Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,028
- 52,505
- Thread starter
- #41
dar kunba samaki sana me samaki wachumvi siwapendi labda wa ziwaniNjoo twende Masaki kuna chimbo limetuli wanajua kutengeneza samaki siyo mchezo.
dar kunba samaki sana me samaki wachumvi siwapendi labda wa ziwaniNjoo twende Masaki kuna chimbo limetuli wanajua kutengeneza samaki siyo mchezo.
Wewe tu na wakukusindikiza. Watoto utawabebea tokana na idadi yao.ahahaa so tujiandae wangapi?
ahahaaa ok okWewe tu na wakukusindikiza. Watoto utawabebea tokana na idadi yao.
Usicheke hiyo ni offer ya kufungia mwaka ahahah. Ukichelewa offer itaisha wewe unatoa macho tu.ahahaaa ok ok
usifanye hivo mkuu? usije enda nilisha tu makandeUsicheke hiyo ni offer ya kufungia mwaka ahahah. Ukichelewa offer itaisha wewe unatoa macho tu.
Ahahha makande siwezi kukulisha mtoto kama wewe. Bora nigharamie kwako ikiisha mie nikale zangu makandeusifanye hivo mkuu? usije enda nilisha tu makande

njoo ghetto nikupikieusifanye hivo mkuu? usije enda nilisha tu makande
mie mpishi ckuhizi
Unipitie... My part time baby... LolYap......ila hao samaki...dah
ahahaa mi nakula msosi wa nguvu wewe utanisindikiza na majiAhahha makande siwezi kukulisha mtoto kama wewe. Bora nigharamie kwako ikiisha mie nikale zangu makande![]()
Mbona mi mshahara wangu wote unaishiaga kwenye madeni? Ni lin na mm ntakula sosi km hili wajameniTuwasiliane nikupeleke chimbo la mapochopocho ya ukweh...!View attachment 409779View attachment 409780
Ntakupitiaa.....hehebhee hehe nimekumbuka unapenda samakii.....Unipitie... My part time baby... Lol
Tutafute washika dauMbona mi mshahara wangu wote unaishiaga kwenye madeni? Ni lin na mm ntakula sosi km hili wajameni

Yeah, ila ufanye siri cute b asijue..Ntakupitiaa.....hehebhee hehe nimekumbuka unapenda samakii.....
Mwe,mwe,mwe,...Tutafute washika dau![]()
![]()
![]()
Sio kwa Jr trust meMwe,mwe,mwe,...
Naogopa mkuu,sikuhiz hakuna cha bure,ukila lazima ulipie.
Munasemaga hivo hivohizi sio taste zangu kaka
poa nitakupitiaMiss fanya kunikumbuka namie basi