mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
wewe ndio unatuvuruga kabisaaa,kama kosa ni hilo au hili la mletamada bado bimkubwa kakurupuka kote.By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?
He is the author of his own book.
hilo wakati anazindua mashine ilikuwa ni uhamasishaji wa watu kumuunga mkono mama na si kusononeka muda wote as if mama anahusika na kifo cha jpm,kagua video upya.
hii ya mabango,ilikuwa ni kwenda kinyume na kauli ya mama ila sio kwa nia mbaya,ila ni kama alitaka kusema wasiogope kwenda na mabango sababu yatamnyima kazi.kama kero wanazo wapeleke tu wasisite.
mimi napenda kuwaasa ndugu zangu,kuwaelewa ccm bado hatujafanikiwa,ukiacha na kuwaza kuwatoa madarakani,tusitunge story kwa kutazama makava ya vitabu tu.