Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara ACP Lukas Mwakatundu amesema kuwa Jana tarehe 7 katika kizuizi cha Minjingu kuna gari lilitupita pale likagoma kusimama likagonga kizuizi ndipo Polisi wakapata wasiwasi kwamba kwanini amegoma kusimama, tukaanza kumfuatulia mpaka eneo la Kiongozi ambako Dereva alishuka na kulitelekeza gari likiwa na Wahamiaji hao 17 wote kutoka Ethiopia, namba halisi za gari hili ni T723 BSF na lipo Polisi linashikiliwa”
Kaimu Kamanda Mwakatundu amesisitiza kuwa gari hilo pamoja na namba hizo za STL 1964 havihusiani na Serikali na wala sio mali ya Serikali
Pia soma > Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM
Kaimu Kamanda Mwakatundu amesisitiza kuwa gari hilo pamoja na namba hizo za STL 1964 havihusiani na Serikali na wala sio mali ya Serikali
Pia soma > Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM