Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,269
Utamu wake hauelezeki mkuu, jaribu na wewe uweze kujionea utamu wakeusisahau kuleta mrejaa/mrejesho
Utamu wake hauelezeki mkuu, jaribu na wewe uweze kujionea utamu wakeusisahau kuleta mrejaa/mrejesho
Naomba mbadala basiSikushauri kabisa.... Sumu haionjwi

Na kurudi huku kituoni kuna Asha muuza kuku yule naye ana visa wanachuana na yule pale pembeni ya muuza supuSasa hivi pale msikitini usiku wanauza viuno vya kuku,miguu na bagia za dengu
AmenMungu mwenye enzi yote
Anzisha series humuhumuNdio kijiji nilichokulia kilikuwa funika bovu na palikuwa na njiapanda mbili zinakutana.. Hivyo kulikuwa na muunganiko wa njia sita kwa wakati mmoja... Mito miwili nayo ilikuwa inakutana hapo na madaraja mawili... Ni sehemu ya ajabu kwakweli... Sasa hapo mahali nikiamua kuandika kitabu sijui nitajaza kurasa ngapi
Wameshazeeka hao hawauzi tena.
Njoo nikuuzie mie nadeliver mjini kwa order.
Pilau
Wali
Ndizi
Makande
Makange ya kuku
Vitoweo
Nyama ya kuku,mbuzi,ng'ombe zote roast
Kabichi,kachumbari,mchicha na kisamvu.
Nenda buana upate nondo toka kwa mmoja wa malkia wa nguvu...![]()
![]()
nitakuja unifundishe na mimi walah