Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

Wewe nimekuzoea, najua tatizo hapo lugha, hata hujasoma unasaburilise. Wenzako wanasoma ili wajifunze kitu, mwambie Sugu akufafanulie kama anaweza manake najua yeye mzee wa ya ya, u u, hapo hapo, pale pale . full kufyatuka.

hivi huu ujinga utaendelea mpaka lini humu JF

mods ile kazi ya screening vipi
 
Magamba presha inapanda, Presha inashuka, Presha inapanda, Presha inashuka.....

Kama mna ubavu fukuzeni balozi wa Uingereza na mfunge ubalozi wao!
 
I like your views, it is true that watu wanakufa na wengine wanatolewa kafara za kuwa wehu na hata kufungiwa katika chumba kimoja bila ya kuliona jua kwa miaka kadhaa mpaka Mheshimiwa atakapo maliza muda wa utawala, lakini pia mbona kipindi cha Bunge mashoga/******* huwa wengi Dodoma? Je wanafuata nini? Na baada ya Bunge kuisha wanahamia Dar es Salaam ndo kusema wanawafuata wateja wao?

Jamani chunguzeni jambo hili sio bule kuna kitu!
Well udugu wa Tanzania nna Uingereza ambayo David Cameron ni kiongozi wa nchi upo siku nyingi sana,na balozi wake hapa nchini ni mkaazi maalum, na Cameron alizungumza kama nchi na siyo Chama! Sijaona balozi wa Conservative(Tories) hapa kuwakilisha chama chake kwa CDM, hoja zao hawa magamba (shllow)zinadaiwa wanatumwa kama mashoga vile wanavyofanywa! mara uislamu/udini pigwa chini halafu mnakuja na upumbavu huu hapa!
 
Dalili nimeishaziona suala la ushoga Tanzana halina tatizo watu wengi wanaonekana wanapenda ushoga..
Kama kiongozi wa chama unasema ushoga hauna tatizo tunaongelea mambo ya msingi, hivi kweli ushoga sio mamba ya msingi?
 
Tanzania ilikuwa koloni la Uingereza bado mda sio mrefu humu jamvini kuna thread iliandika tawi la ccm Uingereza wafanya ufisadi wa pound laki mbili na nusu hivo huko kuna tawi la ccm
 
Kumbe siyo USHOGA tu unaolalamikiwa kutokana na CHADEMA kuwa na mahusiano na Conservative bali hata udini wanaolalamikiwa CHADEMA kuwa nao wameutoa huko huko kwa DAVID CAMERON. Jamaa huyu anatuhumiwa siasa za ukabila na udini huko kwake.

Hebu somahii hapa chini:






Jim Murphy: David Cameron treats Scotland like Slovenia
The most high-profile Scot in Labour's ranks has launched another extraordinary attack on David Cameron by suggesting the Prime Minister treats his trips to Scotland like state visits to a Balkan country.

Jim Murphy claims the Prime Minister behaves like a 'foreign dignitary' on his visits to Scotland
By Simon Johnson, Scottish Political Editor
11:55AM BST 23 Sep 2011
Jim Murphy, the Shadow Defence Secretary, said Mr Cameron behaves in Scotland as if he is a "foreign dignitary" visiting Slovenia rather than Prime Minister of the United Kingdom.
An angry Mr Murphy said that to preserve the United Kingdom Mr Cameron must do more to "engage" people than stand in front of the Union flag and the Saltire.
The former Scottish Secretary suggested he would like to be Prime Minister himself but his Catholic faith would be too much of a "barrier".
His latest intervention increased the cracks that have appeared in the pro-Britain campaign being planned for Alex Salmond's independence referendum. Earlier this week Mr Murphy said he would refuse to share a platform with the Prime Minister.
The row raises further concerns that senior figures from the Conservatives, Labour and the Liberal Democrats will not put aside their political differences to unite in the face of the separatist threat.


Iain Gray, Labour's Holyrood leader, yesterday defended Mr Murphy's decision to distance himself from Mr Cameron and said his party would make its own "distinct arguments" during the campaign.
Mr Murphy was questioned about the Prime Minister's attitude to Scotland during an interview with the Spectator magazine.
"He's got to engage a bit more in Scotland. He's got to travel a few hundred miles north as well. He's the Prime Minister of the United Kingdom and he shouldn't behave like a foreign visiting dignitary when he goes to Scotland, which is what the temptation is," he said.
"He comes up and he stands in front of a British flag and a Scottish flag as if he is visiting Slovenia. Scotland is not bloody Slovenia."
Mr Murphy said a Scot could be Prime Minister but asked: "Can you be a Catholic and prime minister?"
But David Mundell, a Tory Scotland Office Minister, said Mr Murphy's remarks were "disappointing" and "ridiculous" as the Prime Minister respects Scotland.
"Anybody would accept he has had a pretty hectic first year or so in office but he came to Scotland within days of becoming Prime Minister and has had more dialogue with Alex Salmond than previous Governments," he said.
Mr Cameron made a flying visit to the Scottish Conservative spring conference In Perth this year in the middle of the Libya crisis. He successfully led international calls for the UN to intervene to prevent the Gaddafi regime slaughtering its citizens.
Earlier this month he stayed with the Queen at her Balmoral estate in Aberdeenshire. But Mr Gray defended Mr Murphy, adding: "Jim was saying that Labour will make our own distinct arguments why Scotland's future is better without separation."
A spokesman for the First Minister said: "The Unionist parties are fighting each other like ferrets in a sack – no wonder support for independence is moving ahead in the polls.
"The Scottish government have no desire to intrude into the private grief of these London parties, who are losing the place and fast losing the constitutional debate in Scotland."

Mwaka huu kazi ipo. Naona wapaka Rangi makaburi wanazidi kuongezeka kila kukicha. Hivi Marumaru inasaidia nini kwenye kaburi??
 
Pia Nape alikuwa marekani sijui atakuwa amepita huko kufungua matawi maana Ameamua kufungua matawi nje ya TZ.
 
Magamba mtahangaika weee chadema inazidi kuwatia presha tuu.
Tafuteni kila aina ya msemo chadema iko palepale.
 
CDM inawanyima usingizi, yaani hamlli hamlali bila kuiongelea CDM, sasa itoe tamko kwani yenyewe ina dora, inakusanya ushuru? Think big, hata hivyo Malaya au mwizi akipeleka sadaka yake kanisani au msikitini haimfanya Padre/Mchungaji au Shekhe kuwa malaya au mwizi!
 
Wewe nimekuzoea, najua tatizo hapo lugha, hata hujasoma unasaburilise. Wenzako wanasoma ili wajifunze kitu, mwambie Sugu akufafanulie kama anaweza manake najua yeye mzee wa ya ya, u u, hapo hapo, pale pale . full kufyatuka.

Naona Posho zinafanya kazi.
 
crapppppppppppppppppppppppppp

Peleka kwa majirani zako wanajua kizungu wakuelezee hii habari ina maana gani sio kuona neno katholic masabuli yanawasha.
 
Hii habari ya Jim Murphy/scot/cameroon nimeshindwa ku-ilink na CHADEMA.
Labda nisome tena.
Ipo tafsiri yake?
 
Well udugu wa Tanzania nna Uingereza ambayo David Cameron ni kiongozi wa nchi upo siku nyingi sana,na balozi wake hapa nchini ni mkaazi maalum, na Cameron alizungumza kama nchi na siyo Chama! Sijaona balozi wa Conservative(Tories) hapa kuwakilisha chama chake kwa CDM, hoja zao hawa magamba (shllow)zinadaiwa wanatumwa kama mashoga vile wanavyofanywa! mara uislamu/udini pigwa chini halafu mnakuja na upumbavu huu hapa!
Mkuu shukran sana kwani watu wanachanganya sana vitu bila kujua..Yaani ni vioja vitupu...
Conservative wanapinga Ushoga siku zote na sehemu zote kwa kufuata maadili yao wakati Liberal ndio walohalalisha Ushoga huko Uingereza na kuifanya kuwa sheria baada ya Bill kupitishwa.. Na imekuwa sheria ya nchi kutokana na wawakilishi wengi wa Liberal kuwezesha kupatikana kwa kura nyingi zaidi na hivyo Cameron hawezi kupinga leo Ushoga wakati sheria ya nchi yake inamlazimisha kuukubali. Na kama sikosei Ushoga wa wanawake haukuwa illegal UK, hivyo hata utunzi wa sheria hii ulihusu zaidi Ushoga wa jinsia moja ya kiume..

Sasa labda niwaulize nyie Liberal na CCM yenu ambao leo mnaupinga Ushoga hali mkiwa Liberal na hao Chadema Conservative wanaupinga imekuwaje?..Membe na CCM mko upande gani maanake mna wabunge zaidi ya 2/3 mnaweza kabisa kuupitisha na kuwa sheria! Lakini badala yake mmekuwa wakali kupita kiasi, ghafla mnageuka na kuwa conservative!
 
Soma yafuatayo upate ukweli

Uingereza inapunguza misaada kwa Tanzania kutokana na tathmini ya haki za binadamu ambazo Tanzania imerithia. Matukio mengi yametokea tangu uchaguzi wa mwakajana ambayo yamekiuka haki za binadamu ikiwa ni pamoja na mauaji, kubambikiza kesi wanasiana na kudhulumu na kuwaua wananchi bila sababu za msingi. Kama kutupa majeneza ya watu waliowaua barabarani na serikali hadi leo kutotoa tamko wala kufanya chochote. kuzuia jambo hilo, na mtoto wa mkulima kutamka bungeni kwamba serikali itachukulia hatua pamoja na uchunguzi hakuna linaloendelea.

Serikali ya CCM imetafuta weak point mahali pa kutetea ukiukwaji wa haki za bianadamu na ubakaji demokrasi nchini kwa kukomalia ushoga badala ya hoja nyingine ambazo ni nyingi zinazofanya majumuisho ya maamuzi ya hao wafadhili. Kwa hali halisi ilivyo serikali inatabatapa, ukweli unabaki uingereza haitarudi nyuma, na pengine nchi nyingine zitaunga mkono kutokana na ubakiji huo wa demokrasi nchini.
 
wewe ujui usemalo, na mawazo yako ni finyu sana, unashindwa kuelewa nini kua CHADEMA kitapaswa kutawala nchi kwa misingi ya katiba ya nchi? km katiba yatu hairuhusu hilo basi huo ndio msimamo wa nchi, regadless chama gani kitatawala, chadema kina viongozi makini na wafuasi makini, hilo tatizo lenu la mtindio wa ubongo linawahusu nyie wana ccm
 
na yule JK wenu aliyenunuliwa suti, perfume na viatu kisha kalazwa hotelini mpaka leo hatulii kabla hajapanda ndege kwenda huko vipi.

napata wasiwasi kama tutapona na ushoga ka viongozi wenyewe ndo hao. lo!

mh mh mh,hapa mwanitisha. mh mh! dah ! ebu ngoja nikatafakari kauli hii!
 
Back
Top Bottom