Changamoto mbalimbali za maisha ya ndoa. Hii ni changamoto inayonikabili, karibu na wewe utueleze yako tuzitatue

Yaani aisee, mpaka nimelileta hapa ujue limenizidia. Na mimi nataka nimlete mama yangu nyumbani tuone kama wataendelea na upumbavu wao
Kosa kubwa ulilofanya ni kumlewesha mama mkwe, si unajua pombe sio chai, na kama sio hiyo pombe asingethubutu kulala chumba chako ila ushauri wangu usifanye hochote muone kama mamako mzazi.
 
Mke wangu amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo nchini Uingereza ambako sasa ana miezi miwili tangu aondoke.
Alipoondoka alimleta mama yake mzazi kutoka huko kwao, Kaskazini mwa nchi ili aje hapa nyumbani (sikuelewa haswa dhumuni la ujio wake) maana dada wa kazi yupo, house boy yupo, na mtoto Yuko darasa la saba hivyo kwa kiasi fulani anaweza kujisimamia.

Tangu mke wangu amekndoka huyu mkwe amekuwa kama kiranja, ikifika tu saa kumi na moja anapiga simu uko wapi? Usichelewe kurudi.
Ikifika saa tatu hujarudi anaanza kukusumbua na simu.

Nikaongea na wife, nikamweleza kuwa mama arudi tu nyumbani, ameacha mji wake na hapa hamna cha muhimu anachofanya na pia sipendi anavyonibugudhi kwa kunichunga.

Wife akasema mama yupo kwa ajili ya ulinzi, nikastaajabu kidogo, mbona mlinzi tunaye? Au ndio kunilinda mimi?
Nikayeyusha.
Sasa jana ijumaa nimerudi kazini nikaoga Kisha nikawa najiandaa kwa ajili ya kutoka nikalambe gambe kidogo.

Mkwe akaniita, akauliza unaenda wapi? Nikamwambia naenda 777 nikafurahie weekend, akasema twende wote. Sikuona ubaya, tukaongozana.

Tukala na kunywa na kunywa zaidi. Ila kadiri muda unavyokwenda nikaona mama mkwe ananyegeka, mara anisogelee, anishike kimahaba na utata mwingi.

Akaomba nimsindikize chooni, yaani alikuwa anajibebisha utadhani mwanamke wangu.
Tukarudi nyumbani, akiwa amelewa taabani, akawa analazimisha aje kulala chumbani kwangu.

Kesho yake asubuhi (Jana jumamosi) wife akanipigia simu, akiulizia outing ilikuwaje?
Nikamsimulia kila kitu, akasema nimsikilize mama yake atakachoniambia, maana ni bora nitembee na mama yake kuliko michepuko na hilo ndio kusudi haswa la huyu mama kuwepo hapo.
Umri wa mama Ni 48yrs.

Hi changamoto naishindaje?
Utunzi mzuri sana BJBJ ,fanya fasta mtafute Ally Yakuti au Bishop Hiluka akuandalie script.
 
Kosa kubwa ulilofanya ni kumlewesha mama mkwe, si unajua pombe sio chai, na kama sio hiyo pombe asingethubutu kulala chumba chako ila ushauri wangu usifanye hochote muone kama mamako mzazi.
Hakulala, nilitimulia mbali kama paka shume bin jibwa koko
 
Huyu mwamba Bujibuji namkubali kua mhenga ndani ya jukwaa hili la jf , sikutegemea angeleta chai ya bila hata mchaichai wala kitafunwa , by the way km ni kweli ikimbie hiyo dhambi carma yake itauteketeza ukoo wako
 
Kula tu mkuu kama umepata baraka! 48 yrs sio umri mkubwa.....kama ana mvi na zinakutisha mwambie ajifunike kiremba tu.

Ila hii stori imekaa kama "chai" hivi.......
 
Mke wangu amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo nchini Uingereza ambako sasa ana miezi miwili tangu aondoke.
Alipoondoka alimleta mama yake mzazi kutoka huko kwao, Kaskazini mwa nchi ili aje hapa nyumbani (sikuelewa haswa dhumuni la ujio wake) maana dada wa kazi yupo, house boy yupo, na mtoto Yuko darasa la saba hivyo kwa kiasi fulani anaweza kujisimamia.

Tangu mke wangu amekndoka huyu mkwe amekuwa kama kiranja, ikifika tu saa kumi na moja anapiga simu uko wapi? Usichelewe kurudi.
Ikifika saa tatu hujarudi anaanza kukusumbua na simu.

Nikaongea na wife, nikamweleza kuwa mama arudi tu nyumbani, ameacha mji wake na hapa hamna cha muhimu anachofanya na pia sipendi anavyonibugudhi kwa kunichunga.

Wife akasema mama yupo kwa ajili ya ulinzi, nikastaajabu kidogo, mbona mlinzi tunaye? Au ndio kunilinda mimi?
Nikayeyusha.
Sasa jana ijumaa nimerudi kazini nikaoga Kisha nikawa najiandaa kwa ajili ya kutoka nikalambe gambe kidogo.

Mkwe akaniita, akauliza unaenda wapi? Nikamwambia naenda 777 nikafurahie weekend, akasema twende wote. Sikuona ubaya, tukaongozana.

Tukala na kunywa na kunywa zaidi. Ila kadiri muda unavyokwenda nikaona mama mkwe ananyegeka, mara anisogelee, anishike kimahaba na utata mwingi.

Akaomba nimsindikize chooni, yaani alikuwa anajibebisha utadhani mwanamke wangu.
Tukarudi nyumbani, akiwa amelewa taabani, akawa analazimisha aje kulala chumbani kwangu.

Kesho yake asubuhi (Jana jumamosi) wife akanipigia simu, akiulizia outing ilikuwaje?
Nikamsimulia kila kitu, akasema nimsikilize mama yake atakachoniambia, maana ni bora nitembee na mama yake kuliko michepuko na hilo ndio kusudi haswa la huyu mama kuwepo hapo.
Umri wa mama Ni 48yrs.

Hi changamoto naishindaje?
Bro wee sii ndio unalipa kodi ya nyumba hapo au wewe ndio father house...inakuwaje tena mke anakaidi agizo lako la mkwe kurudi kwake?
Wewe ndio mwanaume ndani ya nyumba uwat u say mke lazima asikilize no negotiations hapo. Mrudishe mkwe kwake.
 
Mke wangu amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo nchini Uingereza ambako sasa ana miezi miwili tangu aondoke.
Alipoondoka alimleta mama yake mzazi kutoka huko kwao, Kaskazini mwa nchi ili aje hapa nyumbani (sikuelewa haswa dhumuni la ujio wake) maana dada wa kazi yupo, house boy yupo, na mtoto Yuko darasa la saba hivyo kwa kiasi fulani anaweza kujisimamia.

Tangu mke wangu amekndoka huyu mkwe amekuwa kama kiranja, ikifika tu saa kumi na moja anapiga simu uko wapi? Usichelewe kurudi.
Ikifika saa tatu hujarudi anaanza kukusumbua na simu.

Nikaongea na wife, nikamweleza kuwa mama arudi tu nyumbani, ameacha mji wake na hapa hamna cha muhimu anachofanya na pia sipendi anavyonibugudhi kwa kunichunga.

Wife akasema mama yupo kwa ajili ya ulinzi, nikastaajabu kidogo, mbona mlinzi tunaye? Au ndio kunilinda mimi?
Nikayeyusha.
Sasa jana ijumaa nimerudi kazini nikaoga Kisha nikawa najiandaa kwa ajili ya kutoka nikalambe gambe kidogo.

Mkwe akaniita, akauliza unaenda wapi? Nikamwambia naenda 777 nikafurahie weekend, akasema twende wote. Sikuona ubaya, tukaongozana.

Tukala na kunywa na kunywa zaidi. Ila kadiri muda unavyokwenda nikaona mama mkwe ananyegeka, mara anisogelee, anishike kimahaba na utata mwingi.

Akaomba nimsindikize chooni, yaani alikuwa anajibebisha utadhani mwanamke wangu.
Tukarudi nyumbani, akiwa amelewa taabani, akawa analazimisha aje kulala chumbani kwangu.

Kesho yake asubuhi (Jana jumamosi) wife akanipigia simu, akiulizia outing ilikuwaje?
Nikamsimulia kila kitu, akasema nimsikilize mama yake atakachoniambia, maana ni bora nitembee na mama yake kuliko michepuko na hilo ndio kusudi haswa la huyu mama kuwepo hapo.
Umri wa mama Ni 48yrs.

Hi changamoto naishindaje?
gahawa
 
Sitory zingine bana sasa kama mama mkwe ushaenda nae hadi bar kulewa na ushamsindikiza hadi chooni kukojoa, unadhan hata hayo anayoyataka kwako ni ajabu? Na unadhani hapo kuna heshima eti mama mkwe mara cjui ukifanya nae ndo laana ije? Kama ni laana c ipo tangu mwende kulewa nae na kusindikizana kukojoa. Mm naona hili huenda kuna kitu kabla ya hapo hasa heshima au mazoea mliyoyajenga huko nyuma kabla ya hayo yanayotokea sasa hivi
 
Upumbavu grade 1 huu.

Mama na mwanaye ni mataahira grade A, yani utaahira uliotukuka.

Na wewe jichanganye kumgegeda ujichotee laana itakayoharibu maisha yako hapa duniani.

Unaweza kuona kama ni kitu cha kawaida, lkn imagine mwanao wa kike siku anaolewa, then unakuja kusikia huyo alomuoa anamla mkeo pia!
Hujamalizia stori, mlilala wote hamjalala wote? Nakusihi kama umeshakula usirudie coz wazee watamu sana utanogewa, cha msingi wahi mwanza ukaage
 
Hapo huna mke kama amekosa aibu na kuyatamka maneno kama haya atashindwaje kulipa kisasi kwa kunyanduliwa na wazungu tena huku anajirekodi.kwa kuotea kama ni kaskazini hiyo itakuwa ni iraki tribe
 
Dunia ina laana. I am speechless. Upumbavu uliokubuu. Huyo mke wako hana adabu. Anataka kukuletea laana nyumbani kwako. Amelaaniwa alalae na mama mkwe wake. Ulikuwa huna haja ya kuleta huu uzi if you are matured. Ungetakiwa ujihurumie mwenyewe na kujiuliza kwamba umeoa mke wa aina gani.
 
Back
Top Bottom