Chama cha Madaktari Tz chawasilisha maombi UN ya ulinzi kwa viongozi wake

Hatutaisha wote, tutabaki na sisi tutawamaliza wao kwa Uweza wa MUNGU, maan ahuu ni ufalme ulifitinika
 
Hivi hizi jitihada za kuwahoji na kuwapeleka mahakamani hawa viongozi wa madaktari, mbona hatuzioni kwa mafisadi wa EPA, waliojihifadhia pesa Uswiss, Jairo saga, Chenge (Rada+Vijisent) nk. nk. Kama wangekuwa serious na haya, hata haya ya madaktari yasingefika hapa, maana wangeweza kununua vifaa na kuboresha mazingira ya kazi zao ambapo tungeweza kuwahukumu madaktari kwa kugoma kutuhudumia.
 
Radio clouds wametangaza asubuhi hii na nilisikia sauti ya Msangi ikizungumza hivyo lakini kama hana kosa kwa nini tunadhani hatakiwi kuhojiwa na kama hana kosa kwa nini tunaogopa akipelekwa mahakamani?

Baadhi ya mambo yanahitaji subira.

Mkopi ana kwa ana na Msangi kama ni muuaji mbona karudi salama????
KWANI WE NA zomba mna undugu?? naona waliokugongea like ni waccm wenzio wote kha!
 
Last edited by a moderator:
HAO MADOKTA WAMESABABISHA VIFO VYA WATANZANIA WANGAPI KWA MGOMO WAO je NA WAO WATAFUTIWE NJIA YA KUUWAWA?

Ukisema hivyo basi anza na viongozi walio ktk sector ya afya,wanaotunga sera wakitanguliwa na rais wako ndiyo wafuate madaktari.Allah?Mnawalaumu doctors wakati lichama lenu linatekeleza sera za ufisadi na kuacha kujali afya za watu?Mshindweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwa nguvu zote.
 
Akili ndogo ya kina Msangi, inatawala Bunge, Mahakama na serikali yote. (Rev. Msigwa, 2012).
 
Radio clouds wametangaza asubuhi hii na nilisikia sauti ya Msangi ikizungumza hivyo lakini kama hana kosa kwa nini tunadhani hatakiwi kuhojiwa na kama hana kosa kwa nini tunaogopa akipelekwa mahakamani?

Baadhi ya mambo yanahitaji subira.

Mkopi ana kwa ana na Msangi kama ni muuaji mbona karudi salama????

Hizi mbinu zote zitashindwa kabisa....unaweza kwenda na punda mtoni lakini kunywa maji akakukatalia kabisa. Busara zetu zimekwenda wapi? Kufunga mtu sio dawa...dawa ni kujadiliana na kuweka mambo kwa namna ambayo watu wataaminiana.Hizi mbwembwe za kuhoji, kupiga au kutishia zilipitwa na wakati...we are living in different times
 
hawa polisi wanataka kupindisha ukweli wa mambo...na hiyo yote ni kuwatishia madaktari...si wao walishasema hakuna mgomo na na ndicho wanachotangaza kila siku kupitia kwenye televisheni yao wanayoita ya taifa!!!
 
wanataka kumtia makashikashi kwa barua aliyoipeleka UN.....maana barua imeeleza mengi na mazito....wanataka kuwanyamazisha wote ili ushenzi walioufanya kwa limboka usijulikane...
 
Serikali hii inachekesha sana mtuhumiwa ana ongoza kikosi cha uchunguzi! (This is non sense)

kama kweli hausiki kwa nini asikae pembeni wafanye uchunguzi wengine ili ukweli ujulikane?

Kwa haya ndio maana watu wanakosa imani na jeshi la polisi
 
Mbona hakuna jipya kwenye hiyo barua? Ni maneneo yale yale yanarudiwa

The letter mentioned openly ACP Msangi's involvement in the abduction and torture. Mwanzoni tulikuwa tunasikia sikia tu...na kuna magazeti yaliyoandika tofauti na haya yaliyoelezwa humu. Mkuu tuipende na kuipigania nchi yetu. Haya mambo ya kibaladhuli sio ya kuyalinda wala kuyasifia. Mwisho wa siku kila mtu atawajibika maana cheo ni dhamana tu. Kwa kitendo kile mambo yamekuwa magumu zaidi. Hawa watanzania wanaoteseka ikiwemo Ulimboka, nani atabeba huo msalaba?
 
Naomba mwenye picha ya Hemed Msangi atuwekee hapa tafadhali naitahi kufahamu hata kwa sura tu.
 
Radio clouds wametangaza asubuhi hii na nilisikia sauti ya Msangi ikizungumza hivyo lakini kama hana kosa kwa nini tunadhani hatakiwi kuhojiwa na kama hana kosa kwa nini tunaogopa akipelekwa mahakamani?

Baadhi ya mambo yanahitaji subira.

Mkopi ana kwa ana na Msangi kama ni muuaji mbona karudi salama????

hakuna anaeogopa mtu, hiyo hapo juu ni taarifa tu mzee
 
Nafikiri mwaipopo alichemka kuwaambia madaktari wamuombe rais msamaha. Kitendo hicho kingemaanisha kwamba serikali ina haki na iko sahihi lakini madaktari ndiyo wenye matatizo.

Nafikiri hiyo siyo njia sahihi ya kusuluhisha mgogoro, maana tayari unakuwa umeshamuhukumu mmoja kuwa na makosa hata kabla ya kuketi nao na kusikiliza pande zote mbili.

Nafikiri angetusaidia sana kama angewashauri warudi kazini huku wakiendelea kuibana serikali kwa njia nyingine zinazofaa ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya mezani, ili kufikia ufumbuzi.

Ukweli ni kwamba serikali yetu siyo sikivu. Kama inaweza kuota ndoto za kuwaleta madaktari wa nje na kuwagharimia, kwanini isitumie fedha hizo hizo kuwaongezea maslahi madaktari waliopo?
 
Kuanzia kuumbwa kwa dunia hadi sasa, hakuna serikali yoyote duniani (afrika asia, uarabuni au ulaya) iliyowahi kupambana na nguvu ya umma ( wakulima, wafanyanyakazi, wamachinga, vyama vya kisiasasa, wanavyuo, wanaharakati nk..) ikafanikiwa. Haipo.

Kama CCM itafanikiwa itakuwa ya kwanza. Kwamba kabla ya kuondolewa kwa nguvu ya Umma itawaua wananchi wake na kuwatesa, yes. Kwamba itatumia nguvu kuchelewesha muda wa kuondolewa, yes.kwamba itatumia propoganda za udini, ukabila na matisho ikafaninikiwa kwa muda, ndiyo. Kwamba haitaanguka, haijawahi kutokea.

CCM itakuwa ya kwanza. Nasubiri ccm ivunje rekodi ya dunia kwa hamu. Fainali yao ya kwanzaya kuvunja rekodi 2015.
 
Ni vizuri Namala apate consultation ya.wanasheria maana mambo ya mahakamani hayatabiriki, na uhuru wake hauingiliwi.
 
Hivi si kuna taarifa kutoka MOI, MNH kuwa hakuna mgomo na madaktari wote wamesharudi kazini? sasa hii ya kwenda mahakamani kuwa wamekaidi amri imetoka wapi tena. Unajua umbumbumbu ni shida sana.
 
Back
Top Bottom