Wewe nimekuzoea, najua tatizo hapo lugha, hata hujasoma unasaburilise. Wenzako wanasoma ili wajifunze kitu, mwambie Sugu akufafanulie kama anaweza manake najua yeye mzee wa ya ya, u u, hapo hapo, pale pale . full kufyatuka.
hivi huu ujinga utaendelea mpaka lini humu JF
mods ile kazi ya screening vipi