nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Huyu Chalamila hakuna cha kutumia busara hata Mh Rais alishamwambia wewe ni mropokaji na ukiangalia clips nyingi wakati wa kuropoka huwa hatumii akili staili za mwendazake hizo sio kiongozi mwenye busara mwache apumzike alipokula panatosha huenda angeharibu zaidi yakamkuta ya SABAYA