NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,525
- 17,434
Chama chenye nembo ya hayati JPM kimeanza mchaka mchaka wa kutafuta wanachama wake wapya kabisa, kikijitangaza kusimamia falsafa za hayati JPM.
Chama HIKI kimeanza harakati zake katika kipindi ambacho hayati anakosolewa Sana mitandaoni na wanasiasa mbali mbali akiwemo Zito Kabwe na Raisi wetu Mama Samia suluhu Hasani.
Kitendo HIKI litazuia hasira na nongwa za wapenzi wa utawala wa hayati JPM na kitafanya wajiunge chama kipya ili kuonyesha hasira zao na kisasi kwa chama tawala na Zitto Kabwe! Hii itasaidia chama kipya kupata wanachama wengi Sana kwa kipindi cha muda mfupi kuelekea uchaguzi mkuu.
Lengo kuu la watawala ni kuzigawa kura za kanda ya ziwa zisiende Chadema na kwenda chama kipya HIKI ili ccm na ACT wapate ahueni kwa Chadema kupoteza kura nyingi za ukanda huo ambao una sonona la kuondokewa na kipenzi chao!!
Kumbukwe Hadi Sasa Mama hajapata uungwaji mkono wa kutosha kutoka kanda hii ya ziwa! na muathirika mkubwa Sana wa propaganda hii ni Chadema na SIO CCM na ACT wazalendo kama wengi wanavodhani!
Chadema ijiandae kwa kura zisizotosha za uraisi na idadi chache ya wabunge ambao chama kipya kitawachukua kwa kuungwa mkono na wapenzi wa JPM! CCM na ACT imeshajipatia chama kitakachowaletea ahueni kwenye uchaguzi wa 2025.
CCM Haiwezi kubali Chadema ikashinda uraisi hapo 2025 hata kama kura hazitotosha WAO kushinda uchaguzi itatafutwa Namna ya chama kidogo kupewa ushindi kama kutakua na tishio la kiusalama iwapo CCM ikilazimisha kubaki madarakani.
Zito na Mama wamezichanga karata zao VIZURI Sana tusubiri mafuriko ya wapenzi wa jpm kujiunga chama kipya cha umoja party!
Yale ya Felix Tshesekedi na Joseph KABILA Kule Congo DRC yatatokea huku kwetu kwa chama kidogo kupewa nchi baada ya vita vya vyama tembo.
Chama HIKI kimeanza harakati zake katika kipindi ambacho hayati anakosolewa Sana mitandaoni na wanasiasa mbali mbali akiwemo Zito Kabwe na Raisi wetu Mama Samia suluhu Hasani.
Kitendo HIKI litazuia hasira na nongwa za wapenzi wa utawala wa hayati JPM na kitafanya wajiunge chama kipya ili kuonyesha hasira zao na kisasi kwa chama tawala na Zitto Kabwe! Hii itasaidia chama kipya kupata wanachama wengi Sana kwa kipindi cha muda mfupi kuelekea uchaguzi mkuu.
Lengo kuu la watawala ni kuzigawa kura za kanda ya ziwa zisiende Chadema na kwenda chama kipya HIKI ili ccm na ACT wapate ahueni kwa Chadema kupoteza kura nyingi za ukanda huo ambao una sonona la kuondokewa na kipenzi chao!!
Kumbukwe Hadi Sasa Mama hajapata uungwaji mkono wa kutosha kutoka kanda hii ya ziwa! na muathirika mkubwa Sana wa propaganda hii ni Chadema na SIO CCM na ACT wazalendo kama wengi wanavodhani!
Chadema ijiandae kwa kura zisizotosha za uraisi na idadi chache ya wabunge ambao chama kipya kitawachukua kwa kuungwa mkono na wapenzi wa JPM! CCM na ACT imeshajipatia chama kitakachowaletea ahueni kwenye uchaguzi wa 2025.
CCM Haiwezi kubali Chadema ikashinda uraisi hapo 2025 hata kama kura hazitotosha WAO kushinda uchaguzi itatafutwa Namna ya chama kidogo kupewa ushindi kama kutakua na tishio la kiusalama iwapo CCM ikilazimisha kubaki madarakani.
Zito na Mama wamezichanga karata zao VIZURI Sana tusubiri mafuriko ya wapenzi wa jpm kujiunga chama kipya cha umoja party!
Yale ya Felix Tshesekedi na Joseph KABILA Kule Congo DRC yatatokea huku kwetu kwa chama kidogo kupewa nchi baada ya vita vya vyama tembo.