Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Tatizo vyama vingine navyo vingetakiwanao wawe na msimamo huo ili zoezi la uandikishaji lirudiwe upya
 
Ni Jambo la busara walilo amua ili uchaguzi usiwepo ili tuwajue watakaoshangilia ujinga Hulu mtaani tuanze na vichwa vyao
 
Kufuatana na matikeo ya utafiti wa TWAWEZA, CCM imrjaa watu wajinga, wenye elimu na upeo mdogo. Kwa nini watu wenye uelewa na akili nzuri tukubali kuyumbishwa na kunyanyaswa na wwtu wajinga?

Tushikamane, tusipoteze wakati, tuwagomee wajinga wenye upeo mdogo kwa kutumia akili na uelewa wetu. Siyo lazima kuingia katika mapigano au kufanya maandamano.

Tutumie akili na uelewa wetu kulidhibiti hili kundi la wajinga.

Kuanzia sasa, hawa wajinga watengwe katika kila kitu - kuanzia mashirikiano ya kijamii mpaka kiuchumi.
 
Huu ni uamuzi mzuri na wa busara
Uzuri wa uamuzi huu unawaongezea credibility na kukubalika kwa wananchi zaidi maana wananchi wanaona namna gani serikali ya CCM inavyotawala kwa ridhaa ya Mitutu ya bunduki badala ya chaguzi halali
 
Hongera sana Kiongozi kwa uamuzi wa busara kupika Machafuko
 
Acha uongo mods kuweni makini maana kulingana na twiti ya zito bado wanafanya tathmini na wameweka poll mtandaoni kuwauliza wanachama wao

Hawataki kutumia upumbavu kama wa chadema kubaka haki za wanachama

State agent
We dogo, Hata ndugu yenu lipumba kawananga kuwakataa sembuse zito, hamkujipanga kumwaga mihela kama wakati ule wa kuunga juhudi,

Hao ccm B mmeishawaonjesha mibulubgutu safari hii wamewagomea
 
Ubakaji wa demokrasia nchini lazima ulaaniwe. Hongera ACT tupo pamoja nanyi.
 
Watakaopata taarifa kuhusu vyama vingne vivyobaki basi watujuze hapa
 
Kanuni ya kusamehe ni kusahau Makosa au Ubaya aliokufanyia Binadamu mwenzio ,ukiona bado inauma Moyoni jua hukusamehe kwa Dhati Mkuu.
Hahah nakubaliana na wewe mkuu,kinyongo kiko palepale.
 
Huu ni uamuzi mzuri na wa busara
Uzuri wa uamuzi huu unawaongezea credibility na kukubalika kwa wananchi zaidi maana wananchi wanaona namna gani serikali ya CCM inavyotawala kwa ridhaa ya Mitutu ya bunduki badala ya chaguzi halali
Nawaza kama watatangaza maandamo tarehe hiyo ya uchaguzi, kutafanyika kweli Huo uchaguzi?
 
Acha uongo mods kuweni makini maana kulingana na twiti ya zito bado wanafanya tathmini na wameweka poll mtandaoni kuwauliza wanachama wao

Hawataki kutumia upumbavu kama wa chadema kubaka haki za wanachama

State agent

Waweke poll wasiweke, hakuna mtu yoyote wa ACT anayejitambua atashiriki huo uchaguzi wa kishenzi hata viongozi wa juu wakisema watashiriki. Ukweli ni huu, hata Zitto ili aweze kupata support ya wapinzani, hana budi kufuata njia ya cdm kwani ndio hasa wapiga kura za upinzani walipo kwa huku bara. Kwa tangazo la cdm kususia huo uchaguzi ni kama wameshafanya huo uchaguzi kuexpire. Kubali kataa lakini habari ndio hiyo.

Muambieni jiwe hana mvuto wa siasa, hata angejenga mabomba ya maziwa nchi nzima, bado hana mvuto. Fanyeni uchaguzi na hao akina Dovutwa lakini ccm ni chama analogue hakipendwi na vijana digital. Hampendwi hata mkilazimisha.
 
Ipitishwe sheria

Chama kikisusia Uchaguzi kinafutwa kabisa

Msisubiri hata hiyo sheria, vifuteni hata jioni hii, lakini ccm ni chama outdated hakina mvuto tena. Mwanamke mzee hata ajipambe na kuwa na hela, bado vijana watafuata hela zake tu lakini hawawezi kumpenda. Hata mkitangaza chama kimoja cha siasa, bado ccm haitapendwa na wananchi maana watu wameshakinai. Msitumie nguvu kubwa kulazimisha kukaa madarakani, nature hairuhusu ccm kuendelea kupendwa na kizazi cha sasa. Sio kwamba ccm haijafanya kitu wala Magufuli hajafanya kitu, bali nature ndio ilivyo, watu wakichoka wamechoka tu.
 
bado NCCR nao watoe dira yao

Hata hao NCCR wasilazimishwe waachwe waamue wenyewe, lakini wananchi wameshasusia huo uchaguzi, hata wakishiriki hawatakuwa na mtu wa kuwapigia kura. Huwa uchaguzi umeshatiwa najisi, hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu atashiriki huo ushenzi.
 
November 8, 2019

Tamko kuhusu mwenendo wa TAMISEMI na CCM kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji mwaka huu 2019


Source: MCL Digital
ACT- Wazalendo wajitoa kushiriki uchaguzi Serikali za mitaa
Friday November 8 2019
Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019.

BY Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mhama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019.

Dar es Salaam.
Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019.
Kamati ya uongozi ya chama hicho imewaagiza wagombea wake 173,593 kutoshiriki uchaguzi huo.

Kati ya wagombea 173,573 waliochukua fomu za uteuzi na kurejesha, wagombea 6,944 ndio waliopitishwa sawa na asilimia nne huku 166,649 wakienguliwa.

Uamuzi wa ACT- Wazalendo umekuja ikiwa imepita siku moja tangu Chadema kutangaza kujitoa kushiriki uchaguzi huo kutokana na figisufigisu zilizofanyika katika uchukuaji, urejeshaji wa fomu za kugombea na uteuzi wa wagombea.

Akizungumza leo Ijumaa Novemba 8, 2019 kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe amesema sababu kubwa ya kutoshiriki ni namna wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walivyowaengua wagombea wa chama hicho.
Source: www.mwananchi.co.tz
 
Hiyo Ndio demokrasia

Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine

TLP na CUF zitatoa ushindani sasa

Huyo Zitto kule kigoma wanasema hata Hawataki kumwona,
Wanasema hawakumpigia kura ili akatukane Rais kipenzi cha Watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…