Mkuu wa gereza apandishwe cheo haraka sanaGari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dododma Mjini Leo 7.07.2020.
Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya @ccm_tanzania
View attachment 1499900View attachment 1499901
Hao wafungwa watakuwa ni wanaccm!Kuelekea mkutano wa ccm hapo kesho jijini Dodoma leo hii zimetumika mali za umma kupandisha bendera za chama hicho kama inavyo onekana hapo chini.
Kwa wajuzi wa mambo ya kisiasa tunaomba mtuelekeze kama ni sahihi chama cha kisiasa hasa kwenye mfumo wa vyama vingi kutumia rasilimali za umma kufanikisha shughuli binafsi kisiasa. View attachment 1499907
wanaitaga mwaka wa uchaguzi picha za minato zinakuwa nyingi sana mkuuAisee hi hatari sana..me nafahamu wanaweza kuja kukatia mti unaoleta tabu ili kupata kuni.
Maajabu bado mengi hadi hapo october
Wacha we!Hata wewe unaweza kuwatumia wafungwa kwa shughuli yoyote ila kuna malipo unalipia, Sio kesi!
Mimi washanivunia sana mpunga
Kama wewe ulivyo mfungwa wa lumumbaHao wafungwa watakuwa ni wanaccm!
Unamlipa Nani mtumwa au anaewamiliki watumwaHata wewe unaweza kuwatumia wafungwa kwa shughuli yoyote ila kuna malipo unalipia, Sio kesi!
Mimi washanivunia sana mpunga
Ngoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka, ndiyo wanamalizia malizia utukufu wao, soon Taifa litarudi kwenye misingi ya Utawala Bora na ustaarab ambapo tofauti za kiitikadi hazitaonekana ni uhasama, tutafoutiana kwenye hoja lakini tutabaki kuwa wamoja kama Taifa.Kuelekea mkutano wa ccm hapo kesho jijini Dodoma leo hii zimetumika mali za umma kupandisha bendera za chama hicho kama inavyo onekana hapo chini.
Kwa wajuzi wa mambo ya kisiasa tunaomba mtuelekeze kama ni sahihi chama cha kisiasa hasa kwenye mfumo wa vyama vingi kutumia rasilimali za umma kufanikisha shughuli binafsi kisiasa. View attachment 1499907
Viongozi wa CCM wamejisahau sana. Kila kitu wanaamini kuwa ni chao. Wasome historia ya anguko la dola la kirumi!Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dododma Mjini Leo 7.07.2020.
Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya @ccm_tanzania
View attachment 1499900View attachment 1499901