Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.
 

DR hapo kwenye red and bolded ndio maana sisi wengine tunaona kama mnapoteza umakini wenu, haya matatizo uliyo yaainisha nyie kama cdm mmefanya nini kutoa suluhisho mbadala la matatizo hayo, hata kama serikali haitawasikiliza lakini wananchi tutaona kuwa mliguswa na matatizo yetu na mkatoa ushauri haukufuatwa, sasa tunachokiona ni kila mtu anasema kwa wakati wake anapojisikia na anapoona inafaa, hauoni kuwa hilo ni tatizo hasa kwa chama cha siasa chenye uongozi na viongozi wake.
Hivi wewe Tetere unataka chama mbadala kigawe pesa ndipo uone kinatekeleza majukumu yake, unajifanya huoni kazi inayofanywa bungeni na wabunge wa upinzani, unajifanya huoni mapendekezo ya upinzani likiwemo la katiba mpya ambalo halikuwa sera ya CCM? unajifanya huoni mapendekezo kuhusu utatuzi wa nishati ya umeme liliwemo hili la kuwalipa Dowans kuwa serikali haitaki kushauriwa? unataka wapinzani wafanye nini, waingie hazina wagawe mishahara?
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.
Kabla ya kutapika haya mawashiwashi yako ni vema kwanza ujiulize 'Is CDM subject to international law??
 
Mtoa hoja unajichanganya mwenyewe. Cameron ni waziri mkuu wa nchi na mawazo yake yana-reflect mawazo ya nchi ya Uingereza na siyo chama chake. Sasa hapo Chadema inaingiaje? Au alitoa hoja hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa Chadema?
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

Umekurupushwa au umekurupuka mwenyewe?Kama umekurupuka mwenyewe jitathmini vizuri,ila Kama utakuwa umekurupushwa na yeyote nyuma yako basi jichunge sababu atakuwa anakutumia vibaya.
 
Unamfahamu rais anayemaliza masaa zaidi ya mawili kila mwisho wa mwezi kwenye vyombo vya habari akijisifu kwa uwezo wake wa kuomba misaada nje na kusamehewa madeni?
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

Badala ya kumsikitia ****** atakavyokosa hela za kuzurura unaisikitikia CDM masaburi bwana!!!
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

Kuwapo kwa watanzania wa aina yako ni mzigo sana kwa taifa.
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu
unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.
Bila shaka unaongozwa na ushabiki wa Magamba!
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

hela unayolipwa na Nepi hakika imekuacha uchi wa mnyama!
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

duplicate crap.
 
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.

Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.


Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.

wewe masabuli vipi?
Chadema ni nchi? Je chadema inapokea misaada kutoka serilkali ya wingereza?

Unacho zungumzia ni urafiki wa vyama vinavyofuata mlengo wa kulia na c conservative pekee kuna vyama vingine vingi sana rafiki ya chadema kama
. Republcan cha marelani, je hiki republicani hakiungi mkono ushoga?
Chama tawala cha ghana nimesahau jina
chama tawala cha liberia
na vingine vingi.
Mambo ya ushaoga ni maswala ya serikali ya uingereza na c chama,

nazani masabuli yako yanawasha sana na nepi atakukuna mida si mingi
 
Kwa jinsi ulivyoandika, sina sababu ya kutoamini ww ni mwanachama wa ccm, mtz mpiga kura uliyepata scholarship ya serikali ya Cameron
 
Hivi wewe Tetere unataka chama mbadala kigawe pesa ndipo uone kinatekeleza majukumu yake, unajifanya huoni kazi inayofanywa bungeni na wabunge wa upinzani, unajifanya huoni mapendekezo ya upinzani likiwemo la katiba mpya ambalo halikuwa sera ya CCM? unajifanya huoni mapendekezo kuhusu utatuzi wa nishati ya umeme liliwemo hili la kuwalipa Dowans kuwa serikali haitaki kushauriwa? unataka wapinzani wafanye nini, waingie hazina wagawe mishahara?

Nataka chama mbadala cha siasa kiwahamasishe kwa kupitia vyama vyao wafanyakazi wagome mishahara inapokuwa midogo na inapochelewa, kiwahamasishe wananchi waandamane kupinga hali ngumu ya maisha, waandamane kudai kuharakishwa katiba mpya inayo pigwa danadana, wananchi waandamane kupinga kuonewa na kunyanyaswa na vyombo vya dola viongozi wa upinzani wanao onyesha na kuyapinga maovu ya serikali, waandamane kukataa malipo ya dowans na ufisadi mwingine, chama mbadala cha siasa kinachoweza kwenda Igunga na kuwaambia wanachi na wapiga kura wa pale, tunarudia uchaguzi hapa kwa kuwa mbunge wenu aliyekuwepo ni fisadi na ufisadi umemtoa tunaomba kura zenu sie si mafisadi sio kuomba kura kinafiki. Tunataka chama cha siasa chenye wabunge wanaopinga posho wakimaanisha hivyo kweli, chama cha siasa mbadala kinachojua ushindi wa kisiasa unapatikana kwa utumishi uliotukuka kwa wananchi kila siku na haupatikani wakati wa kampeni na kampeni za uchaguzi ziwe ni hitimisho tu la ushindi wenyewe walikwisha upata hapo awali, chama cha siasa mbadala kitakachojua kuwa kunakuibiwa kura na hakiingia katika uchaguzi kikijua kuwa wataibiwa kura halafu walalamike bila kuchukua tahadhari kabla, chama cha siasa chenye uongozi unao heshimika, kuheshimiana na kuheshimu wanachama wake, sio kuwa na chama ambacho kinabehave kama familia ya kambale, wakubwa watoto wote wanandevu, n.k, n.k na n.k
 
kuna umuhimu wa kufikiri kabla ya kutenda..usikurupuke

wanaJf
Pamoja na kwamba kwa ushabiki huu, wanaopost hizi thread wanageuka kuwa "maofisa waeneziwa chadema", kwa vile hata wale wasiojua Chadema kwa njia yao wanapata fursa ya kusoma na kuijua zaidi chadema, napenda kuweka wazi kuwa kuwa hii hii ni "nonsense".kwa wanaopenda kusoma posts za aina hii iwasaidie pia kuwafahamu na kupima IQ ya wanaopost hoja zisizo na ukweli au mashiko kwa Mama yetu Tanzania ambaye kwa hali halisi yuko ICU. Hawana tofauti na mtu ambaye mama yake yuko ICU yeye anaenda kujirusha kwenye disco.
 
Ngoja nikusaidie,kufikiri,camerun amesema nchi haitapata misaada kama haitambui haki za mashoga hajasema nchi.Wenye nchi kwa sasa ni ccm na ndo wa kuulizwa kwa nini wanapokea hela toka kwa mashoga?
 
Back
Top Bottom