Chalamila omba wasaa ukutane na Mheshimiwa Rais uombe umueleze upande wako wa stori

By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?

He is the author of his own book.
wewe ndio unatuvuruga kabisaaa,kama kosa ni hilo au hili la mletamada bado bimkubwa kakurupuka kote.

hilo wakati anazindua mashine ilikuwa ni uhamasishaji wa watu kumuunga mkono mama na si kusononeka muda wote as if mama anahusika na kifo cha jpm,kagua video upya.

hii ya mabango,ilikuwa ni kwenda kinyume na kauli ya mama ila sio kwa nia mbaya,ila ni kama alitaka kusema wasiogope kwenda na mabango sababu yatamnyima kazi.kama kero wanazo wapeleke tu wasisite.

mimi napenda kuwaasa ndugu zangu,kuwaelewa ccm bado hatujafanikiwa,ukiacha na kuwaza kuwatoa madarakani,tusitunge story kwa kutazama makava ya vitabu tu.
 
Chalamila is innocent, Ameadhibiwa kwa mob pshchology tu ya mitandaoni

Lakini kauli ya mabango hakumaanisha hata chembe kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali alimaanisha kuwa hata kama raia wana hasira hata za kumtukana yeye Chalamila waje nayo tu. Ila wachonganishi wakahariri ile video wakaziunganisha ikaonekana as if amehamasisha mabango ya watu kumtukana rais kitu ambacho siyo kweli.

CHALAMILA IS INNOCENT na pia ni mi9ngoni mwa watu waliokuwa wanachapa kazi kwa dhati na kwa mapenzi makubwa kwa Rais Samia(You can feel that in his tone)
 
Chalamila is innocent, Ameadhibiwa kwa mob pshchology tu ya mitandaoni

Lakini kauli ya mabango hakumaanisha hata chembe kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali alimaanisha kuwa hata kama raia wana hasira hata za kumtukana yeye Chalamila waje nayo tu. Ila wachonganishi wakahariri ile video wakaziunganisha ikaonekana as if amehamasisha mabango ya watu kumtukana rais kitu ambacho siyo kweli.

CHALAMILA IS INNOCENT na pia ni mi9ngoni mwa watu waliokuwa wanachapa kazi kwa dhati na kwa mapenzi makubwa kwa Rais Samia(You can feel that in his tone)
Kudos for being objective in this!
 
Nani alimwambia kwamba wananchi wa Mwanza wanamtuhumu Rais wa sasa kuhusika na kifo cha Magu? Kiongozi anayeropoka namna hii in the middle of ziara ya Rais Kanda ya ziwa huyu hafai ukichukulia yeye ndio mkuu wa mkoa Mwanza.

Hakupaswa kutoa Ile kauli aisee. Hiyo ni kama uchonganishi huwezi kumuacha kiongozi wa hivyo.
Huko ni kuwa alert hata wasiojua hizo rumours. Akwende zake
 
Kuna mtu alisema.
1. Chalamila
2. Happy
3. Makonda lazima waondoke kwa sababu ya ubabe wao.
I rest my case.
 
By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?

He is the author of his own book.
Hapa alikosea kama Binadamu but ndio hivyo unalipa gharama ya kauli
 
Pamoja na yote zile semina za kuwaweka sawa ni muhimu kuna chuo cha diplomasia,uongozi institute na chuo cha ccm pale kibaha
 
Back
Top Bottom