Chalamila omba wasaa ukutane na Mheshimiwa Rais uombe umueleze upande wako wa stori

Huyo Chalamila hana usafi wowote wa moyo kama unavyotaka kuwaaminisha watu.

Hivi unajua kuwa ile hukumu ya uonevu iliyomweka Sugu jela bila kosa, iliandaliwa na hakimu wakishirikiana na RC ofisini kwake? Unafahamu kuwa mahakama baada ya kukata rufaa, ilikubaliana na Sugu kuwa alionewa?

Tusiowaonee huruma watu wenye roho mbaya. Wananchi tusimame pamoja kupigania uongozi mzuri bila ya kujali itikadi za kisiasa maana sote tuna haki sawa, na hakuna aliye Mtanzania zaidi kumzidi mwingine.
Yaani wewe unamchukia Chalamila kisa sugu tu..???!!

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Huwa hakuna mtawala asiyependa wateule wanamfagilia.
Magufuli akifanya uchawa sana wakati wa utawala wa BWM na JK na waliweza kumvumilia ufisadi wake na madudu yake na hii ni kwa sababu alikuwa pia aiwasurprise kwa bidii ya kazi

Hatukatai kufanya uchawa wa akili ambao ndio Jiwe alifanya hasa kwa BWM kwa kujituma sana kwenye majukumu yake; sasa hawa wakina Mwigulu wanakuja na bajeti mbovu mbovu za kusamehe kodi wacheza kamari na kuwatoza kodi masikini kwa kuongeza bei za vocha za Simu!!! Mbona wenzetu Zanzibar wameifurahia bajeti yao kwa kutoa unafuu wa kodi?

Kwanini msije na pendekezo la kupunguza mishahara na malupulupu ya Viongozi wakiwemo Wabunge kama njia ya kupunguza matumizi ya serikali? Mishahara yao iwe na uwiano na mishahara mingine nchini na pia hali ya uchumi wa nchi!
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Acha kumpotezea muda. Mshauri arudi Iringa aanze kuangalia jimbo lenye mbunge legelege aanze kujiimarisha ili 2025 aingie mjengoni na kugombea uspika. Mufindi ya Malangali au Kalenga kutamfaa. Hata Ismani Lukuvi ameshachokwa amezidi mno majivuno na dharau.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Acha kumpotezea muda. Mshauri arudi Iringa aanze kuangalia jimbo lenye mbunge legelege aanze kujiimarisha ili 2025 aingie mjengoni na kugombea uspika. Mufindi ya Malangali au Kalenga kutamfaa. Hata Ismani Lukuvi ameshachokwa amezidi mno majivuno na dharau.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app

Ushauri wako ni mzuri, aende Iringa ajipange kuchukua jimbo la ISMANI kwani Lukuvi hana mvuto tena. Na yeye ana advantage ya kuwa alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa!!!
 
Mkuu sio lazima awe mkuu wa mkoa ndo aishi.maisha inabidi yaendelee sometimes vyeo Kama hivi sijui hata watu wanavitaka vya Nini unaishi unamuogopa mtu kuliko mungu
Fisiemu wengi wanaamini katika maisha ya kisiasa ndio maana husikii wanaovurunda kujiuzulu "mpaka wafukuzane" ndo zinawakaa sawa!!!
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Time out mzee wa kuripuka kiberiti na mafuta ya petrol. Chalamila jiandae kupanda basi la Mwanza to Dodoma, then lala dodoma kwani utakuwa umechoka sana kwani ulishasahau usafiri wa public, kesho yake amka mapema panda gari za Dodoma to Iringa utamkuta Rev. Msigwa stendi anakusubiri akupe lift kwenye V8 lake la maroon hadi kwako. Then ujiandae kuwa mbeba mafaili ya DC wa Iringa yule aliyewatukana bodanboda ila akastuka na kuomba radhi hapo hapo sasa kabadilika kweli hadi anapita mtaani na baiskeli.
 
Ni aibu kuwa na nutcase kama Chalamila kwenye utumishi mkubwa kabisa wa umma.
Uchapakazi wake akalimie vitunguu Iringa, ofisi ya umma inahitaji watu serious na sio comedians.
Nipe rekodi ya thread yangu au post yoyote niliyotaka Chalamia aondolewe Ukuu wa mkoa!, Haipo

Mimi nimekuwa nikimkubali huyu jamaa siku nyingi tu maana nimchapakazi hodari
 
Chalamila ni mjomba wako??
Aliwasulubu sana makamanda Mbeya lakini bado una mahaba naye yaliyopitiliza!
Infact pale alikuwa anamzungumzia rais in a very positive way.

Alichagua maneno yenye Ukakasi kidogo lakini The overall message ilikuwani kuwataka watu wamuelewe, wampe ushirikiano mheshimiwa rais katika kuleta maendeleo katika mkoa wao.
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Wewe ni msemaji wa chalamila? Watanzania wengine bwana hovyo Sana.
Tatizo baadhi ya watanzania wenzetu wanafikiri mtu akiwa kiongozi au mtu mkubwa kiumri hakosei. Chalamila hafai hata kuwa katibu kata, lilikuwa ni swala la muda tu.
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka

Hivi wabongo tuna nini? Kwani alipoteuliwa aliitwa pembeni kuombwa ushauri? Kazi imekwisha..it is that simple. Akajipange upya atafute namna nyingine ya kuendesha maisha. Hii nafasi ya kuteuliwa siyo permanent. Yaani it's like hii nafasi ilikuwa ya kwake..nah...waTz wengi wakipewa nafasi wanaweza kuifanya hii kazi. Hii ni kazi ya upendeleo haina taaluma. Ndo maana ukitenguliwa huna pa kulalamika. Unahudumu kwa matakwa ya mteuaji.

Kama hakulijua hilo is a compound fool!
 
Aisee nimeiangalia tena hiyo clip.

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa imeungwa ungwa ionekane kama kweli kasema watu waje na hata mabango ya matusi.

Mwanzoni anaongea akiwa peke yake.

Baadaye pale anapozungumzia mabango yenye matusi, kuna mtu mwingine kakaa pembeni yake.

Yawezekana kweli kuna mchezo mchafu hapo.

<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="in" dir="ltr">Albert Chalamila kabla hajatenguliwa Mwanza.<a href="https://twitter.com/hashtag/KitengeUpdates?src=hash&amp;ref_src=twsrc^tfw">#KitengeUpdates</a> <a href="https://t.co/Yrfqtpyoly">pic.twitter.com/Yrfqtpyoly</a></p>&mdash; Maulid Kitenge (Mshambuliaji) <a href="">June 11, 2021</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>

kwa hiyo unataka kusema zimeungwa speech mbili tofauti na venue tofauti?
 
Umeona eh!, Wamehariri!

Wamepandishia clip juu ya clip nyingine!

Huu mchezo siyo mzuri kabisa

Ni matumizi mabaya ya ICT
Kwahiyo nyie mnadhani wenye Nchi hawakuwepo hapo wakati anaongea?!?
Anyway tukirudi kwenye mada.. Sio rahisi kupewa audience na Rais eti ujieleze kwa kosa ambalo umetumbuliwa nalo.. Maana hiyo audience yenyewe inaamuliwa na watu wengine.
 
Back
Top Bottom