Mahojiano na Rais mwisho wa mwaka 2023

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,318
24,218
RAIS KWA MASAA MAWILI ANATETEA SERA ZAKE KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI

Katika mahojiano mubashara, rais ameamua kuongea na waandishi wa habari wa vyombo tajwa ili kuelezea mikakati anayokusudia kukamilisha bila kutegemea msemaji wa serikali kufafafanua bali kuonesha yeye kama rais anaongea moja kwa moja na wananchi kuwashawishi kukubali, kuelewa na kuwa na subira mipango yake aliyoahidi ifanyike


View: https://m.youtube.com/watch?v=NbmiljC23oI
  1. Sera ya mkazo ktk majenzi ya makaazi ya maghorofa ili ardhi nzuri kwa kilimo isiliwe na maelfu ya nyumba za ardhini
  2. Mikopo nafuu wananchi wanunue apartments na flats katika maghorofa nchini kote na hivyo kutunza ardhi yenye rutuba kilimo kifanyike anafafanua rais.
  3. Kupanda kwa sarafu ya dola na ughali wa maisha, rais anaeleza sababu hasi zinazosababisha hilo.
  4. Bei ya bidhaa kama chakula, nishati n.k kupaa, rais abainisha mikakati kupunguza makali
  5. Tozo, kodi za haki kama mahakama ilivyotoa hukumu, rais afafanua
  6. Serikali yake tayari imepata fursa za ajira 10,000 zaidi nje ya nchi mwaka huu kwa raia wenye ujuzi kama mafundi seremala, mchundo, manesi, madaktari, madereva n.k
  7. Sera ya bima ya afya kwa wote Wanachi Inawezekana, afafanua rais utekelezaji
  8. Rais ashangaa hospitali ndogo kabisa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa kuliko hospitali za Rufaa za Kanda na hata zaidi ya hospitali kubwa ya rufaa ya Taifa. Rais asema amebaini yafuatayo;
  9. Kupiga vita ufisadi uliopo ktk mfuko wa bima ya afya, ambapo rais anatoa mfano hospitali moja ndogo sana ina idadi ya madai ya operesheni kuliko hospitali kubwa kabisa ya Taifa ya Kenyatta National hospital
  10. Upigaji mfuko wa bima ya afya, hospitali ndogo huandaa huduma za wazi kupima presha n.k Halafu kuchukua taarifa za waliojitokeza kwa kliniki ya wazi ya bure kwenda kukatia bima. Kisha kudai mfuko wa bima wa afya mabilioni ya shilingi kwa operesheni complicated ambazo hazijafanyika. Rais anasema ameamua kupambana na mafisadi hao wa mfuko wa bima ya taifa
  11. Rais asisitiza sasa hakuna tena nafasi fedha za serikali kuibiwa kupitia ubadhirifu, wizi na rushwa
  12. Rais anasema mfumo wa kijiditali e-citizen sasa kila kitu kitakuwa wazi na kuminya nafasi ya ufisadi na wizi wa mali za umma
  13. Rais asema anatoa kila msaada wa rasilimali fedha na watu ili taasisi zote za mfumo wa haki jinai, ofisi ya DPP, mawakili wa serikali kuwa huru, na hadi sasa hajapiga simu kutoa amri kesi ihukumiwe vipi na ni marufuku waziri au ndugu kujaribu kuingilia kazi za taasisi hizi muhimu
  14. Mradi wa bwawa kubwa la kuvuna maji, rais asema makosa yamesababishwa serikali kudai mabilioni. Tumejifunza kilichotokea huko nyuma na sasa mikataba itakuwa makini zaidi
  15. Sera ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, rais ambaye ni balozi namba moja afafanua masuala hayo
  16. Rais asisitiza kuwa hataki kubebwa mgongoni kwa mbeleko hivyo Polisi, wakuu wa taasisi mbalimbali wasiingilie mfumo wa uchaguzi wala siasa bali wamwache apambane kisiasa yeye mwenyewe bila Tume ya Uchaguzi wala nini
  17. Nishati ya Umeme, nchi kugawanywa ktk zone 5 rais asema
  18. Deni la Taifa
  19. Kubana Matumizi ya Serikali
  20. Waalimu zaidi ya 50,000 kuthibitishiwa ajira zao asisitiza rais
  21. SGR Reli kipande cha Kenya hadi Uganda kuunganisha DR Congo mpaka Congo Brazaville hatutachukua mkopo bali tunakaribisha wawekezaji kwakuwa tumekopa vya kutosha rais afafanua
  22. Sakata la DR Congo kumwita nyumbani balozi wao, rais asisitiza Kenya ina uhuru wa habari, haingeweza kuwakamata wakongomani walioita press conference Nairobi ...
  23. N.k n.k
 
Mrejesho, wananchi wafurahia mahojiano haya na kubaini kuwa mheshimiwa rais anaweza kufadanua sera, mikakati, miradi, mfumo wa haki jinai, ajira, uchumi yeye mwenyewe bila kutegemea mtu hiyo inaonesha kuwa kweli ni yeye ndiyo anasukuma agenda zote za awamu yake .
 
Huyu wa kwetu ni kwanini hana ujasiri wa kuongea na Wananchi live kupitia PC na waandishi wa habari?

Huu utamaduni wa Rais kuongea na Wananchi uliondoka na Jakaya Kikwete. Alipoingia Magufuli, akaja na usiri wa kifisadi na woga na kuwatazama wananchi kujibu hoja zao. Huyu Mama Samia ndo hovyo zaidi..

Yaani wanataka waamdaliwe PC huku wakiwa wamechagua wenyewe waandishi wa habari wanaowataka na maswali ya kuulizwa na majibu ya kudanganya umma kuwa yameandaliwa na idara ya habari na maelezo..!
 
Hiyo inawezekana kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa chaguzi halali. Lakini kwa Hawa viongozi wanaingia madarakani kwa chaguzi za wizi sio rahisi kukubali maswali mubashara toka kwa wananchi wao.
 
Hiyo inawezekana kwa viongozi wanaingia madarakani kwa chaguzi halali. Lakini kwa Hawa viongozi wanaingia madarakani kwa chaguzi za wizi sio rahisi kukubali maswali mubashara toka kwa wananchi wao.

..huyu wa kwetu tatizo ni uwezo wake.

..hakuwahi kuota kuwa Raisi.

..Na hakuwa miongoni wa waliofikiriwa kumrithi Jpm.
 
..huyu wa kwetu tatizo ni uwezo wake.

..hakuwahi kuota kuwa Raisi.

..Na hakuwa miongoni wa waliofikiriwa kumrithi Jpm.

Si mchezo rais kuhojiwa na jopo la waandishi nguli wabobevu kama Jenerali Ulimwengu, John Chacha Mwita na ukafafanua ni jambo zuri kwa taifa sababu raia wataona kweli unaongoza wanachosema mawaziri, wakuu wa mikoa, taasisi kama polisi, msemaji mkuu wa serikali, katibu muenezi wa chama chako na mabalozi uliowateu wakuwakilishe nje wote wanapata confidence kuwa hivi ndivyo unavyotaka mambo yaende
 
RAIS KWA MASAA MAWILI ANATETEA SERA ZAKE KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI

Katika mahojiano mubashara, rais ameamua kuongea na waandishi wa habari wa vyombo tajwa ili kuelezea mikakati anayokusudia kukamilisha bila kutegemea msemaji wa serikali kufafafanua bali kuonesha yeye kama rais anaongea moja kwa moja na wananchi kuwashawishi kukubali, kuelewa na kuwa na subira mipango yake aliyoahidi ifanyike


View: https://m.youtube.com/watch?v=NbmiljC23oI
  1. Sera ya mkazo ktk majenzi ya makaazi ya maghorofa ili ardhi nzuri kwa kilimo isiliwe na maelfu ya nyumba za ardhini
  2. Mikopo nafuu wananchi wanunue apartments na flats katika maghorofa nchini kote na hivyo kutunza ardhi yenye rutuba kilimo kifanyike anafafanua rais.
  3. Kupanda kwa sarafu ya dola na ughali wa maisha, rais anaeleza sababu hasi zinazosababisha hilo.
  4. Serikali yake tayari imepata fursa za ajira 10,000 zaidi nje ya nchi mwaka huu kwa raia wenye ujuzi kama mafundi seremala, mchundo, manesi, madaktari, madereva n.k
  5. Sera ya bima ya afya kwa wote
  6. Rais ashangaa hospitali ndogo kabisa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa operesheni kuliko hospitali za kanda za rufaa au ile hospitali kubwa ya rufaa ya Taifa. Rais asema amebaini yafuatayo;
  7. Kupiga vita ufisadi uliopo ktk mfuko wa bima ya afya, ambapo rais anatoa mfano hospitali moja ndogo sana ina idadi ya madai ya operesheni kuliko hospitali kubwa kabisa ya Taifa ya Kenyatta National hospital
  8. Upigaji mfuko wa bima ya afya, hospitali ndogo huandaa huduma za wazi kupima presha n.k Halafu kuchukua taarifa za waliojitokeza kwa kliniki ya wazi ya bure kwenda kukatia bima. Kisha kudai mfuko wa bima wa afya mabilioni ya shilingi kwa operesheni complicated ambazo hazijafanyika. Rais anasema ameamua kupambana na mafisadi hao wa mfuko wa bima ya taifa
  9. Rais asisitiza sasa hakuna tena nafasi fedha za serikali kuibiwa kupitia ubadhirifu, wizi na rushwa
  10. Rais anasema mfumo wa kijiditali e-citizen sasa kila kitu kitakuwa wazi na kuminya nafasi ya ufisadi na wizi wa mali za umma
  11. Rais asema anatoa kila msaada wa rasilimali fedha na watu ili taasisi zote za mfumo wa haki jinai, ofisi ya DPP, mawakili wa serikali kuwa huru, na hadi sasa hajapiga simu kutoa amri kesi ihukumiwe vipi na ni marufuku waziri au ndugu kujaribu kuingilia kazi za taasisi hizi muhimu
  12. Mradi wa bwawa kubwa la kuvuna maji, rais asema makosa yamesababishwa serikali kudai mabilioni. Tumejifunza kilichotokea huko nyuma na sasa mikataba itakuwa makini zaidi
  13. Sera ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, rais ambaye ni balozi namba moja afafanua masuala hayo
  14. Rais asisitiza kuwa hataki kubebwa mgongoni kwa mbeleko hivyo Polisi, wakuu wa taasisi mbalimbali wasiingilie mfumo wa uchaguzi wala siasa bali wamwache apambane kisiasa yeye mwenyewe bila Tume ya Uchaguzi wala nini
  15. N.k n.k

Kenya is a democratic country,never compare with these kingdom states of East Africa despot
RAIS KWA MASAA MAWILI ANATETEA SERA ZAKE KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI

Katika mahojiano mubashara, rais ameamua kuongea na waandishi wa habari wa vyombo tajwa ili kuelezea mikakati anayokusudia kukamilisha bila kutegemea msemaji wa serikali kufafafanua bali kuonesha yeye kama rais anaongea moja kwa moja na wananchi kuwashawishi kukubali, kuelewa na kuwa na subira mipango yake aliyoahidi ifanyike


View: https://m.youtube.com/watch?v=NbmiljC23oI
  1. Sera ya mkazo ktk majenzi ya makaazi ya maghorofa ili ardhi nzuri kwa kilimo isiliwe na maelfu ya nyumba za ardhini
  2. Mikopo nafuu wananchi wanunue apartments na flats katika maghorofa nchini kote na hivyo kutunza ardhi yenye rutuba kilimo kifanyike anafafanua rais.
  3. Kupanda kwa sarafu ya dola na ughali wa maisha, rais anaeleza sababu hasi zinazosababisha hilo.
  4. Serikali yake tayari imepata fursa za ajira 10,000 zaidi nje ya nchi mwaka huu kwa raia wenye ujuzi kama mafundi seremala, mchundo, manesi, madaktari, madereva n.k
  5. Sera ya bima ya afya kwa wote
  6. Rais ashangaa hospitali ndogo kabisa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa operesheni kuliko hospitali za kanda za rufaa au ile hospitali kubwa ya rufaa ya Taifa. Rais asema amebaini yafuatayo;
  7. Kupiga vita ufisadi uliopo ktk mfuko wa bima ya afya, ambapo rais anatoa mfano hospitali moja ndogo sana ina idadi ya madai ya operesheni kuliko hospitali kubwa kabisa ya Taifa ya Kenyatta National hospital
  8. Upigaji mfuko wa bima ya afya, hospitali ndogo huandaa huduma za wazi kupima presha n.k Halafu kuchukua taarifa za waliojitokeza kwa kliniki ya wazi ya bure kwenda kukatia bima. Kisha kudai mfuko wa bima wa afya mabilioni ya shilingi kwa operesheni complicated ambazo hazijafanyika. Rais anasema ameamua kupambana na mafisadi hao wa mfuko wa bima ya taifa
  9. Rais asisitiza sasa hakuna tena nafasi fedha za serikali kuibiwa kupitia ubadhirifu, wizi na rushwa
  10. Rais anasema mfumo wa kijiditali e-citizen sasa kila kitu kitakuwa wazi na kuminya nafasi ya ufisadi na wizi wa mali za umma
  11. Rais asema anatoa kila msaada wa rasilimali fedha na watu ili taasisi zote za mfumo wa haki jinai, ofisi ya DPP, mawakili wa serikali kuwa huru, na hadi sasa hajapiga simu kutoa amri kesi ihukumiwe vipi na ni marufuku waziri au ndugu kujaribu kuingilia kazi za taasisi hizi muhimu
  12. Mradi wa bwawa kubwa la kuvuna maji, rais asema makosa yamesababishwa serikali kudai mabilioni. Tumejifunza kilichotokea huko nyuma na sasa mikataba itakuwa makini zaidi
  13. Sera ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, rais ambaye ni balozi namba moja afafanua masuala hayo
  14. Rais asisitiza kuwa hataki kubebwa mgongoni kwa mbeleko hivyo Polisi, wakuu wa taasisi mbalimbali wasiingilie mfumo wa uchaguzi wala siasa bali wamwache apambane kisiasa yeye mwenyewe bila Tume ya Uchaguzi wala nini
  15. N.k n.k

Kenya is a democratic country never compare with these kingdom states of East Africa under despot
RAIS KWA MASAA MAWILI ANATETEA SERA ZAKE KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI

Katika mahojiano mubashara, rais ameamua kuongea na waandishi wa habari wa vyombo tajwa ili kuelezea mikakati anayokusudia kukamilisha bila kutegemea msemaji wa serikali kufafafanua bali kuonesha yeye kama rais anaongea moja kwa moja na wananchi kuwashawishi kukubali, kuelewa na kuwa na subira mipango yake aliyoahidi ifanyike


View: https://m.youtube.com/watch?v=NbmiljC23oI
  1. Sera ya mkazo ktk majenzi ya makaazi ya maghorofa ili ardhi nzuri kwa kilimo isiliwe na maelfu ya nyumba za ardhini
  2. Mikopo nafuu wananchi wanunue apartments na flats katika maghorofa nchini kote na hivyo kutunza ardhi yenye rutuba kilimo kifanyike anafafanua rais.
  3. Kupanda kwa sarafu ya dola na ughali wa maisha, rais anaeleza sababu hasi zinazosababisha hilo.
  4. Serikali yake tayari imepata fursa za ajira 10,000 zaidi nje ya nchi mwaka huu kwa raia wenye ujuzi kama mafundi seremala, mchundo, manesi, madaktari, madereva n.k
  5. Sera ya bima ya afya kwa wote
  6. Rais ashangaa hospitali ndogo kabisa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa operesheni kuliko hospitali za kanda za rufaa au ile hospitali kubwa ya rufaa ya Taifa. Rais asema amebaini yafuatayo;
  7. Kupiga vita ufisadi uliopo ktk mfuko wa bima ya afya, ambapo rais anatoa mfano hospitali moja ndogo sana ina idadi ya madai ya operesheni kuliko hospitali kubwa kabisa ya Taifa ya Kenyatta National hospital
  8. Upigaji mfuko wa bima ya afya, hospitali ndogo huandaa huduma za wazi kupima presha n.k Halafu kuchukua taarifa za waliojitokeza kwa kliniki ya wazi ya bure kwenda kukatia bima. Kisha kudai mfuko wa bima wa afya mabilioni ya shilingi kwa operesheni complicated ambazo hazijafanyika. Rais anasema ameamua kupambana na mafisadi hao wa mfuko wa bima ya taifa
  9. Rais asisitiza sasa hakuna tena nafasi fedha za serikali kuibiwa kupitia ubadhirifu, wizi na rushwa
  10. Rais anasema mfumo wa kijiditali e-citizen sasa kila kitu kitakuwa wazi na kuminya nafasi ya ufisadi na wizi wa mali za umma
  11. Rais asema anatoa kila msaada wa rasilimali fedha na watu ili taasisi zote za mfumo wa haki jinai, ofisi ya DPP, mawakili wa serikali kuwa huru, na hadi sasa hajapiga simu kutoa amri kesi ihukumiwe vipi na ni marufuku waziri au ndugu kujaribu kuingilia kazi za taasisi hizi muhimu
  12. Mradi wa bwawa kubwa la kuvuna maji, rais asema makosa yamesababishwa serikali kudai mabilioni. Tumejifunza kilichotokea huko nyuma na sasa mikataba itakuwa makini zaidi
  13. Sera ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, rais ambaye ni balozi namba moja afafanua masuala hayo
  14. Rais asisitiza kuwa hataki kubebwa mgongoni kwa mbeleko hivyo Polisi, wakuu wa taasisi mbalimbali wasiingilie mfumo wa uchaguzi wala siasa bali wamwache apambane kisiasa yeye mwenyewe bila Tume ya Uchaguzi wala nini
  15. N.k n.k

Kenya is a democratic country never compare with these kingdom states of East Africa under despot regimes!
 
Kenya is a democratic country,never compare with these kingdom states of East Africa despot

Kenya is a democratic country never compare with these kingdom states of East Africa under despot

Kenya is a democratic country never compare with these kingdom states of East Africa under despot regimes!

Wananchi tumekubali kuendelea kutekwa nyara kisiasa na kidemokrasia au tunataka kurejesha haki yetu ikiwemo kuwahoji viongozi walioomba ajira kutoka kwetu huku tukiwalipa mishahara kutokana na kodi tuliyoichanga ?

Siasa ni uwezo wa kushawishi kwa muda na siyo kuwafanya raia mateka wa serikali iliyopo madarakani.
 
Mrejesho, wananchi wafurahia mahojiano haya na kubaini kuwa mheshimiwa rais anaweza kufadanua sera, mikakati, miradi, mfumo wa haki jinai, ajira, uchumi yeye mwenyewe bila kutegemea mtu hiyo inaonesha kuwa kweli ni yeye ndiyo anasukuma agenda zote za awamu yake .
Ruto aliingia Madarakani akijua anakwenda kufanya nini mtofautishe na Her Majesty the Queen of kizimkazi....yuko pale kukamilisha utaratibu kwamba "there's somebody to the throne."
 
Huyu wa kwetu ni kwanini hana ujasiri wa kuongea na Wananchi live kupitia PC na waandishi wa habari?

Huu utamaduni wa Rais kuongea na Wananchi uliondoka na Jakaya Kikwete. Alipoingia Magufuli, akaja na usiri wa kifisadi na woga na kuwatazama wananchi kujibu hoja zao. Huyu Mama Samia ndo hovyo zaidi..

Yaani wanataka waamdaliwe PC huku wakiwa wamechagua wenyewe waandishi wa habari wanaowataka na maswali ya kuulizwa na majibu ya kudanganya umma kuwa yameandaliwa na idara ya habari na maelezo..!
Haya mambo huhitaji Self Esteem na Emotional intelligence ya hali ya juu ambapo wengi wetu tuliolelewa kijamaa hapa bongo hatuna! Imagine Magufuli na kujifanya mpenda haki hakupenda kabisa uwazi!
 
..huyu wa kwetu tatizo ni uwezo wake.

..hakuwahi kuota kuwa Raisi.

..Na hakuwa miongoni wa waliofikiriwa kumrithi Jpm.
Si huyu tu... kuanzia 2005 wagombea wa CCM waligombea huku wakiwa hawajui wanakwenda kufanya nini Ikulu.

Ndo maana huwa hakuna clear vision wanayosimamia zaidi ya kuongozwa kimatukio.
 
21 December 2023

Paul Makonda - Watendaji, Mnataka Mkuu Wa Nchi Aje Kuongea Wakati Mmeaminiwa Na Kuteuliwa na Rais Mwenyewe Kumaliza Kero ?

View: https://m.youtube.com/watch?v=T-SWDBTcb_I
Paul Makonda akwazwa TANESCO kumwangusha rais kuhusu nishati ya umeme nchini

Katibu ueneze ahoji kushindwa kwao TANESCO kuzalisha umeme wa kutosha, wanataka mkuu wa nchi ajitokeze kuongea na wananchi kuhusu uzembe huu.
 
21 December 2023
Mwandishi amtwanga maswali matano mazito, katibu uenezi wa CCM, baadhi ya maswali yaliibuliwa katika kongamano la TLS


View: https://m.youtube.com/watch?v=Q6EMhSUUbzg
Swali kuhusu muswada wa sheria ya Tume ya Uchaguzi n.k Kuna matundu, matobo na haujakamilika ... zile R4 za rais bado zipo, Mazungumzo ya Maridhiano na CHADEMA kwanini CCM mnakwamisha ...
 
Mrejesho, wananchi wafurahia mahojiano haya na kubaini kuwa mheshimiwa rais anaweza kufadanua sera, mikakati, miradi, mfumo wa haki jinai, ajira, uchumi yeye mwenyewe bila kutegemea mtu hiyo inaonesha kuwa kweli ni yeye ndiyo anasukuma agenda zote za awamu yake .
Watawala wa Afrika hawana lolote jipya.
 
Back
Top Bottom