Chalamila omba wasaa ukutane na Mheshimiwa Rais uombe umueleze upande wako wa stori

Huyu Chalamila hakuna cha kutumia busara hata Mh Rais alishamwambia wewe ni mropokaji na ukiangalia clips nyingi wakati wa kuropoka huwa hatumii akili staili za mwendazake hizo sio kiongozi mwenye busara mwache apumzike alipokula panatosha huenda angeharibu zaidi yakamkuta ya SABAYA
 
Sijui anatumia jina gani tu humu..
Wadukuzi watuambie, au ndiyo Bujibuji 😂 , siku Ljubljana twafaa!
Kuropoka kwa jamaa nafikiria haswa wakati wa kupokea vifaa tiba, akiomba watu wa Mwanza wasimchukie mama Rais, hajamuua Magufuli siku chache zilizopita, plus huu upuuzi wa mabango, yeye kusema chochote hata tusi, inaleta picha kama alikuwa anatengeneza kitu fulani.

Anyways, aje huku tujiajiri, tufuge simbilisi.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Wacha ushenzi basi mwamba!
 
By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?

He is the author of his own book.
Una kideo tuone? Huyu jamaa shida hana breki kbs ..duh..ila tuseme ukwel sio katili kama kina Sabaya &the co.
 
Wadukuzi watuambie, au ndiyo Bujibuji 😂 , siku Ljubljana twafaa!
Kuropoka kwa jamaa nafikiria haswa wakati wa kupokea vifaa tiba, akiomba watu wa Mwanza wasimchukie mama Rais, hajamuua Magufuli siku chache zilizopita, plus huu upuuzi wa mabango, yeye kusema chochote hata tusi, inaleta picha kama alikuwa anatengeneza kitu fulani.

Anyways, aje huku tujiajiri, tufuge simbilisi.

Everyday is Saturday................................:cool:
Hv simbilisi kizazi hiki bado zipo??? Duh🙌
 
By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?

He is the author of his own book.
Sasa kama amesikia haya maneno si bora ameyakunusha hadharani kuliko kuyakalia kimya? Maneno ya kijinga kama hayo yakiendelea ndio mwisho baadhi wanaamini kuwa ni kweli. Sidhani kama hili ndio limemuondoa madarakani. Kuna umuhimu wa mamlaka kuweka wazi sababu hizo ili wengine wajifunze.

Amandla....
 
Mama sio kama JIWE, hataki watu wanaojipendekeza anataka kuona kazi inaendelea na matokeo yanaonekana!!! Huu sio wakati wa chawa! Let this be a lesson to others.

Hawa ndio kundi wanaomjalibu Rais mpaka kuingia Bungeni kujibu maswali huku wamelewa wakitaka waone atawafanya nini?
Huwa hakuna mtawala asiyependa wateule wanamfagilia.
Magufuli akifanya uchawa sana wakati wa utawala wa BWM na JK na waliweza kumvumilia ufisadi wake na madudu yake na hii ni kwa sababu alikuwa pia aiwasurprise kwa bidii ya kazi
 
Hebu sikiliza hapa ndio utajua hii ndio imemuondoa Wala sio Ile ya mabango
Chalamila alikuwa ana address rumours zilizoko mitaani na kujaribu kumclear rais dhidi ya tuhuma za kijinga ambazo watu mitaani wanaziamini. Yeye alikuwa mkuu wa mkoa wa huko atakuwa amejua what is going on hujo mitaani mwanza

Nyie mnadhani nchi nzima imesahau kifo cha Magufuli na imemove on, but huenda kanda ya Ziwa wanaamini Magufuli kauliwa (Japo ni mawazo ya kijinga)

Kwenye hiyo clip Chalamila anamsema vizuri kabisa rais ili wananchi wampokee, wamkubali na wampe kila aina ya msaada kwenye kuongoza nchi, na pia anamclear dhidi ya tubuna za kipuuzi ambazo huenda ziko mitaani huko kanda ya Ziwa!

Chalamila it seems ana IQ kubwa sana ndo maana haeleweki
 
Natabiri mama kumrudisha kwenye u Kuu wa Mkoa ASAP
Never. Maneno yake kwa umma eti Samia hakumwua Mag, yalikuwa ya kijinga kabisa. Hivi ni nani alimwambia kuwa Mag aliuawa? Kaka siyo uwendawazimu ni nini?

Hawa ndio wale, hajaulizwa, anaanza kusema, mimi sikuiba. Mtu wa namna utamchukuliaje?
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Unataka kusema mama SSH kakurupuka kumtumbua?
 
Chalamila alikuwa ana address rumours zilizoko mitaani na kujaribu kumclear rais dhidi ya tuhuma za kijinga ambazo watu mitaani wanaziamini. Yeye alikuwa mkuu wa mkoa wa huko atakuwa amejua what is going on hujo mitaani mwanza

Nyie mnadhani nchi nzima imesahau kifo cha Magufuli na imemove on, but huenda kanda ya Ziwa wanaamini Magufuli kauliwa (Japo ni mawazo ya kijinga)

Kwenye hiyo clip Chalamila anamsema vizuri kabisa rais ili wananchi wampokee, wamkubali na wampe kila aina ya msaada kwenye kuongoza nchi, na pia anamclear dhidi ya tubuna za kipuuzi ambazo huenda ziko mitaani huko kanda ya Ziwa!

Chalamila it seems ana IQ kubwa sana ndo maana haeleweki
Kimsingi yeye alipaswa kumtaarifu Rais kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa then angekuwa amemaliza kazi yake.

RC sio msemaji wa serikali amevunja protocol na sasa amepose shida maana hata kamakuna ambao hawakuwa na hiyo feeling wanaanza kuwa nayo. Kumbuka roumors spread faster.

Hakupaswa kumuweka Rais kwenye hali hii especially kipindi ambacho Rais anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani hapo.

Swala la kiusalama angeripoti ikulu then wao wangeamua cha kufanya either aliongelee Rais mwenyewe atakapokuwa huko au walitolee ufafanuzi. Lakini kwa hili halikuhitaji hata ufafanuzi maana ni rumours ambazo zimeenezwa na wajinga wachache kwenye mitandao tu.

He made a big mistake na anafanya makosa akiwa kwenye uangalizi unatarajia Kuna mtu atamuacha???? He made his choice. Akalewe
 
By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?

He is the author of his own book.
Mwenye hii clip tafadhali weka.
 
Back
Top Bottom