mic69
Senior Member
- Dec 23, 2016
- 100
- 124
Makuzi unamaanisha ulikulia kwenye anga za washirikina?![]()
![]()
![]()
makuzi hobby na udadisi
Makuzi unamaanisha ulikulia kwenye anga za washirikina?![]()
![]()
![]()
makuzi hobby na udadisi
Ndio kijiji nilichokulia kilikuwa funika bovu na palikuwa na njiapanda mbili zinakutana.. Hivyo kulikuwa na muunganiko wa njia sita kwa wakati mmoja... Mito miwili nayo ilikuwa inakutana hapo na madaraja mawili... Ni sehemu ya ajabu kwakweli... Sasa hapo mahali nikiamua kuandika kitabu sijui nitajaza kurasa ngapiMakuzi unamaanisha ulikulia kwenye anga za washirikina?
Kwani unadhani mimi nakoma kula... Nakula tu kwakuwa tuchakula twenyewe tunakuwaga tutamu kweli




Nadhani ni Kongo sio Tanzania Kwa maelezo yako inaonyesha eneo hili lina fly over za asiliNdio kijiji nilichokulia kilikuwa funika bovu na palikuwa na njiapanda mbili zinakutana.. Hivyo kulikuwa na muunganiko wa njia sita kwa wakati mmoja... Mito miwili nayo ilikuwa inakutana hapo na madaraja mawili... Ni sehemu ya ajabu kwakweli... Sasa hapo mahali nikiamua kuandika kitabu sijui nitajaza kurasa ngapi
du mwendo huo ni hatariiiiiiiiHuwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bado wapo usijaribu kutoka kaa hukohuko mpaka tutakapokutoa Jumatatu!Niko mochwari![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sio muktadha wa mada
![]()
![]()
![]()
![]()
Inawezekana maana Tz nikubwa lakin swali fikirishi pamoja na kua mteja pale Wa Chakula lakini mabinti zake walikuvutia zaidi kama unavyosimulia yawezekana shemeji yetu alipatikana hapo na ikawa chanzo cha wewe kuwa mjuzi wa aya mambo maana nirahisi kuchota maarifa kwa Mrs?Hapana ni hapa hapa Tanzania
Inawezekana maana Tz nikubwa lakin swali fikirishi pamoja na kua mteja pale Wa Chakula lakini mabinti zake walikuvutia zaidi kama unavyosimulia yawezekana shemeji yetu alipatikana hapo na ikawa chanzo cha wewe kuwa mjuzi wa aya mambo maana nirahisi kuchota maarifa kwa Mrs?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sio muktadha wa mada
![]()
![]()
![]()
![]()