Chakula kitamu kinapatikana wapi ?

Chakula kitamu kinapatikana wapi ?

Naweza lipia vyote. Asije ruka akaona mtego bure ndio maana nikasema hivyo. Maana amesema mshahara umetoka leo.
ahahaa wewe utanifaa sana nitachukua hadi take away ya kesho
 
ahahaa wewe utanifaa sana nitachukua hadi take away ya kesho
Usijali pesa yake matumizi. Nzi kufikia kwenye kidonda haki yake. Ukitaka hata mwezi mzima nipo tayari mama. Pia uwabebee na wana nyumbani.
 
1475247890142.jpg
 
That's a 100% masculine tone, but vatos will still mack. Can't be too damn careful out here, man.
 
raha jipe mwenyewe wanaume tunawaonea tu usawa huu wa magufuli
leo nimepata mshahara wanasema tumia pesa ikuzoee nataka leo nikae mahali nipige msosi wa maana nimechoka kujipikia makande huku nadanganya wali samaki
wapi dar wanapika chakula kizuri na kitamu iwe hoteli ,mgahawa au mama ntilie
naombeni ramani wadau
 

Attachments

  • 16262_192521493016_572988016_3024675_710562_n.jpg
    16262_192521493016_572988016_3024675_710562_n.jpg
    16.9 KB · Views: 43
  • 1.jpg
    1.jpg
    68.1 KB · Views: 149
Kama ni mpenzi wa Samaki nenda NINO's Grill pale fire karibia na Richmond towers ukapate collection ya sea food ina lobster, prawns, crabs, King fish nk hutajuta..... Bei haifiki hata laki 1.

Hutamaliza nenda na wenzako wawili
 
Usijali pesa yake matumizi. Nzi kufikia kwenye kidonda haki yake. Ukitaka hata mwezi mzima nipo tayari mama. Pia uwabebee na wana nyumbani.
ahahaa so tujiandae wangapi?
 
raha jipe mwenyewe wanaume tunawaonea tu usawa huu wa magufuli
leo nimepata mshahara wanasema tumia pesa ikuzoee nataka leo nikae mahali nipige msosi wa maana nimechoka kujipikia makande huku nadanganya wali samaki
wapi dar wanapika chakula kizuri na kitamu iwe hoteli ,mgahawa au mama ntilie
naombeni ramani wadau
Nenda Merry Brown posta mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom