwa angalia matatizo ya maji na elimu ilivyo jimbo hilo. Ni baadhi tu ambayo picha zake mziangalie, ni ajabu mtoto wa JK eti atatatua matatizo haya,

Du hii noma sana! Wabunge siku hizi wako ki maslahi yao tu, hata jimbo la ubungo hakuna maji, wakazi wa ubungo hawamtaki tena Mnyika, ni janga kwanza haonekani kabisa jimboni.
 
Ukomo wa Ubunge usiwepo lobbying Ridhiwani awe mbunge wa Maisha. lobbying wabunge wateuliwa uwaziri uchakachuzi rasimu ya Katiba. wapi Makongoro wapi watoto wa Mkapa.

Angalia ulichochangia
Kwani katiba inakataza mtoto wa rais kugombea ubunge.

Umeishajiuliza kwa nini mtoto wa Ndesamburo yeye na baba yake ni wabunge.

Umeishajiuliza kwa nini mkwe wa Ndesamburo ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini dada yake Tundu Lissu ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini mzazi mwenzake Dr.Slaa ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini demu wa Mbowe aliyezaa nae ni mbunge.

Endeleeni kuwachangia hiyo pesa yako uliotoa bora ungewapelekea jamaa zako wangekushukuru.
 
Mgombea wa Chadema Chalinze yeye kasema wazi hata akishindwa uchaguzi lakini lazima apande Chopa.

Hela ya chopa hakuna mkuu, chama hakina hela hata iliyotumika Kalenga deni halijaisha, hela ya kampeni hakuna ndiyo maana ya kuwekwa kwa bakuli hili kuchangisha, kidogo mgombea angekuwa jinsia tofauti viongozi wa juu wangemsaidia kidogo.
 
Hela ya chopa hakuna mkuu, chama hakina hela hata iliyotumika Kalenga deni halijaisha, hela ya kampeni hakuna ndiyo maana ya kuwekwa kwa bakuli hili kuchangisha, kidogo mgombea angekuwa jinsia tofauti viongozi wa juu wangemsaidia kidogo.
Itabidi mgombea mwenyewe atoe pesa zake mfukoni nasikia ana bucha mbili pale Chalinze.
 
Kwani katiba inakataza mtoto wa rais kugombea ubunge.

Umeishajiuliza kwa nini mtoto wa Ndesamburo yeye na baba yake ni wabunge.

Umeishajiuliza kwa nini mkwe wa Ndesamburo ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini dada yake Tundu Lissu ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini mzazi mwenzake Dr.Slaa ni mbunge.

Umeishajiuliza kwa nini demu wa Mbowe aliyezaa nae ni mbunge.

Endeleeni kuwachangia hiyo pesa yako uliotoa bora ungewapelekea jamaa zako wangekushukuru.
Mkuu Ritz sidhani ataweza kukujibu.
 
Last edited by a moderator:
Itabidi mgombea mwenyewe atoe pesa zake mfukoni nasikia ana bucha mbili pale Chalinze.

afadhali wenye bucha tumchangie siyo huyu muuza madawa ya kulevya..
 
Toka jana jioni mpaka sasa makamanda wamechangia elfu sabini tu. Hii nchi itakombolewa kweli?
 
Mmeamua kuanzisha saccos ingine;
................. Hakuna namna yeyote ile itakayofanya Ritz asiwe mbunge wa chalinze;
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu hapo;
Huko chalinze jamani semeni kama mnataka kuongezewa nguvu;
Nina kaya zaidi ya kumi hapo kiwangwa hembu semeni tuje huko.............

Toka jana jioni mpaka sasa makamanda wamechangia elfu sabini tu. Hii nchi itakombolewa kweli?
 
CCM OYEE, kak changisha kama ilivyokawaida ya chadema ingia mitini na wewe ukao na ikibidi nunua kiwanja kabisa. Chalinze CCM tunashinda kwa kishindo na maendeleo yalioko hapa kwa CDM itachukuwa karne kuyafikia. Kawe na Ubungo mmefanya nini hadi leo? achana na yule anaezimia hovyo kule Iringa. Chadema you talk too much...... Na subirini 2015 helicopter zitakuwa zitaelekea malasysia
 
Toka jana jioni mpaka sasa makamanda wamechangia elfu sabini tu. Hii nchi itakombolewa kweli?

Hahahah kwani wenyewe hawakujui kwamba na wewe unawapiga wenzio? za msiba wa mwagosi hazikufika sembuse hizi? mpaka leo hamjazindua kampeni mko busy mnachangisha online kwani ruzuku hakuna?
 
Back
Top Bottom