The only way.Raisi Samia alishaambiwa Chalamila, Hapi, Sabaya hawafai kurudishwa, akajifanya hasikii amevaa earphones aanasikiliza taarabu za kumsifia. Mwache ajifunze the hard way.
Umeongea ukweli kabisa.Mkuu sio lazima awe mkuu wa mkoa ndo aishi.maisha inabidi yaendelee sometimes vyeo Kama hivi sijui hata watu wanavitaka vya Nini unaishi unamuogopa mtu kuliko mungu
Yaani wewe unamchukia Chalamila kisa sugu tu..???!!Huyo Chalamila hana usafi wowote wa moyo kama unavyotaka kuwaaminisha watu.
Hivi unajua kuwa ile hukumu ya uonevu iliyomweka Sugu jela bila kosa, iliandaliwa na hakimu wakishirikiana na RC ofisini kwake? Unafahamu kuwa mahakama baada ya kukata rufaa, ilikubaliana na Sugu kuwa alionewa?
Tusiowaonee huruma watu wenye roho mbaya. Wananchi tusimame pamoja kupigania uongozi mzuri bila ya kujali itikadi za kisiasa maana sote tuna haki sawa, na hakuna aliye Mtanzania zaidi kumzidi mwingine.
Huwa hakuna mtawala asiyependa wateule wanamfagilia.
Magufuli akifanya uchawa sana wakati wa utawala wa BWM na JK na waliweza kumvumilia ufisadi wake na madudu yake na hii ni kwa sababu alikuwa pia aiwasurprise kwa bidii ya kazi
Unataka kusema mama SSH kakurupuka kumtumbua?
Apple!
Uyu mama amekua mama wa kamboChalamila ashike 50 zake, asipoteze muda na huyu mama asije zushiwa la kuzushiwa bure!
Acha kumpotezea muda. Mshauri arudi Iringa aanze kuangalia jimbo lenye mbunge legelege aanze kujiimarisha ili 2025 aingie mjengoni na kugombea uspika. Mufindi ya Malangali au Kalenga kutamfaa. Hata Ismani Lukuvi ameshachokwa amezidi mno majivuno na dharau.Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Acha kumpotezea muda. Mshauri arudi Iringa aanze kuangalia jimbo lenye mbunge legelege aanze kujiimarisha ili 2025 aingie mjengoni na kugombea uspika. Mufindi ya Malangali au Kalenga kutamfaa. Hata Ismani Lukuvi ameshachokwa amezidi mno majivuno na dharau.
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Ile ni "saa mbovu" au mpaka angechojoa ndipo watu wangelijua ni "fyatu?" Hakuna utani kwenye kauli "kuua atakayehisiwa..., kelele ni chakula cha pombe!!!" Tufanye tu kwamba na "mamlaka yamemtania..."Mizaha na masikhara vimemponza
Fisiemu wengi wanaamini katika maisha ya kisiasa ndio maana husikii wanaovurunda kujiuzulu "mpaka wafukuzane" ndo zinawakaa sawa!!!Mkuu sio lazima awe mkuu wa mkoa ndo aishi.maisha inabidi yaendelee sometimes vyeo Kama hivi sijui hata watu wanavitaka vya Nini unaishi unamuogopa mtu kuliko mungu
Time out mzee wa kuripuka kiberiti na mafuta ya petrol. Chalamila jiandae kupanda basi la Mwanza to Dodoma, then lala dodoma kwani utakuwa umechoka sana kwani ulishasahau usafiri wa public, kesho yake amka mapema panda gari za Dodoma to Iringa utamkuta Rev. Msigwa stendi anakusubiri akupe lift kwenye V8 lake la maroon hadi kwako. Then ujiandae kuwa mbeba mafaili ya DC wa Iringa yule aliyewatukana bodanboda ila akastuka na kuomba radhi hapo hapo sasa kabadilika kweli hadi anapita mtaani na baiskeli.Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Nipe rekodi ya thread yangu au post yoyote niliyotaka Chalamia aondolewe Ukuu wa mkoa!, Haipo
Mimi nimekuwa nikimkubali huyu jamaa siku nyingi tu maana nimchapakazi hodari
Infact pale alikuwa anamzungumzia rais in a very positive way.
Alichagua maneno yenye Ukakasi kidogo lakini The overall message ilikuwani kuwataka watu wamuelewe, wampe ushirikiano mheshimiwa rais katika kuleta maendeleo katika mkoa wao.
Wewe ni msemaji wa chalamila? Watanzania wengine bwana hovyo Sana.Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Aisee nimeiangalia tena hiyo clip.
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa imeungwa ungwa ionekane kama kweli kasema watu waje na hata mabango ya matusi.
Mwanzoni anaongea akiwa peke yake.
Baadaye pale anapozungumzia mabango yenye matusi, kuna mtu mwingine kakaa pembeni yake.
Yawezekana kweli kuna mchezo mchafu hapo.
<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="in" dir="ltr">Albert Chalamila kabla hajatenguliwa Mwanza.<a href="https://twitter.com/hashtag/KitengeUpdates?src=hash&ref_src=twsrc^tfw">#KitengeUpdates</a> <a href="https://t.co/Yrfqtpyoly">pic.twitter.com/Yrfqtpyoly</a></p>— Maulid Kitenge (Mshambuliaji) <a href="">June 11, 2021</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
Kwahiyo nyie mnadhani wenye Nchi hawakuwepo hapo wakati anaongea?!?Umeona eh!, Wamehariri!
Wamepandishia clip juu ya clip nyingine!
Huu mchezo siyo mzuri kabisa
Ni matumizi mabaya ya ICT