Chakula kitamu kinapatikana wapi ?

Chakula kitamu kinapatikana wapi ?

dar kunba samaki sana me samaki wachumvi siwapendi labda wa ziwani
Njoo tu, utapata hao wa Ziwani. Nataka tu roho yako iridhike.
Tunashushia na hii kitu.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    6.3 KB · Views: 35
Usijali pesa yake matumizi. Nzi kufikia kwenye kidonda haki yake. Ukitaka hata mwezi mzima nipo tayari mama. Pia uwabebee na wana nyumbani.
Mhhhhhhh hii hadi mimi imenigusa
 
raha jipe mwenyewe wanaume tunawaonea tu usawa huu wa magufuli
leo nimepata mshahara wanasema tumia pesa ikuzoee nataka leo nikae mahali nipige msosi wa maana nimechoka kujipikia makande huku nadanganya wali samaki
wapi dar wanapika chakula kizuri na kitamu iwe hoteli ,mgahawa au mama ntilie
naombeni ramani wadau
Nenda Capetown Fish Market off Kimweri avenue msasani ukamalize mshahara wako. Nenda na rafiki zako wawili mtainjoi sana.

cape-town-fish-market.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom